MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,504
- 30,915
Habari wana JF na poleni sana na ugonjwa huu wa corona, hakika tutavuka kwa kudra za Mola.
Kama mada inavyojieleza nimetafakari sana nimejiuliza maswali mengi kwanini tarehe, miaka na nyakati zinatofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine. Wachina wana mwaka wao na mwaka mpya wao, waislam wanazo nyakati zao na mwaka wao, halikadhalika wahabeshi na jamii nyingine kongwe. Hii inatokana na nini? Je kwetu Chato na sisi tuna nyakati zetu? Hii inasababishwa na nini? Naomba kujuzwa
Kama mada inavyojieleza nimetafakari sana nimejiuliza maswali mengi kwanini tarehe, miaka na nyakati zinatofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine. Wachina wana mwaka wao na mwaka mpya wao, waislam wanazo nyakati zao na mwaka wao, halikadhalika wahabeshi na jamii nyingine kongwe. Hii inatokana na nini? Je kwetu Chato na sisi tuna nyakati zetu? Hii inasababishwa na nini? Naomba kujuzwa