Zanzibar 2020 Toka CHADEMA ianzishwe haijawahi kuwa na ushawishi Zanzibar

One, hakuna critical thinkers, sioni hata kidogo, Mtu kama wewe uko media unaweza ukawa vilevile ni informer, I had witnessed you guys when you scramble for those envelops full of money.
Mkuu Interested Observer , kwenye hili la critical thinkers wapo ila wameamua ama kukaa kimya ama they don't think critically anymore, instead they think positive kuisaidia nchi kupata maendeleo kwa powers of positive thinking.

Hili la media ku scramble for those little brown envelopes ni kweli lipo na linatudhalilisha, ila sio waandishi wote tuko hivyo, mimi being one of them ambao hatupokei bahasha na tunalaani udhalilishaji huo wa kuwapa bahasha waandishi kwa mtindo huo wa kudhalilisha.

Media, Tumedhalilishwa!, Tumejidhalilisha!. Ni Matokeo ya Sheria Mbovu, Umasikini, Dawa ni Kuunganisha Habari na UtangazajI, Tulipwe Fungu Nene!.

Sio kila bahasha ni rushwa, nyingine ni sitting, nyingine ni logical support
Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa - Pasco wa JF!
P
 
Hayo maendeleo unayosema hayana sustainability, huyo msukuma mwenzio kaua macro/micro economy principle. sijui source ya funding itatoka wapi?
1. Baada ya uchaguzi ni sanctions
2. Kodi - almost hamna walipaji
3. no FDI
4. China ambayo umeitukana Kwa sababu ya bagamoyo port watakuwa very careful

anyway who cares ?
Tatizo ni kukariri uchumi wa vitabuni.

Macro na micro ni ujinga tu! Unazoita principles zimetumika sana kuifanya Afrika iwe ni kapu la majaribio. Nchini sioni principle yoyote ambayo imevurungwa labda kama unasema zile investment na monopoly za kikabila! Micro za kujenga mahotel tu! CRDB inavuma kwa ku-target sekta moja, mahotel na kabila moja wachaga bila kujali risks za sekta.

Btw., hakuna principles za economics ni uzembe wa kufikiri tu. Wapi dunia hii principles kama hizo ziliwahi kuinasua nchi toka ktk umaskini? Ktk principles hizo, utumwa na ukoloni umetajwa? Kama jibu ni hapana, huo ndo mtego kwa wasomi wetu wanaokariri vitabu vya wazugu wakati wao walipitia utumwa na ukoloni kuendelea.
 
HAPANA, ukiangalia kwa haraka haraka ndo unaweza kudhani Zanzibar, hususani Pemba issue sio chama bali Maalimu Seif lakini ukweli ni kwamba, Zanzibar, hususani Pemba, issue ni chama... na chama hicho kisiwe CCM wala kinachofungamana na CCM!...
Maalim Seif akienda CCM leo wafuasi wake wanamfuata.

Rudia msemo wao "Alipo tupo" Alipo nani? Maalim Seif ndio jibu. Maalim angekaa pembeni mwaka huu, sisasa zingepwaya sana, maan watu hawana wa kumuamini.
 
Maalim Seif akienda CCM leo wafuasi wake wanamfuata.

Rudia msemo wao "Alipo tupo" Alipo nani? Maalim Seif ndio jibu. Maalim angekaa pembeni mwaka huu, sisasa zingepwaya sana, maan watu hawana wa kumuamini.
Alipo walipo ndo kama ambavyo kaenda ACT na wenyewe woooote wameingi ACT kwa sababu huyo Maalim Seif na mwenyewe ni sehemu ya hao Wapemba waliokataa CCM ambayo ni mkono wa Tanganyika!

Alipo wapo ni kama ambavyo mwaka 2015 Wapemba kwa ujumla wao waliamua kuiunga mkono CHADEMA!!

Sikatai kwamba Maalimu Seif ana ushawishi mkubwa sana lakini ushawishi wake unatokana pia na Wapemba kuikataa CCM na Tanganyika yake!!

Hata ukiangalia historia ya 1960's, ASP yenye mafungamano na TANU ya Tanganyika ilikuwa inashindwa kuunda serikali kwa sababu walikuwa wanapata viti vicha sana kutoka Pemba! Kwenye uchaguzi wa mwaka 1963 kwa mfano, ASP ilipata viti 2 tu kutoka Pemba!!
 
Mkuu 1000 digits , hiyo siku, utaisubiri sana kufuatia Watanzania wanataka maendeleo na CCM ndicho chama pekee kinacholeta maendeleo hivyo Watanzania wataendelea kuichagua CCM daima dumu!.
Ushahidi ni usubiri October 28,

Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P



CCM mnakosea sana kudhani kuwa watanzania wote bado ni wajinga kwa kiwango cha kuwadanganya .

CCM inarudisha nyuma maendeleo ya nchi .
Sisi Tanzania tuna vijiji tofauti na Ulaya.
Huwezi kutumia bajeti yote kuweka majengo na maofisi mijini huku watu wa vijijini wakiwa na maisha magumu na miundo mbinu duni.

Hivi bunge lina kazi gani kama chama kingine kitashindwa kuleta maendeleo wakati kuna wawakilishi wao wanapiga bajeti ya maendeleo?

Huu ujinga wa CCM wa kutisha wabunge ili pato la nchi litumiwe na mtu mmoja kufuga wanayama na kujijengea kiwanja cha ndege nyumbani kwake ndio maendeleo?
Kwa nini Bunge lisiwe huru ili wabunge wapiganie maslahi ya wapiga kura wao na mgawanyo sawa wa pato la ncho kulingana na hali ya umaskini ilivyokaa.

Hivi Geita na Chato kuna umaskini wa kupeleka pato lote la nchi pale kama kipao mbele cha nchi nzima ukilinganisha hata na Loliondo, Liwale, Kilindi,kiteto, Dodoma vijijini na maeneo mengi ya kigoma,Pemba ,Mafia n.k? Kwa nini wabunge wa maeneo hayo walikaa kimya huku wakiona wazi kuwa Reli,ndege,kiwanja cha mtu binafsi sio mahitaji ya wapiga kura wao?

Bila shaka vitisho ,woga wa kupigwa mashangazi zao na kufukuzwa ubunge na kusakamwa wakipinga ndio sababu ya wao kukubaliana na hiyo mipango ya ajabu ya kuwatia umaskini watanzania wengi huku wachache wanaotumia mitutu ya bunduki kutisha watu wakiendelea kutembea na mabegi ya pesa . Wao pesa hazipungui kwenye mabegi ila wanyonge wanaambiwa pesa sio muhimu bali ndege. Wao hawazipeleki zao kwenye ndege badala yake wanatembea nao kwenye mabegi kugawa kama pipi ili wasifiwe kwao sifa ni muhimu kuliko shida za watu.

Chama kingine kitakuja labda kama Mungu naye ni mwanachama wa CCM ! Chama kingine kitakuaja na dalili yote ipo wazi mwaka huu ,CCM ijiandae mana hakuna mtu atakayewapigania matajiri wa CCM kwa maslahi yao na familia zao. CCM ijiandae kuanzaia Zanzibar mana weshajua kuwa kuwapigania watu kwa dhulma hakujawahi kupata kibali kwa Mungu. Mungu atabadili mioyo ya mamilioni ya watanzania na watajawa na roho ya ujasiri na wengi hawataamini . Nchi yetu tulifikia mahali pa kuvumiliana kisasa lakini amekuja mtu mmoja ameleta siasa za Chuki na kuteka watu na dhulma za kila aina huku watu wakijipendekeza kinafiki.
 
Kwa political analysists wazuri watakubaliana na mimi kuwa katika uhai wake kama Chama cha Siasa kimefail kuwa na ushawishi katika upande wa pili wa muungano. Jambo hili halina afya nzuri kwa chama cha siasa Tanzania kwani kinapaswa kuwa na uwezo, wanachama na nguvu katika pande zote za muungano....
Kipi kingine chama kule. Mambo ni Maalimu. Angeingia cdm labda

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa political analysists wazuri watakubaliana na mimi kuwa katika uhai wake kama Chama cha Siasa kimefail kuwa na ushawishi katika upande wa pili wa muungano. Jambo hili halina afya nzuri kwa chama cha siasa Tanzania kwani kinapaswa kuwa na uwezo, wanachama na nguvu katika pande zote za muungano...
Kweli kama ilivyo ccm,Inaiba tu kura haijawahi kushinda
 
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
 
Kwa political analysists wazuri watakubaliana na mimi kuwa katika uhai wake kama Chama cha Siasa kimefail kuwa na ushawishi katika upande wa pili wa muungano. Jambo hili halina afya nzuri kwa chama cha siasa Tanzania kwani kinapaswa kuwa na uwezo, wanachama na nguvu katika pande zote za muungano...
Hivi unakumbuka 2015 mgombea urais JMT kupitia chadema alipata kura nyingi Zanzibar kuliko mgombea wa ccm?
 
Duh...!,Mkuu Interested Observer , yamekuwa hayo?!, anyway tuna program gani?.
Kama ni kwa kuusema ukweli mchungu wa CCM kutawala milele, huu ndio ukweli wenyewe uliopo na tarehe 28 October, utashuhudia.
P
Wew jamaa siku hizi umezeeka vibaya sana. Hata Kama ni kumtetea Msukuma mwenzio Magu basi uwe unatumia walau kdgo ubongo wako. Miaka 57 chini ya ccm watu wana kunywa maji na wanyama yenye Matope halafu unazungumzia utopolo wako huo kweli.
 
Back
Top Bottom