Kuna magari kama 50 hivi ya kenya ya beba udongo kila siku kupita hapa Monduli, sijui kutoka wapi na kupeleka Kenya.
Niliambiwa ni madini na wanayahamisha yote Kenya, Tanzania itakapo amka hawana kitu. Kumbukni tanzanite, na hasa Almasi ya Mwadui wakati wa De bear ile kampuni ya Afrika Kusini ili hamisha na kuchimba kila sehemu ambapo ina patikana, enzi za baba wa ufisadi ze kapa.
Mwenye taarifa kamili atujuze
Niliambiwa ni madini na wanayahamisha yote Kenya, Tanzania itakapo amka hawana kitu. Kumbukni tanzanite, na hasa Almasi ya Mwadui wakati wa De bear ile kampuni ya Afrika Kusini ili hamisha na kuchimba kila sehemu ambapo ina patikana, enzi za baba wa ufisadi ze kapa.
Mwenye taarifa kamili atujuze