Kichpox
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 361
- 397
Jamaa kapigwa genda ugaruke... Wanawake kwa uchawi... Jamaa kakolea mpka jf, ila kwa wanaomjua watamstua fasta.read between the lines Mkuu.
Jamaa kapigwa genda ugaruke... Wanawake kwa uchawi... Jamaa kakolea mpka jf, ila kwa wanaomjua watamstua fasta.read between the lines Mkuu.
Alikua hajawahi kula tgo so alivyopewa tu akatoa mshahara woote.
Kumbe kashikwa na Tigo mtandao wa Blue.Alikua hajawahi kula tgo so alivyopewa tu akatoa mshahara woote.
Wakuu nimeamua kujitoa kwa wife wangu, nakabidhi Amana yangu yote nikitoka kazini basi anajiskia Safi Sana na anajitoa Kwangu kwa kila kitu..
Mwanaume hebu fuata hii principal utaona matokeo Amani full Maraha tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
muulize Samson alichofanyiwa na Delilah... Mungu pia katuasi, tuishi na mwanamke kwa akili...time will tell.Wakuu nimeamua kujitoa kwa wife wangu, nakabidhi Amana yangu yote nikitoka kazini basi anajiskia Safi Sana na anajitoa Kwangu kwa kila kitu..
Mwanaume hebu fuata hii principal utaona matokeo Amani full Maraha tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Axe iv hayo matumiz mengine ya kuzishikashika pesa yametangazwa lin na WB?hahahMKAKATI HUO UNAMANUFAA MAANA LAZIMA UPATE PENZI LA NGUVU USIKU NA MUDA WOWOTE PESA SABUNI YA ROHO,
MAENDELEO NI KWAMBA PESA HUTAWEZA TENA KUITUMIA VIBAYA UTAOGOPA KUMUOMBA BILA SABABU INGAWAJE NAE HATAZITUMIA OVYO MAANA ATAOGOPA ATAKUAMBIA KAFANYIA NINI HIVYO RAHA YAKE NI KUZIONA NA KUZISHIKASHIKA
Teh,ngoja siku asikie anatumia hizo kuhonga serenget boy nahisi atajinyongaInaonekana una mwezi tokea umeona hiyo raha,kaa mwaka mzima halafu utupe mrejesho...
Haha mkuuInaonekana una mwezi tokea umeona hiyo raha,kaa mwaka mzima halafu utupe mrejesho...
Unamaaanisha nini mkuuKwa hyo tukuige?
Siku ukimzingua ndio utajua yule aliesema "don't try at home" alimanisha nn!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayo mkuuBaada ya wiki,mjaribu kumuomba kiasi chote ulichompa uone kama atakua nayo yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuwa wa mwisho kuuchukua na kuufanyia kazi huo ushauri wako
Hujaoa wewe acha kuleta stori usizokuwa na uzoefu nazoWakuu nimeamua kujitoa kwa wife wangu, nakabidhi Amana yangu yote nikitoka kazini basi anajiskia Safi Sana na anajitoa Kwangu kwa kila kitu..
Mwanaume hebu fuata hii principal utaona matokeo Amani full Maraha tu..
Sent using Jamii Forums mobile app