kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,481
Kuna swali huwa najiuliza hivi ni kwanini wazungu wengi wakipata hela sio malimbukeni kama sisi Wafrika. Kwa waafrika uvaaji wetu, mahusiano na wasio nacho unakuwa tofauti sana na wazungu kwani huwa hawabadirishi sana ile 'style' yao ya maisha ya kila siku.Tatizo letu wafrika ni nini?