Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,767
Kuna tofauti kubwa Sana kati ya kuwa na akili nakuwa msomi katika Zama hizi kumekuwa na ongezeko kubwa la wanawake wasomi kwa kiasi kubwa na ni janga kubwa kwa generations ya sasa haswa kwenye taasisi ya NDOA wanawake wasomi ni kama janga la kitaifa kwa sasa najua hapa ni ngumu kunielewa
Leo naomba tuwaongelee kidogo wanawake wasomi na wenye akili
WENYE AKILI, Hawa ni wachache Sana kwa kazazi cha sana ni bahat Sana kumkuta mwanamke mwenye akili wengi ni wasomi Sana na akili hawana wanaishi maisha ya wenzetu as usual ñdo wanaona ni sawa tumeshapoteza tamaduni as a africa tunacoppy maisha ya wenzetu kuanzia Life style na muonekano .kuongezeka kwa feminist ni janga . Mwanamke mwenye akili ni yule anajitambua katika jamii añajua nafasi yake kama mwanamke mvumilivu mwenye hekima na busara mfano halisi mwanamke mwenye akili huwez mkuta saloon anaoshwa kucha sijui kupaka rangi kucha bandia make-up mawigi
WASOMI, hawa ndio wametapakaa duniani kote Hawa ndio kutwa kushinda instagram, snapchat , yupo active social media kushinda saloon anaoshwa kucha,nywele kufanyiwa massagi kwenye masaloon wapenda usawa kwa kila Jambo hawa ndio wanataka hata kama mpo wawili lazma awepo house girl kula migahawani ngumu kucare family globalization hawa ni ngumu kudumu katika ndoa
Nakushauri oa mwanamke mwenye akili Huyu utadumu nae lkn Hawa WASOMI watawasumbua mm kuona mwanamke anashinda saloon sijui kubandika kucha sijui nn opless
Leo naomba tuwaongelee kidogo wanawake wasomi na wenye akili
WENYE AKILI, Hawa ni wachache Sana kwa kazazi cha sana ni bahat Sana kumkuta mwanamke mwenye akili wengi ni wasomi Sana na akili hawana wanaishi maisha ya wenzetu as usual ñdo wanaona ni sawa tumeshapoteza tamaduni as a africa tunacoppy maisha ya wenzetu kuanzia Life style na muonekano .kuongezeka kwa feminist ni janga . Mwanamke mwenye akili ni yule anajitambua katika jamii añajua nafasi yake kama mwanamke mvumilivu mwenye hekima na busara mfano halisi mwanamke mwenye akili huwez mkuta saloon anaoshwa kucha sijui kupaka rangi kucha bandia make-up mawigi
WASOMI, hawa ndio wametapakaa duniani kote Hawa ndio kutwa kushinda instagram, snapchat , yupo active social media kushinda saloon anaoshwa kucha,nywele kufanyiwa massagi kwenye masaloon wapenda usawa kwa kila Jambo hawa ndio wanataka hata kama mpo wawili lazma awepo house girl kula migahawani ngumu kucare family globalization hawa ni ngumu kudumu katika ndoa
Nakushauri oa mwanamke mwenye akili Huyu utadumu nae lkn Hawa WASOMI watawasumbua mm kuona mwanamke anashinda saloon sijui kubandika kucha sijui nn opless