Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,531
Trump2 wewe ni mnafiki. Kama umeamua kueleza kampeni, elezea wagombea walisema nini kila upande. Iringa unaeleza alichosema mgombea, Arusha unaeleza alichosema mpambe na si alichosema mgombea, hii inakusaidia nini. BTW, wapiga kura ndiyo wanaojua wagombea wao wanawaambia nini na wataamua wao kwa kupima maelezo ya wagombea. Mnazichosha akili zenu kwa kufikiria vitu visivyo na manufaa kwenu na jamii.CCM (IRINGA) ; Ndg watanzania wenzangu naomba kura yako ili nikuleteeni maendeleo najua kwenye kata yetu tunashida ya maji hivyo mkinichagua nitaanza na tatizo hilo kadhalika barabara zetu hazipitiki hivyo lazima nitalifanyia kazi swala hili pia mapema iwezekanavyo nk... (anaendelea kueleza changamoto za kata husika na namna ya kutatua).
Pia anagusia hatua mbali mbali zinazochukuliwa na rais wetu mpendwa.
CHADEMA(LEMA..ARUSHA) ; Nimekaa jela miezi minne na siku 20, natembea na mswaki kwenye suti, siogopi police, naskia mkuu wa mkoa anataka ubunge wa jimbo hili, Lissu ameshambuliwa na risasi za kutosha, kila siku nawindwa..
Mbowe amebomolewa jengo lá NHC zamani bilcanas, hata kama alikuwa halipi Lakini.
Pia makamanda CCM ni wepesi sana..
NAOMBENI KURA ZENU KWA MGOMBEA WETU.
::::Tafakari na Chukua hatua::::::
Kwa umri wako, huna sababu ya kujibeba na mambo ya kijinga kwa sababu tu uonekane umepost thread.