Mh Mkapa alikuwa akikujuwa unamzunguka anakuweka karibu then unapotea wakati ulila asali..
Mh Kikwete alikuwa anakuwa karibu na wewe mnakunywa chai ukizidi anakutumia watu na mwisho unapotezwa taratibu kiasi huwezi juwa nani amekupoteza mpaka uje juwa muda umepita.
Mh Magufuli hakufichi anakupa live anakuanika na mwisho unapotea kwa uchungu mkubwa sana kiufupi ktk hili mpaka yule msie mdhania yupo... Ila hakuna ambaye hatolia why wanaviapo na viapo vyao nivya kifo.... Tafakari
Mh Kikwete alikuwa anakuwa karibu na wewe mnakunywa chai ukizidi anakutumia watu na mwisho unapotezwa taratibu kiasi huwezi juwa nani amekupoteza mpaka uje juwa muda umepita.
Mh Magufuli hakufichi anakupa live anakuanika na mwisho unapotea kwa uchungu mkubwa sana kiufupi ktk hili mpaka yule msie mdhania yupo... Ila hakuna ambaye hatolia why wanaviapo na viapo vyao nivya kifo.... Tafakari