Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Serikali ina washauri inatakiwa wewe ushauri washauri wa serikali ili wao waishauri serikali.

Hii ni moja tuu ya mitizamo ya kupotosha kwa sababu inalenga kuaminisha umma kwamba kwa kiasi kikubwa kiongozi mwenye dhamana hayuko responsible kwa maamuzi anayoyafanya kwa kuwa "alishauriwa vibaya".

Dhamana na ushauri ni vitu viwili tofauti. Mtu mwenye dhamana kwa cheo chake anawajibika sii tu kwa maamuzi na matendo yake, bali na kwa walio chini yake. Yeyote anaefanya maamuzi ya hovyo regardless ya kwamba alishauriwa vibaya, anawajibika. Sasa tumekua taifa la kutumia kichaka cha "kashauriwa vibaya" na kuwalenga washauri badala ya wenye dhamana. Hatuwasaidii! Tunawa-absolve of responsibilty na accountability.

Waambieni wawe makini na ushauri wanaopewa hata kama ni kwenye masuala technical beyond uwezo wao. Wawe na personal "system" ya kuchuja ushauri. Kwa mfano kutafiti wenyewe, ku seek ushauri kwa mtu zaidi ya mmoja, kumtaka anaekushauri aje na option zaidi ya moja and atc.
 
Hii ni moja tuu ya mitizamo ya kupotosha kwa sababu inalenga kuaminisha umma kwamba kwa kiasi kikubwa kiongozi mwenye dhamana hayuko responsible kwa maamuzi anayoyafanya kwa kuwa "alishauriwa vibaya".

Dhamana na ushauri ni vitu viwili tofauti. Mtu mwenye dhamana kwa cheo chake anawajibika sii tu kwa maamuzi na matendo yake, bali na kwa walio chini yake. Yeyote anaefanya maamuzi ya hovyo regardless ya kwamba alishauriwa vibaya, anawajibika. Sasa tumekua taifa la kutumia kichaka cha "kashauriwa vibaya" na kuwalenga washauri badala ya wenye dhamana. Hatuwasaidii! Tunawa-absolve of responsibilty na accountability.

Waambieni wawe makini na ushauri wanaopewa hata kama ni kwenye masuala technical beyond uwezo wao. Wawe na personal "system" ya kuchuja ushauri. Kwa mfano kutafiti wenyewe, ku seek ushauri kwa mtu zaidi ya mmoja, kumtaka anaekushauri aje na option zaidi ya moja and atc.
Umetumia nguvu kubwa kuandika kitu ambacho sitasoma.

Usiku mwema.
 
Nachoona tunachekwa tu na majirani zetu kwa tunayofanyiwa na watu wanaolilia kujiita ma Dr na ma Prof wakati kiuhalisia maamuzi wanayoptisha hata ambaye hajaenda shule hathubutu kuyaptisha
 
Wana JF; naomba ukiamua kuchangia hapa uwe na constructive criticism (atakaependa na anaetaka kusifia nae anakaribishwa) kwa sharti moja: UJE NA USHAHIDI WENYE TAKWIMU.

Kwenu viongozi wa serikali na CCM mliomo humu nanyi naomba mtupe maelezo sahihi (ukileta maelezo kuwa mbuzi ni sawa na kondoo kwa kuwa huchungwa pamoja mimi binafsi sitasita kukupa my honest opinion however you hate it).

Naanza na suala la elimu:
Professor Ndalichako na wenzio; logic ya kuzuia waalimu kutoka nje ya nchi kufundisha hapa nchini kwetu ni nini? Tuzingatie facts zifuatazo:
1. Hao waalimu kutoka nje mara nyingi wanahitajika na shule binafsi, hawalipwi na serikali na wanalipiwa work permits na kulipa kodi (PAYE).
2. Shule binafsi hazisaidiwi kwa namna yeyote na serikali, kwa mantiki hiyo wenye shule hizo wanabeba mzigo wote kabisa (100%) ikiwemo gharama za utashi wao wa kutaka kuajiri waalimu wa nje (na hakuna mtu binafsi alie tayari kulipa Shilingi 10 badala ya Shilingi 2 kupata kitu chenye ubora ule ule). Kuna logic gani kuwazuia kutumia resources wazitakazo?

Niishie hapa kwa sasa.

Tunaotaka Kutoa Ushauri Wetu murua kwa Serikali kupitia Mamlaka zake za Usimamizi kuwa wahakikishe Bei za Makahaba ( Malaya ) hasa wale wanaosimama Barabarani ziwe ' Flat Rate ' kwa Milango yao yote Miwili ya Kaskazini na Kusini tutachangia wapi?
 
Wana JF; naomba ukiamua kuchangia hapa uwe na constructive criticism (atakaependa na anaetaka kusifia nae anakaribishwa) kwa sharti moja: UJE NA USHAHIDI WENYE TAKWIMU.

Kwenu viongozi wa serikali na CCM mliomo humu nanyi naomba mtupe maelezo sahihi (ukileta maelezo kuwa mbuzi ni sawa na kondoo kwa kuwa huchungwa pamoja mimi binafsi sitasita kukupa my honest opinion however you hate it).

Naanza na suala la elimu:
Professor Ndalichako na wenzio; logic ya kuzuia waalimu kutoka nje ya nchi kufundisha hapa nchini kwetu ni nini? Tuzingatie facts zifuatazo:
1. Hao waalimu kutoka nje mara nyingi wanahitajika na shule binafsi, hawalipwi na serikali na wanalipiwa work permits na kulipa kodi (PAYE).
2. Shule binafsi hazisaidiwi kwa namna yeyote na serikali, kwa mantiki hiyo wenye shule hizo wanabeba mzigo wote kabisa (100%) ikiwemo gharama za utashi wao wa kutaka kuajiri waalimu wa nje (na hakuna mtu binafsi alie tayari kulipa Shilingi 10 badala ya Shilingi 2 kupata kitu chenye ubora ule ule). Kuna logic gani kuwazuia kutumia resources wazitakazo?

Niishie hapa kwa sasa.

Some times foreign workers wana wahujumu watanzania wenye uwezo mzuri wa kufanya kazi. Ila hili zuio lina pwaya kwa sababu ya pseudo egalitarian un written policies zinazo encourage makada kuajiriwa, na makabila fulani kunyimwa ajira.
 
Rushwa na ufisadi wa mirathi mahakama ya mwanzo Sinza.
Kuna jipu linaitwa Mercy alikuwa mhasibu mahakama ya Sinza. Anatuhumiwa kufisadi mirathi ya watu mbalimbali.Cha ajabu amehamishwa ili kumlinda. Tunaomba mhimili wa mahakama uchukue hatua juu ya mtu wao.pia takukuru nao wachukue hatua.
CC: DC Ubungo
CC:RC Dar es salaam
CC: DG PCCB
CC: DPP
CC: DCI
CC: Jaji Kiongozi
CC: Jaji mkuu
 
Binafsi naomba ufafanuz wa Elimu bure kwa mkoa wa Njombe hususani sekondari ya Ulayasi iliyopo mkoani NJOMBE kata ya Mlangali kijiji cha Ulayasi.

Kufuatia sera ya CCM ya elimu bure kabisaa ya mwaka 2015 wakati wa kampeni na ikawa pia ni Ilani ya chama hicho ....Rais aliagiza wanafunzi wa sekondari kote nchini wapewe elimu bure bila gharama.

Kwa shule ya sekondar ya Ulayasi naona kama pana sinto fahamu kwa upande wangu: Napenda nieleze gharama zinazo endelea na ningeomba ufafanuzi wake ikikupendeza

A) MICHANGO:
i-- Mahindi debe kumi kwa mwaka ...mwanafunzi anatakiwa atoe debe 5 kila muhula
ii..Marahage debe 2 mwaka ...mwanafuzi atoe debe 1 kwa muhula
iii...Pesa taslimu tsh 128,400 kwa mwaka zinazo daiwa ni za kuendeshea gharama kama kusaga hayo mahind...kununua mafuta...sukar nk
iii Rim paper bunda 2 kwa mwaka.

MCHANGANUO.

Mahind debe 1 ni sh 6000×10=60000.

maharage debe 1 ni sh 30000×10=60000

Rim 1 ni sh 12000×2= 24000

kwa mzaz/mlez ambae hana vyakula anatakiwa atoe hela kama mchanganuo unavyo onyesha Jumla sh 144,000.

Sasa 128400+144000=272400

Hiyo ndo gharama ya mwanafunzi ili apate Elimu bure kwa shule hiyo 272400

Katika gharama hiyo bado shule hii ni ya kutwa mzaz atatoa hela ya pango...hiyo inatofautiana kulingana na mwanafunz anapo ishi.

Wanafunzi wa shule hii wameamriwa kula shuleni .

My Take.
Ukiangalia mchanganuo wa gharama hapo juu je mwanafunz 1 anaweza kula mahind ya kias hicho na maharage kias hicho.....?

Na je kama mwanafunzi akijitegemea na elimu hiyo imaanishe ubure wake kwa nn mwanafunz asijitegemee na aende shule akasome bila mchango wowote?

KWA NN NASEMA HAYA

Nasema haya kwa sababu hii michango ni ya lazima na kulingana na kipato cha sasa hali ni ngumu sana wazazi wengi wanashindwa kulipia gharama hizo ambazo sina imani kama ni agizo la serikali bali ni maamuzi ya wachache tu.

Nawasilisha.
 
Binafsi naomba ufafanuz wa Elimu bure kwa mkoa wa Njombe hususani sekondari ya Ulayasi iliyopo mkoani NJOMBE kata ya Mlangali kijiji cha Ulayasi.

Kufuatia sera ya CCM ya elimu bure kabisaa ya mwaka 2015 wakati wa kampeni na ikawa pia ni Ilani ya chama hicho ....Rais aliagiza wanafunzi wa sekondari kote nchini wapewe elimu bure bila gharama.

Kwa shule ya sekondar ya Ulayasi naona kama pana sinto fahamu kwa upande wangu: Napenda nieleze gharama zinazo endelea na ningeomba ufafanuzi wake ikikupendeza

A) MICHANGO:
i-- Mahindi debe kumi kwa mwaka ...mwanafunzi anatakiwa atoe debe 5 kila muhula
ii..Marahage debe 2 mwaka ...mwanafuzi atoe debe 1 kwa muhula
iii...Pesa taslimu tsh 128,400 kwa mwaka zinazo daiwa ni za kuendeshea gharama kama kusaga hayo mahind...kununua mafuta...sukar nk
iii Rim paper bunda 2 kwa mwaka.

MCHANGANUO.

Mahind debe 1 ni sh 6000×10=60000.

maharage debe 1 ni sh 30000×2=60000

Rim 1 ni sh 12000×2= 24000

kwa mzaz/mlez ambae hana vyakula anatakiwa atoe hela kama mchanganuo unavyo onyesha Jumla sh 144,000.

Sasa 128400+144000=272400

Hiyo ndo gharama ya mwanafunzi ili apate Elimu bure kwa shule hiyo 272400

Katika gharama hiyo bado shule hii ni ya kutwa mzaz atatoa hela ya pango...hiyo inatofautiana kulingana na mwanafunz anapo ishi.

Wanafunzi wa shule hii wameamriwa kula shuleni .

My Take.
Ukiangalia mchanganuo wa gharama hapo juu je mwanafunz 1 anaweza kula mahind ya kias hicho na maharage kias hicho.....?

Na je kama mwanafunzi akijitegemea na elimu hiyo imaanishe ubure wake kwa nn mwanafunz asijitegemee na aende shule akasome bila mchango wowote?

KWA NN NASEMA HAYA

Nasema haya kwa sababu hii michango ni ya lazima na kulingana na kipato cha sasa hali ni ngumu sana wazazi wengi wanashindwa kulipia gharama hizo ambazo sina imani kama ni agizo la serikali bali ni maamuzi ya wachache tu.

Nawasilisha.
 
..huu siyo wakati wa kuishauri ccm.

..ni wakati wa kuiondoa madarakani.

..tutaishauri ikiwa nje haina serekali.
Tukiiondoa tuweke nani? Mbona huna mbadara? Ukiona sehemu kuna shida leta wazo la kutatua sio kutuacha solemba.
 
Tukiiondoa tuweke nani? Mbona huna mbadara? Ukiona sehemu kuna shida leta wazo la kutatua sio kutuacha solemba.

..tunapaswa kuiondoa kupitia KURA.

..kwa hiyo wakati wa uchaguzi tutavipima vyama vingine vinavyoshiriki na kukipa kura chama kinachoonyesha kuwa na uwezo, makini, na kinachotoa matumaini, kuvizidi vingine.
 
Wana Jf

Nadhani kila mtu apendi wizi, anapenda kula kwa jasho halali. Kama hivyo basi hakuna budi kuanzisha thread ya kuwataja wana mtandao wa makosa tajwa na takukuru ifuatilie waliotajwa ili warudishe mali ya umma. Mfano waliouza NMC , RTC TIPPER , UDA na wengine waliohua mashirika makusudi . vile vile waliotapeli viwanja wazi, viwanja vya shule za umma, walijimilokisha magari ya serikali au kujiuzia kwa bei chee na hasa mtu yeyeto aliyehujumu nchi kwa manufaa yake. Tuzingatie tusijaze uongo bali ushahidi wa kutosha hata kama mali zimeandikishwa kwa watu wengine.
 
Wana Jf

Nadhani kila mtu apendi wizi, anapenda kula kwa jasho halali. Kama hivyo basi hakuna budi kuanzisha thread ya kuwataja wana mtandao wa makosa tajwa na takukuru ifuatilie waliotajwa ili warudishe mali ya umma. Mfano waliouza NMC , RTC TIPPER , UDA na wengine waliohua mashirika makusudi . vile vile waliotapeli viwanja wazi, viwanja vya shule za umma, walijimilokisha magari ya serikali au kujiuzia kwa bei chee na hasa mtu yeyeto aliyehujumu nchi kwa manufaa yake. Tuzingatie tusijaze uongo bali ushahidi wa kutosha hata kama mali zimeandikishwa kwa watu wengine.
Labda kama utamtaja Mbowe Hao Takukuru watafatilia lakini si vinginevyo
 
58 Reactions
Reply
Back
Top Bottom