Tofauti ya Utawala wa Hayati Rais Magufuli na Rais Samia

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,379
Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.

Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.

Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
 
Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.

Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.

Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.

Umeacha kazi ya kuchunguza wasanii sasa unakuja kwenye mengine
 
Magufuli hakuwa kiongozi, alikuwa mtawala. Kuhusu Kila mtu kuwa msemaji basi wengi walikuwa kipindi cha magufuli. Kuna mbunge aliwahi kusema Rais atoke chato kwani yeye ni nesi? Hapo hawajamsemea rais? Au Kama kawaida ule ugonjwa wenu unaendelea kuwatafuna?
 
Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.

Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.

Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.
Yaani mtu anyekuja na bla bla za Magufuli kuwa Kiongozi huwa simuelewi. Magufuli awe kiongozi kweli au maana ya Kiongozi imebadilishwa siku hizi?
MTAWALA, MTAWALA, MKANDAMIZAJI.
 
Wacha awaachie ndiyo namna pekee atawajua na kuwasoma vizuri.
Maana ukiwafunga midomo wanakuwa nayo moyoni, wanazungumzia pembeni, wakija kuachiwa ndiyo wanalipuka kama wanavyolipuka.
Sasa waachiwee tu!
Atamjua nani mnafiki nani rafiki nani mstaarabu nani mtata.

Pia awaache wapambane wenyewe kwa wenyewe yeye watampa gap.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Yaani mtu anyekuja na bla bla za Magufuli kuwa Kiongozi huwa simuelewi. Magufuli awe kiongozi kweli au maana ya Kiongozi imebadilishwa siku hizi?
MTAWALA, MTAWALA, MKANDAMIZAJI.
Kichwa cha habari Ni tofauti ya utawala, so tofauti ya uongozi.
Na Je, raisi afaa awe kiongozi ama mtawala!!!!!!.
 
Uhuru naona umezidi sana, na siku zote uhuru ukizidi sana Adabu hupungua, naona viongozi wengi sasa hivi wanajitutumua kila mtu anajionyesha yeye ndio yeye wakati kipindi cha Magufuli hawakua hivyo. Sijui ndio wanaita freedom of speech ila Naona hii freedom itatupeleka pabaya sana kama nchi.

Magufuli alikua ni kiongozi imara sana na mwenye mamlaka kama kiongozi, akisema kitu unaona kabisa raisi kasema, ila kama yetu Naona watu wanampanda sana kichwani, kila mtu anajifanya mjuaji, kila mtu anajifanya msemaji wa raisi.

Sina uhakika na hii nchi inapoelekea, Mungu azidi kutuongoza kwa kweli. Ki ukweli hii nchi ilifaa mtu mahiri na mwenye misimamo mikali kama Magufuli, mtu asiyeyumbishwa hovyo na misimamo yake.

"Tofauti ni Ukataji tiketi ndani ya treni yaani malipo sio kwa GePG tena"
 
Magufuli hakuwa kiongozi, alikuwa mtawala. Kuhusu Kila mtu kuwa msemaji basi wengi walikuwa kipindi cha magufuli. Kuna mbunge aliwahi kusema Rais atoke chato kwani yeye ni nesi? Hapo hawajamsemea rais? Au Kama kawaida ule ugonjwa wenu unaendelea kuwatafuna?

It’s a matter of Time
 
Yaani mtu anyekuja na bla bla za Magufuli kuwa Kiongozi huwa simuelewi. Magufuli awe kiongozi kweli au maana ya Kiongozi imebadilishwa siku hizi?
MTAWALA, MTAWALA, MKANDAMIZAJI.

Alikua mtawala sahihi kwa nchi sahihi
 
Wacha awaachie ndiyo namna pekee atawajua na kuwasoma vizuri.
Maana ukiwafunga midomo wanakuwa nayo moyoni, wanazungumzia pembeni, wakija kuachiwa ndiyo wanalipuka kama wanavyolipuka.
Sasa waachiwee tu!
Atamjua nani mnafiki nani rafiki nani mstaarabu nani mtata.

Pia awaache wapambane wenyewe kwa wenyewe yeye watampa gap.

Everyday is Saturday...............................

Well said , kitu nilichomis kutoka kwa magufuli ni msimamo wake , tulikua tuna feel safe sana kwenye uongozi wake, alikua kama Baba akisema kasema, viongozi walikua wanapiga kaZi, watu walipunguzwa kuonewa.

Mbaya sana kuwa na raisi ambaye haeleweki, wananchi tunajawa hofu , ila kiongozi akisimama makini hata wananchi hofu huondoke, kama ilivyokua kipindi cha korona, magu alionyesha msimamo mkali sana kama raisi , na kama mwanaume na kama kiongozi, apumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom