Toka kwa mkongwe mfundaji

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,602
MIMI SIO MFUNDAJI ILA NAKULETEA TOKA KWA MFUNDAJI NGULI NIKIAMINI VIMWANA WA JF WATANUFAIKA NA CHOCHOTE.

VP UTAMTAYARISHA MUME ANAPOSAFIRI??

MUME ANASAFISHWA KABLA YA SAFARI.
Hakikisha mume anasafiri hana kucha. Nywele sehem za siri.
Ndevu kaeka sawa.
Unamsinga awe hana nongo.

AFU TAYAARISHA BAG MAALUM LA KUSAFIRIA.
Ndani yke utaeka nguo zilizopigwa pass vizur na kuekwa na manukato km udi au aluud au perfume.ktk nguo unaeka za kazin na za nyumban na za kulalia afu
Utaeka na msuaki mpya, dawa ya msuaki, sabuni ya kuogea, perfume, mafta ya nywele, lotion, kitana.

UTANDAA CHAKULA KIZUR AMBACHO ANA KIPENDA ZAID MCHANA NA UCKU.
We mwenyeo ndo unaemjulia mumeo nin anapendelea kula wkt akiwa furaha na ww.
Pia mchana utakapomaliza kupika chakula tengeneza salad ktk sahani ambayo utaipamba vegetables vzr yenye heruf yke mfano tumia figili vitango tungule karot au pamba fruit kuonesha tofaut
Chakula cha ucku pia mpike mahanjumati km anapenda wali nazi wa samaki au chochote kile

UTABADILISHA DESIGN YA KITANDA YAAN UTAWEKA TOFAUT NA CKU ZOTE.
muekee shuka jipya juu ya kitanda, afu utaweka design ya mauwa I WILL MISS U DEAR au SAFARI NJEMA HONEY. Utaweka msemo wowote wakumfanya aondoke lkn huku ana ham na ww.

UCKU WA WAKE.
Utatumia pipi nzur kumpa romance ya mda mrefu ya kumuaga na kumfanya akukumbuke mda wote uko atapoenda.
Utampatia mkao maalum ambayo yy huwa anapagawa.
Game ww ndo utaifanya muache yy ucku ule arelax
Baada ya kumaliza utamuachia apumzike juu ya kifua chko km dakika 5. Kwa7b mume akimaliza kula tunda anachoka sana.

UTAENDANAE BAFUNI KUMKOGESHA.
Maji ambayo umeshayatarisha kwa mawarid, kilua na asumini au huna hivyo japo udi wa kibaraza.(lkn hapa angalia km anapenda hayo mambo shoga usijeharibu)
Utamkogesha mume vzr km kwenye beseni au bafu popote ambapo atapata utulivu.

MNA PUMZIKA KITANDANI.
Hapo mume utamuomba msamaha ili asafiri hali ya kuwa yupo radhi na ww.
Na ukipata radhi ya mume ndo umepata radhi ya Mungu.
Kuna uhai na umauti huwez jua km mtaonana tena au lah..

MWISHO UTAMKUMBATIA KWA KUMBATIO LA MDA MREFU WKT WA KUAGANA.
Utambusu utamwambia Mume wngu Mungu akujaalie uenda salama katika safar yko na urudi salama.
SAFARI NJEMA HONEY


Haya sasa ushindwe wewe tu....
 
Yani nifanye hayo hayo yote ili mwanamke mwenzangu akainjoi vzr sio? no way asee...., eti nimnyoe kabsa sehemu za siri, kwanin nimuandalie mazingira kiasi hicho? Wanaume wa zaman sawa, lakin hawa wa mwendo kasi hawanaga safari za ukweli, safar walizonazo labda safar lager tu, tena anakwambia yuko mbeya kumbe yupo lodge mtaa wa tatu toka kwenu....ajiandae mwenyewe hakuna namna
 
Mkuu hayo unayosema kwa ulimwengu wa kizazi hiki labda iwe ni bongo movie sawa, Hivi mleta mada unaishi dunia ya ngap? Kizaz hiki cha Facebook, Instagram, JF nk kiweze kufanya vitu vya miaka 70 nyuma dah! Good advice but utekelezaji utakuwa 0%
 
MIMI SIO MFUNDAJI ILA NAKULETEA TOKA KWA MFUNDAJI NGULI NIKIAMINI VIMWANA WA JF WATANUFAIKA NA CHOCHOTE.

VP UTAMTAYARISHA MUME ANAPOSAFIRI??

MUME ANASAFISHWA KABLA YA SAFARI.
Hakikisha mume anasafiri hana kucha. Nywele sehem za siri.
Ndevu kaeka sawa.
Unamsinga awe hana nongo.

AFU TAYAARISHA BAG MAALUM LA KUSAFIRIA.
Ndani yke utaeka nguo zilizopigwa pass vizur na kuekwa na manukato km udi au aluud au perfume.ktk nguo unaeka za kazin na za nyumban na za kulalia afu
Utaeka na msuaki mpya, dawa ya msuaki, sabuni ya kuogea, perfume, mafta ya nywele, lotion, kitana.

UTANDAA CHAKULA KIZUR AMBACHO ANA KIPENDA ZAID MCHANA NA UCKU.
We mwenyeo ndo unaemjulia mumeo nin anapendelea kula wkt akiwa furaha na ww.
Pia mchana utakapomaliza kupika chakula tengeneza salad ktk sahani ambayo utaipamba vegetables vzr yenye heruf yke mfano tumia figili vitango tungule karot au pamba fruit kuonesha tofaut
Chakula cha ucku pia mpike mahanjumati km anapenda wali nazi wa samaki au chochote kile

UTABADILISHA DESIGN YA KITANDA YAAN UTAWEKA TOFAUT NA CKU ZOTE.
muekee shuka jipya juu ya kitanda, afu utaweka design ya mauwa I WILL MISS U DEAR au SAFARI NJEMA HONEY. Utaweka msemo wowote wakumfanya aondoke lkn huku ana ham na ww.

UCKU WA WAKE.
Utatumia pipi nzur kumpa romance ya mda mrefu ya kumuaga na kumfanya akukumbuke mda wote uko atapoenda.
Utampatia mkao maalum ambayo yy huwa anapagawa.
Game ww ndo utaifanya muache yy ucku ule arelax
Baada ya kumaliza utamuachia apumzike juu ya kifua chko km dakika 5. Kwa7b mume akimaliza kula tunda anachoka sana.

UTAENDANAE BAFUNI KUMKOGESHA.
Maji ambayo umeshayatarisha kwa mawarid, kilua na asumini au huna hivyo japo udi wa kibaraza.(lkn hapa angalia km anapenda hayo mambo shoga usijeharibu)
Utamkogesha mume vzr km kwenye beseni au bafu popote ambapo atapata utulivu.

MNA PUMZIKA KITANDANI.
Hapo mume utamuomba msamaha ili asafiri hali ya kuwa yupo radhi na ww.
Na ukipata radhi ya mume ndo umepata radhi ya Mungu.
Kuna uhai na umauti huwez jua km mtaonana tena au lah..

MWISHO UTAMKUMBATIA KWA KUMBATIO LA MDA MREFU WKT WA KUAGANA.
Utambusu utamwambia Mume wngu Mungu akujaalie uenda salama katika safar yko na urudi salama.
SAFARI NJEMA HONEY


Haya sasa ushindwe wewe tu....
ni maneno mazur sana hakika lakin huwa wanaambiwaga katu hakuna anaye weza kuyatumia haya maneno wanawake wetu wa sasa dah ni mtihani sana
huwaga wanayasika tu wakati ule wanataka kuolewa tu lakin wakiwa ndani ya ndoa hana huo mda kwanza wanamsemo wao wenye wanasema wanasema kuwa atazungukaa kote lakin ikifika usiku lazima atarud tu sasa kwa kauli hiyo haoni haja ya kujisumbua kumfanyia yotr hayo
 
Yani nifanye hayo hayo yote ili mwanamke mwenzangu akainjoi vzr sio? no way asee...., eti nimnyoe kabsa sehemu za siri, kwanin nimuandalie mazingira kiasi hicho? Wanaume wa zaman sawa, lakin hawa wa mwendo kasi hawanaga safari za ukweli, safar walizonazo labda safar lager tu, tena anakwambia yuko mbeya kumbe yupo lodge mtaa wa tatu toka kwenu....ajiandae mwenyewe hakuna namna
ahahaaaa watu mmepinda akanyolewe huko huko anakoenda kutumika
 
ahahaaaa watu mmepinda akanyolewe huko huko anakoenda kutumika
kabisa shoga angu, atakula alikopeleka mboga, hahahaaaaaa

kwa karne hii sijamuona mwanaume wa kunishughulisha kiasi hicho, kutwa wanatunanga halaf leo nijipinde hivyo, siwez asee
 
Yani nifanye hayo hayo yote ili mwanamke mwenzangu akainjoi vzr sio? no way asee...., eti nimnyoe kabsa sehemu za siri, kwanin nimuandalie mazingira kiasi hicho? Wanaume wa zaman sawa, lakin hawa wa mwendo kasi hawanaga safari za ukweli, safar walizonazo labda safar lager tu, tena anakwambia yuko mbeya kumbe yupo lodge mtaa wa tatu toka kwenu....ajiandae mwenyewe hakuna namna
Haaaaaaaaa
 
MIMI SIO MFUNDAJI ILA NAKULETEA TOKA KWA MFUNDAJI NGULI NIKIAMINI VIMWANA WA JF WATANUFAIKA NA CHOCHOTE.

VP UTAMTAYARISHA MUME ANAPOSAFIRI??

MUME ANASAFISHWA KABLA YA SAFARI.
Hakikisha mume anasafiri hana kucha. Nywele sehem za siri.
Ndevu kaeka sawa.
Unamsinga awe hana nongo.

AFU TAYAARISHA BAG MAALUM LA KUSAFIRIA.
Ndani yke utaeka nguo zilizopigwa pass vizur na kuekwa na manukato km udi au aluud au perfume.ktk nguo unaeka za kazin na za nyumban na za kulalia afu
Utaeka na msuaki mpya, dawa ya msuaki, sabuni ya kuogea, perfume, mafta ya nywele, lotion, kitana.

UTANDAA CHAKULA KIZUR AMBACHO ANA KIPENDA ZAID MCHANA NA UCKU.
We mwenyeo ndo unaemjulia mumeo nin anapendelea kula wkt akiwa furaha na ww.
Pia mchana utakapomaliza kupika chakula tengeneza salad ktk sahani ambayo utaipamba vegetables vzr yenye heruf yke mfano tumia figili vitango tungule karot au pamba fruit kuonesha tofaut
Chakula cha ucku pia mpike mahanjumati km anapenda wali nazi wa samaki au chochote kile

UTABADILISHA DESIGN YA KITANDA YAAN UTAWEKA TOFAUT NA CKU ZOTE.
muekee shuka jipya juu ya kitanda, afu utaweka design ya mauwa I WILL MISS U DEAR au SAFARI NJEMA HONEY. Utaweka msemo wowote wakumfanya aondoke lkn huku ana ham na ww.

UCKU WA WAKE.
Utatumia pipi nzur kumpa romance ya mda mrefu ya kumuaga na kumfanya akukumbuke mda wote uko atapoenda.
Utampatia mkao maalum ambayo yy huwa anapagawa.
Game ww ndo utaifanya muache yy ucku ule arelax
Baada ya kumaliza utamuachia apumzike juu ya kifua chko km dakika 5. Kwa7b mume akimaliza kula tunda anachoka sana.

UTAENDANAE BAFUNI KUMKOGESHA.
Maji ambayo umeshayatarisha kwa mawarid, kilua na asumini au huna hivyo japo udi wa kibaraza.(lkn hapa angalia km anapenda hayo mambo shoga usijeharibu)
Utamkogesha mume vzr km kwenye beseni au bafu popote ambapo atapata utulivu.

MNA PUMZIKA KITANDANI.
Hapo mume utamuomba msamaha ili asafiri hali ya kuwa yupo radhi na ww.
Na ukipata radhi ya mume ndo umepata radhi ya Mungu.
Kuna uhai na umauti huwez jua km mtaonana tena au lah..

MWISHO UTAMKUMBATIA KWA KUMBATIO LA MDA MREFU WKT WA KUAGANA.
Utambusu utamwambia Mume wngu Mungu akujaalie uenda salama katika safar yko na urudi salama.
SAFARI NJEMA HONEY


Haya sasa ushindwe wewe tu....

Hii ukiipata kwa mwanamke wa siku hizi sio siri kama ni Mimi ela yoyote ninayo ipata ni Mali yako na unazidi kuniongezea nyege za kutafuta pesa hata kuiba nitaiba
 
Back
Top Bottom