Tofauti ya mkutano wa Lissu na Rais Samia, semina ya wadau wa siasa ambayo CHADEMA walikataa kushiriki

Lituye

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
1,862
5,679
Mkutano wa Lissu na Rais ulikuwa na ajenda za msingi zinazo ligusa taifa. Ajenda za Chadema ambazo pia ni za kitaifa zimetolewa na kujadiliwa pande zote mbili kwa hoja. Chadema wame litendea haki taifa kwa kuonesha ukomavu kisiasa na msimamo sahihi.

Seminar hupewa watu wasio na uelewa ili kujengewa uwezo ktk masuala mbali mbali. Chadema haikuwa sehemu ya Vyama vya siasa visivyo juwa majukumu yao ndio maana walikataa kuhudhuria semina hiyo ili kuviachia Vyama mbu mbumbu kushiriki.
 
Zitto Kabwe amejidharau mwenyewe baada ya mkutano wa Lissu
Sasa hivi wamenuna kweri kweriii baada ya kuona Msimamo wa Chadema umetekelezwa. Wameanza kuleta vihoja eti eeh kwa nini Lissu ameeleza walicho zungumza na Rais ooh Lissu mropokaji.

Mtaelewa tuu mtake msitake kuwa Chadema ndio kinatoa dira ya taifa.
 
Back
Top Bottom