Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,816
- 8,454
Na Kodi yangu wanakata inaeenda wapi?kwa nini usisafishe wewe mtumiaji? Huna ubwana mkubwa wowote.
Kutumia hovyo utumie wewe akusafishie mwigine kwa hela gani uliyo nayo.
Anaenukisha ni wewe mtumiaji huduma. Huoni hata aibu?
siyo wafanyakazi wa ward kwa malipo gani manono ya huyo mfanya kazi unadhani...mnastahili hayo kwa tabia zebu chafu.
Km vipi nenda Agakhani pasafi kwa wasafi uone gharama zake.nyie wachafu mnastahili uchafu msilie.unatoka kwa mtogole unataka pawe km agakhani mweee!! Si kila mswahili ataomba kulazwa!!
Unatamani pawe km TMJ Hosp??? Ni gharama zile nenda kaonje huduma bora kwa walio barikiwa maskini wewe....