mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,746
- 1,051
Nani kakudanganya ccm inakubalika?Upinzani ulikuwa juu sana kwa sababu ya ubovu wa Ccm lakini sasa Ccm ina inaimalika upinzani kwishinei.
Na wabunge wa upinzani waanze kujiandaa kisaikolojia kwani wataonge nini zaidi ya kusema Tunaonewa, tukitukana tuna kamatwa na mambo kama hayo.
Hivyo tumegundua kuwa ni wababaishaji sasa tunarudi kuanza upya na Ccm na upinzani wajijenge upya na waanze na tena na Mungu na wamalize na Mungu kama walivyo zoea kusema.
Nimecheka sana,yaani
Personal issue vs public issue