Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Nan huyo lugha ya malkia unataka mkaliman utajenga hoja wap! Wacha lipite hili vitab vitaandikwa
Tanzania kama M/Kiti wa SADC tuna wajibu mkubwa sana na kinachoendelea Afrika Kusini hivi sasa.
Hatuwezi kuacha Waafrika wenzetu kutoka nje ya A.Kusini wakinyanyaswa na hata kuuawa na Waafrika wenzetu bila kukemea vitendo vya kinyama.
Nafikiri tunapaswa kutoa kauli yenye uzito unaotakiwa kwa Serikali ya A.Kusini ili kuwaenzi wazee wetu(Mwenyezi Mungu awarehemu) Julius.K.Nyerere na Nelson .M.Mandela waliopinga vikali ubaguzi.
 
Soma vizuri hapo juu thread yangu nimeeleza...

Mwekezaji hadi kibali kashapewa kutoka Wizara ya Nishati na Madini!

Sasa kama hata kibali ameshapewa kwa nini zoezi haliendelei?
Maana nijuavyo ni kwamba baada ya kupata kibali huyo mwekezaji kwa kuwezeshwa na serikali lazima akubaliane na kila mweye kaya kuhusu fidia ili kupisha mradi na Malipo yafanyike, hivyo yawezekana:
1. Huyo mwekezaji hana kibali cha kutoka mamlaka husika au
2. Hajafikia muafaka wa fidia ya wakazi aliowakuta anapotaka kuwekeza
Hivyo ashauriwe afuate taratibu ili kurahisisha uwekezaji wake bila kupiga njia za panya.
 
Kwahiyo wewe ndio ubao mfu hapa jamvini??? Mmechoka hata kuwaangalia inatia kinyaa tatua shida zako sisi tunapambana kumuondoa mkolon mweus CCM!! Bepar Kwa kivuli cha uzalendo hizo pumba wambie wajinga wenzio
Ndugu wana JamiiForums,

Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.

Karibuni sana.

MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa kutosha (nani, wapi, lini, kivipi n.k) ukiambatana na nyaraka itapendeza zaidi.

Kero hizi zitachapwa na kupelekwa kwa mamlaka husika ili zifanyiwe ufuatiliaji.
 
Kwahiyo wewe ndio ubao mfu hapa jamvini??? Mmechoka hata kuwaangalia inatia kinyaa tatua shida zako sisi tunapambana kumuondoa mkolon mweus CCM!! Bepar Kwa kivuli cha uzalendo hizo pumba wambie wajinga wenzio
Ndugu wana JamiiForums,

Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.

Karibuni sana.

MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa kutosha (nani, wapi, lini, kivipi n.k) ukiambatana na nyaraka itapendeza zaidi.

Kero hizi zitachapwa na kupelekwa kwa mamlaka husika ili zifanyiwe ufuatiliaji.
 
Jipu uchungu nimeliona hospitali ya Mwananyamala kitengo cha maabara watu wanaanza kupewa huduma saa tano. Na wakati wafanyakazi wanafika ofisini saa moja wao ni stori tu na kuacha wagonjwa wanaendelea kuzidiwa....

Mtu amepima toka jana lakini kumpa tu majibu yake asubiri hadi saa tano ndo waanze kutoa majibu....wao na stori tu ofisini
Baadhi ya hospital zina rushwa sana. bila kutoa laki mbili ya daktari hujafanyiwa upasuaji
 
Kwa Waziri au yeyote anayehusika na Marekebisho ya mishahara kwa Watumishi wa umma waliopanda daraja lakini bado kurekebishiwa mishahara yao, tunaomba hawa wasaidiwe. Ni shida sana kunapokuwa na watumishi wa staff moja wengine walisharekebishiwa tangu miezi hiyo na wachache bado. Tunaomba sana.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.

Karibuni sana.

MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa kutosha (nani, wapi, lini, kivipi n.k) ukiambatana na nyaraka itapendeza zaidi.

Kero hizi zitachapwa na kupelekwa kwa mamlaka husika ili zifanyiwe ufuatiliaji.
Nikiangalia mchakato wa kura za maoni ndani ya ccm kwenye uchaguzi tarajiwa wa serikali za mitaa, naona ccm kama li-jipu fulani hivi. Kwenye kata nyingi kumekuwa na na kuombana rushwa ili jina lako lipitishwe. Najaribu kufikiri
 
Huyu mzee amezaliwa hivyo haigizi hatanii na wala hana mzaha JPM amekuwa ni mtu mwenye misimamo isiyoyumba anasimamia anachokiamini hapepesi macho sasa nyie mnaozoea mzaha mtaumia bure
 
Huyu mzee amezaliwa hivyo haigizi hatanii na wala hana mzaha JPM amekuwa ni mtu mwenye misimamo isiyoyumba anasimamia anachokiamini hapepesi macho sasa nyie mnaozoea mzaha mtaumia bure
Una kumbukumbu za misimamo yake Bungeni? Swali tu! VIP ile mikataba mibaya au ulikuwa msimamo wa chama au misimamo ameanza Leo?
 
Magufuli hana vigezo vyovyote vya uwezo wa maisha ya ki utawala kijamii na kifamilia yeye kwake kila kitu mzaha mzaha tu poor him
 
Huko jirani kuna mtu kapika nyama za kuranga, hapa tumbo linakatika kwa njaa coz ya harufu ya vikarangizo
 
ID yako imasema umejiunga JamiiForums 20/09/2019, nyie ndio wale "MAVUVUZELA WA LUMUMBA" mnaopewa posho za bando 2,000/= wenye ID tofauti tofauti 40 za kuja kujaza server za JF na upuuzi wenu.
 
58 Reactions
Reply
Back
Top Bottom