Atateuliwa tenaYes lakini hawana mfuko wa jimbo. The end of Polepole is 2025, atapata wapi jimbo?
Iwapo mama atafumbia macho, hizo propaganda nyepesi za huyo slow slow.Atateuliwa tena
Huyu alikua kampeni meneja wa uchaguzi 2020. Anakula kiinua mgongo kwa hadaa alizowafanyia Watanzania.Iwapo mama atafumbia macho, hizo propaganda nyepesi za huyo slow slow
So weneyewe salary zao kwa mwezi ni kama bei gani vile?Yes lakini hawana mfuko wa jimbo. The end of Polepole is 2025, atapata wapi jimbo?
Kwa hiyo nao wanakamata 11m?Mfuko wa jimbo haina maana, issue wanakamata posho, mshahara, na kiinua mgongo.
Akitaka yapo mengi tu, labda kama huyaoni. Zaidi ya asilimia 60 ya wabunge wa sasa hawakua wabunge kabla ya 2021. Hivyo acha kujitekenya na kujichekesha mwenyewe. Jiulizi waliokuwa wabunge wateule awamu iliyopita kwa sasa ni wabunge wa namna gani kisha jijibu.Yes lakini hawana mfuko wa jimbo. The end of Polepole is 2025, atapata wapi jimbo?
Wanaliwakilisha jimbo la Ikulu na wapo loyal kwa aliyewateua. Kwa hiyo kazi yao ni kutetea kila kitu ambacho Serikali inachopeleka Bungeni.Hiv kaz Yao n nn hawa kina pole pole hawa
Yes, wanamaslahi yote Kama wabunge wengine. Na 50million Koonya mgogno. Allowances hizo usiseme tena, kiboko. Hivi huo I kila mtu a Ayala Kuwait mbunge. Sasa hivi wako Dodoma for 6 months eti budget, allowance kibao.Mfuko wa jimbo haina maana, issue wanakamata posho, mshahara, na kiinua mgongo.
Niambie mbunge gani hupinga? Hata Hilo bunge ni kupoteza muda na hela zetu. Wote ni ma yes men. Wako huko kwa matumbo Yao.Wanaliwakilisha jimbo la Ikulu na wapo loyal kwa aliyewateua. Kwa hiyo kazi yao ni kutetea kila kitu ambacho Serikali inachopeleka Bungeni.
Kimsingi hatuwahitaji kwa mfumo wa sasa. Ni upuuzi Rais kupewa nafasi 10 zaidi kuteua wabunge kwenye Bunge lenye watu zaidi ya 300+ kwa kile kinachoitwa kumpa wigo mpana wa kuteua mawaziri wake
I agree with you! But I wouldn’t vote for Polepole, ni mtu ambaye naona anajikomba! Looks to me like a primary school boy!Akitaka yapo mengi tu, labda kama huyaoni. Zaidi ya asilimia 60 ya wabunge wa sasa hawakua wabunge kabla ya 2021. Hivyo acha kujitekenya na kujichekesha mwenyewe. Jiulizi waliokuwa wabunge wateule awamu iliyopita kwa sasa ni wabunge wa namna gani kisha jijibu.
I support you on that, who can change thatWabunge wote wanapaswa kuwa wa majimbo