Tofauti ya kampeni baina ya CCM na CHADEMA

CCM (IRINGA) ; Ndg watanzania wenzangu naomba kura yako ili nikuleteeni maendeleo najua kwenye kata yetu tunashida ya maji hivyo mkinichagua nitaanza na tatizo hilo kadhalika barabara zetu hazipitiki hivyo lazima nitalifanyia kazi swala hili pia mapema iwezekanavyo nk... (anaendelea kueleza changamoto za kata husika na namna ya kutatua).
Pia anagusia hatua mbali mbali zinazochukuliwa na rais wetu mpendwa.

CHADEMA(LEMA..ARUSHA) ; Nimekaa jela miezi minne na siku 20, natembea na mswaki kwenye suti, siogopi police, naskia mkuu wa mkoa anataka ubunge wa jimbo hili, Lissu ameshambuliwa na risasi za kutosha, kila siku nawindwa..

Mbowe amebomolewa jengo lá NHC zamani bilcanas, hata kama alikuwa halipi Lakini.
Pia makamanda CCM ni wepesi sana..
NAOMBENI KURA ZENU KWA MGOMBEA WETU.

::::Tafakari na Chukua hatua::::::
Trump2 wewe ni mnafiki. Kama umeamua kueleza kampeni, elezea wagombea walisema nini kila upande. Iringa unaeleza alichosema mgombea, Arusha unaeleza alichosema mpambe na si alichosema mgombea, hii inakusaidia nini. BTW, wapiga kura ndiyo wanaojua wagombea wao wanawaambia nini na wataamua wao kwa kupima maelezo ya wagombea. Mnazichosha akili zenu kwa kufikiria vitu visivyo na manufaa kwenu na jamii.
Kwa umri wako, huna sababu ya kujibeba na mambo ya kijinga kwa sababu tu uonekane umepost thread.
 
Hahaha Mkuu wewe ni Mchambuzi wa masuala ya kisiasa hodari kwa kweli umewatendea haki chadema nimechekaa sana kidogo nipaliwe na supu
 
CCM (IRINGA) ; Ndg watanzania wenzangu naomba kura yako ili nikuleteeni maendeleo najua kwenye kata yetu tunashida ya maji hivyo mkinichagua nitaanza na tatizo hilo kadhalika barabara zetu hazipitiki hivyo lazima nitalifanyia kazi swala hili pia mapema iwezekanavyo nk... (anaendelea kueleza changamoto za kata husika na namna ya kutatua).
Pia anagusia hatua mbali mbali zinazochukuliwa na rais wetu mpendwa.

CHADEMA(LEMA..ARUSHA) ; Nimekaa jela miezi minne na siku 20, natembea na mswaki kwenye suti, siogopi police, naskia mkuu wa mkoa anataka ubunge wa jimbo hili, Lissu ameshambuliwa na risasi za kutosha, kila siku nawindwa..

Mbowe amebomolewa jengo lá NHC zamani bilcanas, hata kama alikuwa halipi Lakini.
Pia makamanda CCM ni wepesi sana..
NAOMBENI KURA ZENU KWA MGOMBEA WETU.

::::Tafakari na Chukua hatua::::::
Maendeleo yanategemeo kodi zetu kutokana na utawala bora. Tunashuhudia utawala wa CCM na wewe mpiga debe wao mkionyesha uhodari wa umbumbumbu na ushamba. Risasi 38 kwa Lisu kwenye eneo la viongozi mmeondoa CCTV camera ili wasiojulikana wasijulikane. Hayo si bure ni maendeleo ya viwonder.
 
Huduma muhimu za jamii mpaka mwisho wa dunia Afya, mawasiliano, Maji, makazi, kazi na Elimu. Mwanasiasa kazi yake ni kuwavoreshea hayo watu wake. Unayeshanga CCM kuongelea hayo kwa miaka yote, hujui wajibu wa mwanasiasa. KUBORESHA huduma kulingana na ongezeko la mahitaji na Teknologia.
 
Wacha watu wasikie mambo mapya, hizo kampeni za ccm ni kama vile vispika vidogo vilivyorekodiwa kuhusu bidhaa fulani. Kila siku ni tatizo la maji, umeme, barabara na afya!! Mtu kazaliwa miaka ya 80 mpaka leo anasikia ahadi hizohizo.
SUMU YA PANYAAA
KUNGUNI, VIROBOTO,MUCHWAAAAA
 
CCM (IRINGA) ; Ndg watanzania wenzangu naomba kura yako ili nikuleteeni maendeleo najua kwenye kata yetu tunashida ya maji hivyo mkinichagua nitaanza na tatizo hilo kadhalika barabara zetu hazipitiki hivyo lazima nitalifanyia kazi swala hili pia mapema iwezekanavyo nk... (anaendelea kueleza changamoto za kata husika na namna ya kutatua).
Pia anagusia hatua mbali mbali zinazochukuliwa na rais wetu mpendwa.

CHADEMA(LEMA..ARUSHA) ; Nimekaa jela miezi minne na siku 20, natembea na mswaki kwenye suti, siogopi police, naskia mkuu wa mkoa anataka ubunge wa jimbo hili, Lissu ameshambuliwa na risasi za kutosha, kila siku nawindwa..

Mbowe amebomolewa jengo lá NHC zamani bilcanas, hata kama alikuwa halipi Lakini.
Pia makamanda CCM ni wepesi sana..
NAOMBENI KURA ZENU KWA MGOMBEA WETU.

::::Tafakari na Chukua hatua::::::

Trump2JF-Expert Member
#1
Today at 10:32 AM

Joined: May 28, 2017
Messages: 608

Likes Received: 1,061

Trophy Points: 180

MUNGU AKUSAMEHE
 
Mmetawala tangu 1961 still mnaleta Sera zile zile za maji, umeme, elimu. Let the Foxes decide
Labda huoni. Kama unaona hali kila mwaka inabadilika toka eneo moja hadi jingine. Japo kidogo, kina maana zaidi kuliko pumba fulani. Eti siogopi polisi, lisu kapigwa risasi:; hizo ni Sera au story?
 
Upinzani ulikuwa juu sana kwa sababu ya ubovu wa Ccm lakini sasa Ccm ina inaimalika upinzani kwishinei.
Na wabunge wa upinzani waanze kujiandaa kisaikolojia kwani wataonge nini zaidi ya kusema Tunaonewa, tukitukana tuna kamatwa na mambo kama hayo.

Hivyo tumegundua kuwa ni wababaishaji sasa tunarudi kuanza upya na Ccm na upinzani wajijenge upya na waanze na tena na Mungu na wamalize na Mungu kama walivyo zoea kusema.
Ni kweli CCM inaimarika, na ma-DC wanaonunua madiwani wanapewa u-RC
 
Her huyo Mwenye kuhitaji huruma kuliko huyo ambaye anadai ataleta Maendeleo wakati chama chake kimeshatawala zaidi ya miaka 50 sera ni Hizo, Hizo maji, elimu, huduma za afya na barabara. Bora nichague jiwe kuliko Ccm
Lowasa anafaa sana. Maana alikuwa hukohuko ccm akiwa fisadi na sasa chadema ametakata.
 
Hapa ndipo penye haja ya kuiondoa CCM madarakani,chama gani kimetawala zaidi ya miaka 50 lakini bado wanaendelea kuomba kura kwa kutoa ahadi za mkinichagua nitawafanyia hiki na hiki,badala ya kuomba kura kwa wananchi kwa kueleza mafanikio yaliotokana na CCM kwa wananchi.

Hii ni dalili mbaya kwa CCM kuwa kama walishindwa kufanya haya wanayosema watawafanyia wananchi kwa kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukaa madarakani na hata wakiongezewa miaka mingine 50 kulialia kutaendelea vilevile.

Ni heri ya wapinzani wanaosema ukweli kwa wananchi kuwa Lissu alishambuliwa na ni kweli alishambuliwa na wananchi wanalijua hilo,wakisema kuwa vitalu vya Mbowe viling'olewa ni kweli viling'olewa na hakuna mwananchi asiyejua kuwa vitalu vya Mbowe viling'olewa na mtuhumiwa namba1 ni CCM.

Ujumbe unaotumwa na wapinzani kwa wananchi ni kwamba kuichagua CCM ni kuchagua manyanyaso kwa wananchi.

Lissu kashambuliwa leo,vitalu vya Mbowe vimeng'olewa leo,kesho watakaofanyiwa hivyo ni wananchi wakawaida.

Ili kukomesha unyanyasaji huu na kwa huduma bora kwa wananchi ambazo CCM wameshindwa kuwafanyia wananchi kwa zaidi ya miaka 50 waliokaa madarakani ni kuuchagua upinzani.
Marekani Uhuru tangu 1776 lakini hadi Leo hawajamaliza kero za wananchi. Tanzania mwaka 1961 iwe imemaliza kero za wananchi. Itawezekanaje? Hao akina lisu kupigwa risasi na hata Marekani wanapigwa risasi hadi Rais wao. Cha ajabu kipi? Umekaririshwa Sera?
 
Mkuu najipenda Ila kwenye ukweli nitasema. Chadema wana PHD ya matusi soma comments za mfano BAK utafikiri anaandika comments yupo MIREMBE Hospital.
Mkuu, wakati mwingine hata Mimi huwa nashangaa. Kuna vitu wanavyopigia kelele hata kwa hao mabwana zao vinafanyika. Kule marekani nakumbuka matukio kama ya akina lisu yapo pia. Kama ni matatizo nako yapo pia. Marekani miaka zaidi ya 200 ya Uhuru lakini bado wanachangamoto kibao za kijamii kama umaskini na ukosefu wa ajira. Ccm miaka 50 tu inaonekana kama haijafanya chochote chema kwa watanzania. Ukweli tuseme na uwongo tusiseme. Kwa kiasi chake kama serikali kwa miaka 50 ya Uhuru kuna mabadiliko karibu kila mwaka. Kasoro za watawala wetu kote dunian zipo. Tunajidharau na kuutukuza uzungu. Kweli nyumbu ni zero.
 
Unahitaji ukombozi wa kifikra.unajua maadaui wa nchi hii ni Wanne.umaskini, ujinga,maradh na Wanne malizia
 
Labda huoni. Kama unaona hali kila mwaka inabadilika toka eneo moja hadi jingine. Japo kidogo, kina maana zaidi kuliko pumba fulani. Eti siogopi polisi, lisu kapigwa risasi:; hizo ni Sera au story?
Mbona una chuki sana mkuu? Au umetumwa?
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom