Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,791
network ishaanza kukata, hapa Kibatala anaanza kuitwa mweshimiwa.
network ishaanza kukata, hapa Kibatala anaanza kuitwa mweshimiwa.
Yote tisa kumi ni kwamba Kingai anadai Adam, alikuwa na kipande cha karatasi kilichokuwa na IMEI namba ya simu yake, hili nalo linafikirisha sana na kuleta shaka.Eti walimkuwa na kikalatasi kilichochorwa vituo vya mafuta... ha ha ha afu pia tukamkuta na madawa ya kulevya aina na heroine.
unachekesha tena unachekesha huku unalia ushahidi ulionyooka hivyo unamvua nguo mbowe yaaani hapo alipo yuko uchi maovu yake yako hadharani gaidi mkubwa yuleACP KINGAI ni juha wa kiwango cha kutisha sana haoni jinsi anavyoivua nguo serikali na jeshi la Polisi?
kibatala siyo wakili ni mchumia tumbo tu hana hoja za msingi anahangaika tu hajui anachokiteteaMawakili wa utetezi kesi ya mbowe wanatafuta credit kwa MAJORITY'S badala ya kutafuta credit kwa JAJI ambae ndio mwamuzi wa kesi yenyewe.
Hivyo hvyo wafuasi wa upande wa utetezi wanashupalia ushabiki ambao hauna mantiki kwenye kesi wanaacha maswala ya msingi kwenye kesi.
Nimeona mengi mno kwenye kesi ya sabaya na hii ya mbowe watu wanajikitika kwenye maswali na maelezo ambayo sio msingi wa kesi hvyo hayana maana.
Nipo hapa nafatilia taratibu.
kama hao jamaa zake na mbowe walivyokuwa wamelishwa maneno ya kuja kudanganya mahakama leo ndiyo wanaumbukaAisee nimegundua leo kumtia hatiani mtu asiye na hatia ni kazi ngumu kweli kweli, yaani kuifanya mahakama iamini pasi na shaka utakonda siku si zako.
vilevile:-
Mahakamani mpasikie hivyo hivyo, yaani ukipanda kizimbani tu na kama unasema urongo body language yako inaonyesha kabisa.
Hapa naona story ya Koplo Saad wa kesi ya Zombe inajirudia. So sad, kweli kwa Mungu mbali sanaShahidi: bado hatujafanikiwa Kumpata
Nawaza alafu ukubwa wa tukio ulivyo anapanga yeye na makomamdo hao watatu tu ndo wakufanya fujo, ndo wa kumdhuru sabaya, afu ndo wazunguke nchi nzima kuvuruga amani dah! Ugaidi wa tz raha sana maana km mwamba Hamza alikuwa gaidi wa kujitoa mhanga!!! Naona kwa Mbowe naye itawezekana jamani Mungu asimame tuYaani yeye Mbowe pekee yake na walinzi wake tu wapange kufanya vitendo vya ugaidi maeneo mbali mbali nchini bila viongozi waandamizi wa CHADEMA kujua? Yaani asijue Katibu mkuu, wasijue Manaibu makatibu wakuu,wasijue viongozi wa BAWACHA,BAZECHA wala BAVICHA?
Achilia mbali la kumdhuru Sabaya ambaye mtasema alikua anaingilia maslahi yake Hai, Sasa mambo ya kuchoma vituo vya mafuta Arusha,Mbeya na Iringa yanamhusu nini Mbowe pekee yake?
Kuna mambo mengine ni vichekesho sana hata mtoto wa kindergarten hawezi kukuelewa. Yanatia aibu aibuu hadi hata majaji wanaona ni kama tunapoteza muda fo unknown.
Hebu tuachane na hizi mambo tunaliaibisha taifa.
Ukiacha hilo la ushahidi, vilevile jiwe aliona soo kumkamata kipindi cha uchaguzi maana zingepigwa kelele dunia nzimaukisikiliza maelezo kwenye hiyo kesi inasemwa walikuwa wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake na walipokamilisha ndipi walipomkamata..
Hii kesi itafutwa soon.Mawakili wa utetezi kesi ya mbowe wanatafuta credit kwa MAJORITY'S badala ya kutafuta credit kwa JAJI ambae ndio mwamuzi wa kesi yenyewe.
Hivyo hvyo wafuasi wa upande wa utetezi wanashupalia ushabiki ambao hauna mantiki kwenye kesi wanaacha maswala ya msingi kwenye kesi.
Nimeona mengi mno kwenye kesi ya sabaya na hii ya mbowe watu wanajikitika kwenye maswali na maelezo ambayo sio msingi wa kesi hvyo hayana maana.
Nipo hapa nafatilia taratibu.
Kwa taarifa yako:kibatala siyo wakili ni mchumia tumbo tu hana hoja za msingi anahangaika tu hajui anachokitetea
Hujui chochoteNayajua mengi mnoo kuliko wewe, hamna chochote unaweza kunielezea
Siasa za Ccm zimewafanya kuwa vipofuWazee wa "PGO" leo ni aibu kwao, maelezo ya komando yapo straight, no chenga chenga, wakishuka na watu wa mawasiliano na transactions itakuwa balaa zaidi! Kumuepusha na aibu hii Mkiti ni vyema hii kesi sasa ifanyike kwa usiri, kama zile za ubakaji wa watoto..
Tatizo Mkuu huo ushaidi umetoka kwa MTU ambaye ameshawahi kuwa na matatizo ya afya ya akili!! Credibility ya huo ushahidi umepungua sana!!!unachekesha tena unachekesha huku unalia ushahidi ulionyooka hivyo unamvua nguo mbowe yaaani hapo alipo yuko uchi maovu yake yako hadharani gaidi mkubwa yule
Enzi za mobile devises na google maps kweli makomando wanahifadhi ramani kwenye kidaftari? Mapolisi ancient kweli. Drop pin - easy does it.Ha ha ha ha
Jamani kweli dunia hadaa.... !! Kigai we ni noma
Hizo hadithi za kukata miti bila shoka?Mbowe kishakaangwa na watu wake ambao walipokuwa ndani yeye akiwa nje aliwatelekeza kumbe walishaga toa ushahidi mzuri tu juu yake sasa mambo hazarani maovu ya mbowe yanajulikana sasa waliokuwa wanamuona kama malaika hakosei waanze kufumba midomo yao wa kwanza erythrocyte
Akili yake iko sawa? kwa uthibitisho gani kwani umesikia alimpeleka kwa daktari kupimwa?Utimamu wa akili kwa shahidi hauna Mana kwa maelezo aliyotoa sababu aliachishwa kazi baada ya kuonekana ana matatizo ya akili pia alipokuwa sawa ndo akapata Hilo deal la mbowe hvyo hata cheti Cha uthibitisho kipatikane au kikosekane kwenye hayo mazingira ya kesi hcho cheti hakina maana.