Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,179
Ukiwa 37 kwa wengi uko kwenye ajira, kama ni mkulima ndiyo wakati wa shamba kukutegemea kwa kiasi kikubwa au biashara inakupa changamoto.
Unahangaika kujenga na kusomesha watoto. Ndoa inapitia changamoto na kuna wakati unajuta kumuoa au kuolewa na yule.
73 Birthday Party ni surprise kutoka kwa wajukuu. Nyumba unayoishi ni ya kwako na kuna wapangaji wanakupa kodi kila mwezi.
Mke/mume wako amekuwa rafiki mkuu kama bado yuko hai. Biashara umewaachia watoto au umeuza. Mwajiriwa anapata kikokotoo.
Unahangaika kujenga na kusomesha watoto. Ndoa inapitia changamoto na kuna wakati unajuta kumuoa au kuolewa na yule.
73 Birthday Party ni surprise kutoka kwa wajukuu. Nyumba unayoishi ni ya kwako na kuna wapangaji wanakupa kodi kila mwezi.
Mke/mume wako amekuwa rafiki mkuu kama bado yuko hai. Biashara umewaachia watoto au umeuza. Mwajiriwa anapata kikokotoo.