AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
umeenda club huko ume enjoy vakutosha na ukaamua kuchukua dem au msela wa kupunguza maukame ya miaka nenda rudi .........
mnacheza game ucku kucha na kulala fofofo zen mnapoamka asubui unaanza kujilaumu bada ya kukuta umelala na mtu ambaye hata ungekuta naye asubui au mchana huo angekuuliza tu umuelekeze njia mbalia na kukusalimia usingemjibu ila koz ya pombe jana umelala nae na kula tunda ucku kucha ..............ungekua ww ungefanyaje ungejiloweka na omo wiki nzima au ungekata baadhi ya sehemu zako na kuzitupa???????????? wakati we wawaza hayo mwenzio anakushukuru kwa bahati uliyompa ya kula tunda na weye ....ahhaaaaaa utasonyajeeeee
mnacheza game ucku kucha na kulala fofofo zen mnapoamka asubui unaanza kujilaumu bada ya kukuta umelala na mtu ambaye hata ungekuta naye asubui au mchana huo angekuuliza tu umuelekeze njia mbalia na kukusalimia usingemjibu ila koz ya pombe jana umelala nae na kula tunda ucku kucha ..............ungekua ww ungefanyaje ungejiloweka na omo wiki nzima au ungekata baadhi ya sehemu zako na kuzitupa???????????? wakati we wawaza hayo mwenzio anakushukuru kwa bahati uliyompa ya kula tunda na weye ....ahhaaaaaa utasonyajeeeee