Ficus
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 1,440
- 1,116
Wadau habari za siku? Natumai mtakuwa vyema kwa wagonjwa na wenye matatizo poleni. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, naomba kujua tofauti ya gari hizo hasa kuanzia models za kuanzia mwaka 2005 kupanda maana ukiangalia kimuonekano wa kiumbo hazina tofauti kabisa. Na model ipi ni nzuri zaidi ya nyingine in terms of performance, stability, maintenance etc