TOFAUTI YA ORDINRY BUS, SEMI LUXURY NA LUXURY BUS kwa hapa TZ

Yaani full luxury siti 2 by 2, full kipupwe, dawa unachimba humohumo,soft drinks kama kawaida..siti za kulala,una adjust kulingana na mahitaji yako,then bus ina pulling ya kuvuta mizigo sio lazima tushindilie kwenye staff carrier!
 
Ordinary bus ni sawa na kajamba nani unapanda na kuku mbuzi jiko la mkaa masufuria maana hauna uhakika wa safari mtafika lini pia usisahau na mashuka dawa za mmbu, mende na kunguni na pia sia ajabu ukakuta siti moja mmekatiwa watu wanne so mnapangiana zamu za kukaa kwa masaa hadi mwisho wa safari mwendo kwa magari haya haujulikani kwakuwa hayana speedoometer na luxury ni kuwa unakaa kiti cha peke yako unapata huduma zote utakazo ikiwemo choo bafu maliwato kwa ujumla pia kuna chakula bia na pombe kali kuna smoking zone kuna ofisi pia kuna secretary na unaweza kusimamisha bus ukashuka ukaingia dukani mahala popote na zaidi unafikishwa hadi mlangoni kwako mwisho wa safari mwendo wa gari hili ni 50 km/h


sasa mkuu hapa bongo hilo luxury utalipata wapi au SUMATRA walikuwa wanapanga nauli kwa FORESEEABLE FUTURE?? au ndo mpango maalumu kwa hayo mabasi yaendayo kasi?? kusema kweli hiki ni kizungumkuti.... tupotupo tu na hatujielewi kabisa Eti pipi na soda zina determine kama hii ni Luxury au sio Luxury!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom