sosssy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 668
- 534
habar wadau , habari za sikunyingii
hatimae JF yetu imerudiii
twende kwenye mada wakuu.
binafsi nimekua nina interest kubwa ya kumiliki trector walau 2 tu while nikifanya mishe mishe zangu town naamini ntafika ninapo pata kwa haraka zaid sas shida ni kuusu hizi trector za kichina hivi zina tatizo gan mana ni cheap sana.. unakuta trector ina uzwa us dolla 3500 na trector ni mpya yaan 0 kilometer 4wd hp 85 hapo hapo ukija upande wa pili huku kwa kina john deere trector 4wd hp 85 bei yake hugusii yan ni pesa ndefu ambayo kwa usawa huu wa magu kijana kama mimi kupata hio pesa inakua ni mazoeziii
ombii kwa wataalam tofaut hasa ni ipiii
kwan hizi trector za kichina haina uwezo kwa kulima walau eka 15 per day??
mana izo massey zipo naziona mtandaon had dollar 3500 sas shida ni kweli zinauzwa bei hio mana USA ni mbali na actually siamini hizi mitandao
izi massey ni bei yke kwel au fixx binafs nilifikilia nikanunue tu trector za kichina mana ni cheap sanaaa
naomben ushauli kabla cjapotea wadau...
hatimae JF yetu imerudiii
twende kwenye mada wakuu.
binafsi nimekua nina interest kubwa ya kumiliki trector walau 2 tu while nikifanya mishe mishe zangu town naamini ntafika ninapo pata kwa haraka zaid sas shida ni kuusu hizi trector za kichina hivi zina tatizo gan mana ni cheap sana.. unakuta trector ina uzwa us dolla 3500 na trector ni mpya yaan 0 kilometer 4wd hp 85 hapo hapo ukija upande wa pili huku kwa kina john deere trector 4wd hp 85 bei yake hugusii yan ni pesa ndefu ambayo kwa usawa huu wa magu kijana kama mimi kupata hio pesa inakua ni mazoeziii
ombii kwa wataalam tofaut hasa ni ipiii
kwan hizi trector za kichina haina uwezo kwa kulima walau eka 15 per day??
mana izo massey zipo naziona mtandaon had dollar 3500 sas shida ni kweli zinauzwa bei hio mana USA ni mbali na actually siamini hizi mitandao
izi massey ni bei yke kwel au fixx binafs nilifikilia nikanunue tu trector za kichina mana ni cheap sanaaa
naomben ushauli kabla cjapotea wadau...