Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
MWILI NYUMBA nimependa avatar yakoWao wanakwend na muda,kama ndege ni saa fulani basi on the dot watu mna board safari inaanza,sasa bongo huku hata ratiba haieleweki ndiyo maana mnaweza wekwa masaa ma3 reporting room mnang'aa sharubu tu sasa kwanini nisilale kama nimechoka?
Thanks,hapo nilikuwa namalizia ukoko wa kiporo cha ubwabwa!
hahahahahah kwa mwili huo unaweza pambana hata na viporo ukoko wa ugali nakupitia baadae twende mazoezi
mzee unajua sana kuumbua maana watu kama hawa hawatofautiani na hao wanaombeba prince william.pambaf.