playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
Asee tukae tukijua kuna tofauti kubwa sana ya mtu aliyekula tikiti maji na aliyekula ugali asubuhi,
Aliyekula tikiti maji asubuhi ya saa moja by saa nne tu njaa humuuma tena na huingia tena jikoni kuchukua kipande kingine cha tikiti na ikifika tena saa nane na saa 12 atakula tena na hivyo kumfanya hadi jioni kuwa kala mara nne na huweza kujisifu kwamba anakula sana huyu bwana na watu wakamshangilia kweli kweli kwamba jamaa anabunya hatari
Tofauti na aliyekula ugali muda mmoja na yule wa matikiti huyu anaweza fika hata saa mbili usiku ndo ale tena kwa kuwa ugali ni chakula kizito na hukaa muda mrefu tumboni na humeng'enywa taratibu kwa nidhamu tofauti na tikiti maji..............
Diamond Achana Na Matikiti Maji Nadhani Ni Muda Wa Kudeal Na Ugali Kama Kiba Hii Miziki Myepesi Myepes Ya Wiki Tatu Nne Sasa Basi Tuliza Kichwa Fanya Kazi Za Maana, Huoni Aibu Kiba Ana Ngoma Mpya Ya Seduce Bt Juzi Kawagaragaza Afrimma Na Aje?...
Don't you Asq Ur Selvz Why?....
Ila matikiti maji noo we want diamond yule wa lala salama nitarejea and other shits of that kind..
Aliyekula tikiti maji asubuhi ya saa moja by saa nne tu njaa humuuma tena na huingia tena jikoni kuchukua kipande kingine cha tikiti na ikifika tena saa nane na saa 12 atakula tena na hivyo kumfanya hadi jioni kuwa kala mara nne na huweza kujisifu kwamba anakula sana huyu bwana na watu wakamshangilia kweli kweli kwamba jamaa anabunya hatari
Tofauti na aliyekula ugali muda mmoja na yule wa matikiti huyu anaweza fika hata saa mbili usiku ndo ale tena kwa kuwa ugali ni chakula kizito na hukaa muda mrefu tumboni na humeng'enywa taratibu kwa nidhamu tofauti na tikiti maji..............
Diamond Achana Na Matikiti Maji Nadhani Ni Muda Wa Kudeal Na Ugali Kama Kiba Hii Miziki Myepesi Myepes Ya Wiki Tatu Nne Sasa Basi Tuliza Kichwa Fanya Kazi Za Maana, Huoni Aibu Kiba Ana Ngoma Mpya Ya Seduce Bt Juzi Kawagaragaza Afrimma Na Aje?...
Don't you Asq Ur Selvz Why?....
Ila matikiti maji noo we want diamond yule wa lala salama nitarejea and other shits of that kind..