Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
*DUH AMA KWELI NDOA ZINA MAMBO*
Kuna kijana alikua anajua
kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi
akamwuliza mke,
mkewe akakataa,
akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia
mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku
analalamika kwa
babaake, mwisho babaake
akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye
unaumwa sana hoi
hujiwez halafu
nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya
anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande
2,
Mzee akaanza kueleza
jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa
wa utata hospital zote umeshindikana hivyo
tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na
ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa
awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah
kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu
atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa
asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana
wetu watakufa wote!
Je kina mama nani
ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi
mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata
mama ake kijana,
mashangazi na dada zake,
mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee
akamwambia mwanangu umeona hali za
ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na
mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
Kuna kijana alikua anajua
kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi
akamwuliza mke,
mkewe akakataa,
akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia
mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku
analalamika kwa
babaake, mwisho babaake
akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye
unaumwa sana hoi
hujiwez halafu
nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya
anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande
2,
Mzee akaanza kueleza
jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa
wa utata hospital zote umeshindikana hivyo
tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na
ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa
awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah
kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu
atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa
asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana
wetu watakufa wote!
Je kina mama nani
ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi
mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata
mama ake kijana,
mashangazi na dada zake,
mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee
akamwambia mwanangu umeona hali za
ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na
mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!