Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Silinde asema akihama Chadema wananchi wachome nyumba yake>https://t.co/ezoQEjEOWk Mwananchi Newspapers on Twitter
Ukikaidi maagizo ya chama ni sawa na kuhama chamaHjahama ila kafukuzwa l
Sure! Kwa muktadha huoUkikaidi maagizo ya chama ni sawa na kuhama chama
Kukaidi maagizo ya chama ni sawa na kuhamaKamanda vipi, hujui tofauti ya kuhama na kufukuzwa?
Mkuu kiswahili kwake kimekuwa kigumu nini, kufukuzwa na kuhama mbona ni vitu viwili tofauti?Silinde asema akihama Chadema wananchi wachome nyumba yake>https://t.co/ezoQEjEOWk Mwananchi Newspapers on Twitter
maamuzi hayo yalifanyiwa na kikao gani au kile cha sebuleni kwa MboweUkikaidi maagizo ya chama ni sawa na kuhama chama
Chadema wanaunga mkono hoja.maamuzi hayo yalifanyiwa na kikao gani au kile cha sebuleni kwa Mbowe
Na kwa uharo anatema fupi ndugai ni wazi kannuliwa na ccm ila dau lake kuanzia jsna limeshuka kwa 90%Sure! Kwa muktadha huo
Kamati kuu ya chadema dadamaamuzi hayo yalifanyiwa na kikao gani au kile cha sebuleni kwa Mbowe
CCM wamemponza kijana wa watu maskini...
CCM mwogopeni Mungu...!!
Hiyo ni namna unavyoelewa wewe, kwani aliyetoa maagizo yeye ni malaika hawezi kukosea?Kukaidi maagizo ya chama ni sawa na kuhama
Halafu sasa hivi hata dau aliloahidiwa limeshuka kwa 90%
Kapata hasara
Nje ya chadema huna thamani
Silinde asema akihama Chadema wananchi wachome nyumba yake>https://t.co/ezoQEjEOWk Mwananchi Newspapers on Twitter
Muda si mrefu tean hapo octoba tu atakua toilet paper maana wahafidhina wa ccm wamejipanga kuzuia wote walionunuliwa kutoka chadema wasiteuliwe kugombea....Na kwa uharo anatema fupi ndugai ni wazi kannuliwa na ccm ila dau lake kuanzia jsna limeshuka kwa 90%
Kala hasara
Nje ya chadema huna thsmani
Maagizo gani?Hiyo ni namna unavyoelewa wewe, kwani aliyetoa maagizo yeye ni malaika hawezi kukosea?