Togo National Team Shot in Ambush, what's their fate?

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,839
Togo football team's bus fired on


_45343195_breaking_226x170.gif


A bus carrying Togo's national football team to the Africa Cup of Nations has been hit by machine-gun fire, injuring two players, reports say.

The reported incident occurred as the bus was en route to Angola from the Democratic Republic of Congo.

The Africa Cup of Nations is due to start in Angola on Sunday.
Togo's first game is to be played on Monday in the oil-rich northern territory of Cabinda, where rebels have been fighting for independence.

The identities of the wounded players are not known. There are unconfirmed reports of serious injuries.

The Togolese team includes Manchester City striker Emmanuel Adebayor.

source; http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/8449319.stm
 
Togo football team's bus fired on


_45343195_breaking_226x170.gif


A bus carrying Togo's national football team to the Africa Cup of Nations has been hit by machine-gun fire, injuring two players, reports say.

The reported incident occurred as the bus was en route to Angola from the Democratic Republic of Congo.

The Africa Cup of Nations is due to start in Angola on Sunday.
Togo's first game is to be played on Monday in the oil-rich northern territory of Cabinda, where rebels have been fighting for independence.

The identities of the wounded players are not known. There are unconfirmed reports of serious injuries.

The Togolese team includes Manchester City striker Emmanuel Adebayor.

source; http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/8449319.stm

Hawa sasa nao pia wamejitakia.

Yaani usafiri wa basi kutoka Togo mpaka Angola through Congo.
Sehemu zote hizo are not safe.

They need to fire the person who organised the trip.

Poleni waliojeruhiwa.
 
Hawa sasa nao pia wamejitakia.

Yaani usafiri wa basi kutoka Togo mpaka Angola through Congo.
Sehemu zote hizo are not safe.

They need to fire the person who organised the trip.

Poleni waliojeruhiwa.

Mmmmh hiyo safari mbona ni ndefu mno?kama kweli walitoka Togo kwa Bus ina maana ilibidi wapite Nchi Tano (Benin,Nigeria,Cameroon,Gabon na Congo) na ukizintia barabara za huko..kwa kweli aliyeandaa hiyo safari hana sababu ya kutochukuliwa hatua...hata kama ni suala la ukwasi lakini hiyo ni kali zaidi!
 
Mmmmh hiyo safari mbona ni ndefu mno?kama kweli walitoka Togo kwa Bus ina maana ilibidi wapite Nchi Tano (Benin,Nigeria,Cameroon,Gabon na Congo) na ukizintia barabara za huko..kwa kweli aliyeandaa hiyo safari hana sababu ya kutochukuliwa hatua...hata kama ni suala la ukwasi lakini hiyo ni kali zaidi!

Mwawado,

nd'o hapo mkuu. Mwenyewe nashangaa hio safari ni ya umbali gani jamani.
Inanikumbusha jamaa wanaozamia Sauzi kwa mabasi.

Afu hawa ni ma-Pro players na kupata tikiti ya ndege ni kama kawa.
Sasa angalia ujinga wa mtu serikaini ulivyosababisha maisha ya watu
yawe taabani.

Bahati yao hawakutekwa nyara kisha tuanze kusikia yale ya Somali ya
kutoa ransom.
 
Hawa sasa nao pia wamejitakia.

Yaani usafiri wa basi kutoka Togo mpaka Angola through Congo.
Sehemu zote hizo are not safe.

They need to fire the person who organised the trip.

Poleni waliojeruhiwa.

Waliweka camp Congo Brazzaville. Walikuwa wanasafiri kutoka Brazzaville (Congo) kupitia Congo (ya Kabila) kuelekea Kabinda (si mbali sana)
 
...sijui kwanini, lakini wanasema Adebayor yu salama, Dereva wa hilo coach marhum sasa!
 
Du, safari ya Umajumui wa Afrika (Pan-Africanism) inazidi kuwa ngumu!

Huwa nina ndoto za kufanya trip africa nzima kuanzia kusini hadi juu kule, na mashariki hadi magharibi kwa barabara, I guess itabidi nisubiri (naomba msinishambulie kama lady jaydee!).
 
Hawa sasa nao pia wamejitakia.

Yaani usafiri wa basi kutoka Togo mpaka Angola through Congo.
Sehemu zote hizo are not safe.

They need to fire the person who organised the trip.

Poleni waliojeruhiwa.
Inavyoelekea ni kwamba hao jamaa tayari walikuwa ndani ya Angola (nafikiri walikwenda kwa ndege mpaka Luanda) kwani hata dereva wao aliyeuawa ni raia wa Angola. Sasa kutoka Luanda kwenda Cabinda ndio wakatumia basi (walilopewa hapohapo Luanda?!) wakipitia Congo (DRC), ukiangalia ramani ilivyo haiwezekani kufika Cabinda kwa barabara bila kupitia Congo maana Congo imetenganisha the mainland of Angola from Cabinda, in fact ingekuwa more logical kama Cabinda ingekuwa sehemu ya Congo kuliko Angola!
 
iNASIKITISHA SANA HII...aNGOLA WAJIPANGE MASHINDANO YAMEANZA KUWA NA DOSARI.
 
Hawa sasa nao pia wamejitakia.

Yaani usafiri wa basi kutoka Togo mpaka Angola through Congo.
Sehemu zote hizo are not safe.

They need to fire the person who organised the trip.

Poleni waliojeruhiwa.


Wachezaji walikuwa wanatoka Congo ambako wamepiga kambi ya Mazoezi.

Ndio hali halisi ya Afrika...bado tupo zama za mawe.

Angola wamekuwa kwenye vita kwa miaka mingi sana hili ni tatizo la CAF ambao walihongwa na serikali ya Angola kupeleka mashindano nchini kwao. Haiingii akilini hata leo ni wangapi wako radhi kwenda kuishi Angola let alone kwenda kutembea.

Du, safari ya Umajumui wa Afrika (Pan-Africanism) inazidi kuwa ngumu!

Hakuna kitu kama hicho. Hatuhitaji Muungano wowote ule tupo tofauti sana na wala haitawezekana kuwa wamoja.

...sijui kwanini, lakini wanasema Adebayor yu salama, Dereva wa hilo coach marhum sasa!

Waliyoleta hiyo story ni waingereza wao wanawapalilia wachezaji wanaowaingizia kula kwenye premier League. Hivi ulikuwa kujawagundua hawa wanafiki? Waulize ankal wao Kenya.
 
...Damn, foreign media wanaishikia bango hili mpaka FIFA World Cup 2010 South Afrika iingie dosari!
 
Angola_map.png


Angalieni Cabinda ilipo.FLEC separatists wanataka kutoka katika Angola.
Hii njia ya kushambulia wa Togo ni stupidity.wangetaka wangefanya kwa waangola
sio kwa wageni.
 
Nchi ya Angola ni tajiri wa mafuta,almasi,mbao etc.rais wao ni dictator Dos santos ambae yuko madarakani miaka 30 sasa.Ni tajiri yeye na family yake,especially binti yake isabel.

Cabinda inatoa asilimia 60 ya mafuta ya angola,lakini wananchi wake ni really very poor ambao wako kama laki mbili na nusu!
ndio maana tangu indepence 1975 ,wanataka independence toka angola,though waangola wameishikiria kimabavu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom