CCM (IRINGA) ; Ndg watanzania wenzangu naomba kura yako ili nikuleteeni maendeleo najua kwenye kata yetu tunashida ya maji hivyo mkinichagua nitaanza na tatizo hilo kadhalika barabara zetu hazipitiki hivyo lazima nitalifanyia kazi swala hili pia mapema iwezekanavyo nk... (anaendelea kueleza changamoto za kata husika na namna ya kutatua).
Pia anagusia hatua mbali mbali zinazochukuliwa na rais wetu mpendwa.
CHADEMA(LEMA..ARUSHA) ; Nimekaa jela miezi minne na siku 20, natembea na mswaki kwenye suti, siogopi police, naskia mkuu wa mkoa anataka ubunge wa jimbo hili, Lissu ameshambuliwa na risasi za kutosha, kila siku nawindwa..
Mbowe amebomolewa jengo lá NHC zamani bilcanas, hata kama alikuwa halipi Lakini.
Pia makamanda CCM ni wepesi sana..
NAOMBENI KURA ZENU KWA MGOMBEA WETU.
::::Tafakari na Chukua hatua::::::
Pia anagusia hatua mbali mbali zinazochukuliwa na rais wetu mpendwa.
CHADEMA(LEMA..ARUSHA) ; Nimekaa jela miezi minne na siku 20, natembea na mswaki kwenye suti, siogopi police, naskia mkuu wa mkoa anataka ubunge wa jimbo hili, Lissu ameshambuliwa na risasi za kutosha, kila siku nawindwa..
Mbowe amebomolewa jengo lá NHC zamani bilcanas, hata kama alikuwa halipi Lakini.
Pia makamanda CCM ni wepesi sana..
NAOMBENI KURA ZENU KWA MGOMBEA WETU.
::::Tafakari na Chukua hatua::::::