Wakarismatiki wanatakiwa wafundishe ukatoliki hasa. Sio kuiga Mambo ya walokole. Walokole wajifunze kwa wakatoliki sio kinyume chake. Wakarismatiki wameelewa vibaya ukarismatiki. HAKUNA askofu timamu atawaruhusu kirahisi mpaka wabadilike. Au wajitenge wafungue kanisa lap maana hawaelewi wao Ni nani
Napendekeza vipindi vya usiku wapewe Wakaristimatiki jimbo kuu la Dar badala ya kupiga muziki mfululizo. Hii itavuna wasikilizaji wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app