Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,503
- 12,166
Wapendwa nimeshangazwa na wapinzani wetu eti wanamuunga mkono kada wa CCM hizo si sanifu kweli??
Miaka yote walikuwa wanamponda halafu leo eti wanamwonea huruma na kumpongeza.
Binafsi si ungi mkono hayo mahuruma yao.
Ndio inatokea hivyo na bado, utashangaa sana tu