Sultan Kipingo
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 236
- 175
Heshima kwenu wakuu,
Naomba kufahamishwa tofauti ya maneno haya mawili, Mwambao na Pwani.
Naomba kufahamishwa tofauti ya maneno haya mawili, Mwambao na Pwani.
Hali halisi haina tofauti. Kiasili ilkuwa namna mbili tu ya kuiangalia sehemu ileile.Heshima kwenu wakuu,
Naomba kufahamishwa tofauti ya maneno haya mawili, Mwambao na Pwani.