Loy MX
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 1,253
- 312
Nimepitia thread moja ya mdau hapa JF ikieleza namna nauli za SUMATRA zilivyopangwa kifupi kwa hapa bongo sijajua kampuni gani ni Ordinary na nyingine ni Luxury au Semi luxury... Au mabasi gani ni Ordinary, Semi Luxury an Luxury.. Kwa mdau yoyote anaeweza kufafanua hili jambo msaada tafadhali sababu naona dalili ya kuibiwa pale ubungo nikimaanisha unaweza lipia Semi Luxury au Luxury na ukakuta Mvua ikinyesha Basi linavuja...
Natanguliza shukrani wadau
Natanguliza shukrani wadau