TOFAUTI YA "NA NA " AU" .UKITUMIA VIBAYA UBADILI MAANA.HATA UKIHAMISHA , (koma) kwenye sentensi,means ubadilika.

ishengoma kamuhanda

Senior Member
Oct 2, 2016
136
116
KISA CHA KWELI.KUNA MTU MMOJA ALIUGUA SANA AKAAMUA KWENDA UINGEREZA KUTIBIWA.HUYO MME ALIKUWA NA MKE NA MKE WAKE ANA WUVU SANA MAANA ALIJUA MME WAKE NAE PIA "HAJA TULIA".BASI MME KAKAA KWENYE HOSP UINGEREZA MIEZI SITA.MKE KAMTUMIA MESEJI KUMJULIA HALI.ALIIANDIKA KWA KIINGEREZA LAKINI MAHALI ALIPOWEKA KOMA SIPO. Meseji ni hii hapa."IF YOU HAVE SO FAR NOT GOT ANY, BETTER COME BACK."Ilitakuwa aandike " IF YOU HAVE SO FAR NOT GOT ANY BETTER,PLEASE COME BACK HOME".Kuhamisha tu , ,MAANA imebadilika."AMEPOTEA NA AMEKUFA na AMEPOTEA AU AMEKUFA"
 
Mkuu umeanza vizuri sana ila umeboronga hapo mwishoni.

Communication skills ni tatizo kubwa sana kwa watanzania mfano Profesa Jalala huwa anapenda kujibu maswali ambayo hajaulizwa.
 
Mkuu umeanza vizuri sana ila umeboronga hapo mwishoni.

Communication skills ni tatizo kubwa sana kwa watanzania mfano Profesa Jalala huwa anapenda kujibu maswali ambayo hajaulizwa.

Huyu Pro-fedha anafikri kwa vile ni Professor basi ana AKILI, BUSARA na HIKMA kuliko watu wote...yaani kila anachosema ni SAHIHI na akikosolewa anawaambia watu HAWAKUMWELEWA kwa vile hawana AKILI...!!This is the issue.

Pro-fedha anasahau kwamba kumbe KUWA NA MAARIFA, HEKIMA NA BUSARA ni KIPAWA TOKA KWA MWENYE ENZI MUNGU....The Bible says...MITHALI 1: 17
''KUMCHA BWANA NI CHANZO CHA MAARIFA...BAALI WAPUMBAVU HUDHARAU HEKIMA NA BUSARA''

Kabudi na Serikali yote ya CCM na Magufuli wake wanajaribu kuwalisha watu matango pori kwa kuwalaghai Wadanganyika kuwa alichoongea ati hakumanisha kuwa AZORYGWANDA ALIPOTEA NA KUFA baali alimaamisha kuwa ''alipotea au kufa'' hii ni kuwafanya watu hawana akili..!! DUNIA NZIMA IMESIKIA HIVO HUYU PRO-FEDHA KIBAKA ATULIE TU.
 
KISA CHA KWELI.KUNA MTU MMOJA ALIUGUA SANA AKAAMUA KWENDA UINGEREZA KUTIBIWA.HUYO MME ALIKUWA NA MKE NA MKE WAKE ANA WUVU SANA MAANA ALIJUA MME WAKE NAE PIA "HAJA TULIA".BASI MME KAKAA KWENYE HOSP UINGEREZA MIEZI SITA.MKE KAMTUMIA MESEJI KUMJULIA HALI.ALIIANDIKA KWA KIINGEREZA LAKINI MAHALI ALIPOWEKA KOMA SIPO. Meseji ni hii hapa."IF YOU HAVE SO FAR NOT GOT ANY, BETTER COME BACK."Ilitakuwa aandike " IF YOU HAVE SO FAR NOT GOT ANY BETTER,PLEASE COME BACK HOME".Kuhamisha tu , ,MAANA imebadilika."AMEPOTEA NA AMEKUFA na AMEPOTEA AU AMEKUFA"

Yiwe wabonaki...?
Huu ndiyo ujuaji wa kuleta mifano isiyoendana na hoja. Wewe hapa umejaza makosa kibao kwenye andishi lako(angalia red marks). Huyu Profedha Ka-BUNDI hakuwa anaandika sms au taarifa kuhusu kupotea kwa AZORY GWANDA baali ALIKUWA AKIHOJIWA MUBASHARA NA KUONGEA PAPO KWA PAPO. Kwa msomi kama huyu TENA MWANASHERIA aliyebobea hatukutegemea KAULI HII YENYE UKAKASI....maana ipo hawa watu WASIOJULIKANA NA WANAO WATUMA watafikishwa mbele ya aidha Mahakama za Bongo au ICC na kauli kama hii ka-BUNDI itakuwa ni moja ya ushahidi muhimu sana.....!!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom