Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,522
- 25,511
Mhh ukiona watu wanamchukia CAG harafu unataka kuendelea kupinga kitu ambacho wao hawakipingi ni ngumu sana labda tuwe wanafiki tuu..
Kuna siku 1 nilikuwa kijj ki1 kinaitwa Masurura wiliaya ya Butiama kwa mishe zangu, ikawa nimekaa na wenyeji grossary 1 hiv 2napata 1 moto 1 baridi, bila uoga bwana m1 ambae anamiliki lorry ya kusomba mchanga anajisifia kuwa anapokea pesa ya TASAF. Pesa ambayo walengwa ni maskini. Hii iliniuma sana.Wana Jf
Nadhani kila mtu apendi wizi, anapenda kula kwa jasho halali. Kama hivyo basi hakuna budi kuanzisha thread ya kuwataja wana mtandao wa makosa tajwa na takukuru ifuatilie waliotajwa ili warudishe mali ya umma. Mfano waliouza NMC , RTC TIPPER , UDA na wengine waliohua mashirika makusudi . vile vile waliotapeli viwanja wazi, viwanja vya shule za umma, walijimilokisha magari ya serikali au kujiuzia kwa bei chee na hasa mtu yeyeto aliyehujumu nchi kwa manufaa yake. Tuzingatie tusijaze uongo bali ushahidi wa kutosha hata kama mali zimeandikishwa kwa watu wengine.
Wasaidie kwa kupeleka maelezo hukohuko ofisini kwao. Ukileta majina huku kwa hisia ama chuki tu ni kuchafua watu.
Huko ofisini kwao majina yamejaa tele lakini hawayafanyii kazi kwakuwa wako kwa kukomoa zaidi na sio weledi.