snboy
Member
- Apr 5, 2014
- 74
- 13
HII HAPA RUSHWA KUBWA NCHI NZIMA!!
-Wakuu, maafisa elimu sekondari wamekua wakizoea kutoza rushwa kwa walimu ili wapewe nafasi yankusimamia mitihani ya taifa. Hili linafahamika. Hii imekua ikipelekea hata kuwapitisha wasimamizi wasio na sifa kisa tu wametoa hela. Iko hivi: kusimamia kwa siku 10 mfano kama kila siku ni 50000 lazima utoe laki mbili kwa afisa elimu ndo upitishwe.
-Mimi nilitoa taarifa hii kwa afisa mmoja wa takukuru akaahid kufanyia kazi mpaka leo hajafanyia kazi. Nikaamua kufuatilia kujua ni kwann suala hili halikufanyiwa kazi, nikagundua kua afisa huyu wa elimu ni rafik mkubwa na afisa huyu wa takukuru.
Me nishauri tu mamlaka ya takukuru wafuatilie kesi hizi na kuchunguza watumishi wao maana wengine ni mizigo kwa wanachi wanaojitoa kupambana na ufisadi.
-Rais wetu amejitahidi kupambana na rushwa kubwa kwenye ngazi za juu lakini ngazi za chini bado sana , kuna watumishi wa takukuru wanatukwamisha
-maafisa elimu kwa kujua au kutojua wanapokea rushwa wakifikiri kumpitisha mwalimu kusimamia mtihani ni jambo ambalo wanaamua watakavyo. Kwa kawaida kuna utaratibu maalumu ambao upo na unatakiwa ufuatwe ili kutenda haki kwa walimu wote wenye sifa za kusimamia mtihani.
Niko tayar kutoa ushirikiano kwa hili kama wahusika wa takukuru wapo hapa
-Wakuu, maafisa elimu sekondari wamekua wakizoea kutoza rushwa kwa walimu ili wapewe nafasi yankusimamia mitihani ya taifa. Hili linafahamika. Hii imekua ikipelekea hata kuwapitisha wasimamizi wasio na sifa kisa tu wametoa hela. Iko hivi: kusimamia kwa siku 10 mfano kama kila siku ni 50000 lazima utoe laki mbili kwa afisa elimu ndo upitishwe.
-Mimi nilitoa taarifa hii kwa afisa mmoja wa takukuru akaahid kufanyia kazi mpaka leo hajafanyia kazi. Nikaamua kufuatilia kujua ni kwann suala hili halikufanyiwa kazi, nikagundua kua afisa huyu wa elimu ni rafik mkubwa na afisa huyu wa takukuru.
Me nishauri tu mamlaka ya takukuru wafuatilie kesi hizi na kuchunguza watumishi wao maana wengine ni mizigo kwa wanachi wanaojitoa kupambana na ufisadi.
-Rais wetu amejitahidi kupambana na rushwa kubwa kwenye ngazi za juu lakini ngazi za chini bado sana , kuna watumishi wa takukuru wanatukwamisha
-maafisa elimu kwa kujua au kutojua wanapokea rushwa wakifikiri kumpitisha mwalimu kusimamia mtihani ni jambo ambalo wanaamua watakavyo. Kwa kawaida kuna utaratibu maalumu ambao upo na unatakiwa ufuatwe ili kutenda haki kwa walimu wote wenye sifa za kusimamia mtihani.
Niko tayar kutoa ushirikiano kwa hili kama wahusika wa takukuru wapo hapa