Nimefuatilia sana wanaopinga tohara kwa Wanawake, lakini wanataja hasara tu.Faida nilizosikia kwa kuwahoji makabila yanayokeketa Wanawake ni haya yafuatayo:-
1. Kuzuia U.T.I kwa watoto wa Kike.
2. Kupunguza msuguano wa uke na hivyo kupunguza ashki ya kingono kwa Msichana.
3. Kuzuia uhuni/umalaya kwa Wasichana/Wanawake.
4. Kumuweka Msichana katika hali ya utuuzima.
5. Kumfanya mwanamke atulie katika Ndoa.
Wana JF haya niliyosikia ni ya kweli katika hali halisi ya maisha?
1. Kuzuia U.T.I kwa watoto wa Kike.
2. Kupunguza msuguano wa uke na hivyo kupunguza ashki ya kingono kwa Msichana.
3. Kuzuia uhuni/umalaya kwa Wasichana/Wanawake.
4. Kumuweka Msichana katika hali ya utuuzima.
5. Kumfanya mwanamke atulie katika Ndoa.
Wana JF haya niliyosikia ni ya kweli katika hali halisi ya maisha?