Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Nimekuwa nikijiuliza kuna nini kati ya madr wetu na nchi kama kenya na rwanda sipati jibu.
Serikali inakusanya tril 8 halafu inatumia tril 10 hizo mbili nani analipa?
Na je ikikaa madarakani miaka 10 si itafikisha deni la tril 20 kama watakuwa waungwana wasiongeze zaidi ya hizo mbili?maana yake ukiunganisha na deni lililopo ni kuwa kila mtz atakuwa anadaiwa karibu milioni moja?
Ccm mnataka kutupeleka wapi?
Mbona elimu yangu ni ndogo ila naona shida iliyopo katika bajeti yetu?au tume ya vyuo vikuu ianzishe utaratibu wa kuwapa maksi katika utumishi?ukitoka chuo unakuja na udr kavu ukianza utumishi wa umma kila mwaka tunakupa + au - kwa hiyo ukiboronga kwa miaka 5 unakuwa dr-5 potelea mbali hata kama itakuwa tanzania peke yake mbona hata hivyo ndiyo nchi pekee duniani ni tajiri kwa rasilimali lakini ni masikini wa kipato?
Mbona ndiyo nchi pekee ina serikali ya chama badala ya nchi?
Mbona ndiyo serikali pekee makusanyo yote ya ndani hayatoshi kuiendesha hiyo serikali ya chama?
Hivi tanzania tunasoma ili tuelimike au tupate vyeti?
Hivi wale wabunge wanaosimama na kuipongeza bajeti nzuri ya chama cha mapinduzi hawalioni hili?au wamepofuka?
Nimwombe rais aitoe hii bajeti mwenyewe akaifanyie marekebisho,hatapungukiwa kitu badala yake atajijenga kama suala la katiba mpya.
Kama madini yote tanzania hayawezi kutupa tril 10 tunachimba ya nini?nani katuloga?
Mbona waarabu mafuta yao yanatosha kuendesha nchi?mbona botswana wameweza?au madini yetu ni daraja la 5?
Naombeni niishie hapo wadau.
Serikali inakusanya tril 8 halafu inatumia tril 10 hizo mbili nani analipa?
Na je ikikaa madarakani miaka 10 si itafikisha deni la tril 20 kama watakuwa waungwana wasiongeze zaidi ya hizo mbili?maana yake ukiunganisha na deni lililopo ni kuwa kila mtz atakuwa anadaiwa karibu milioni moja?
Ccm mnataka kutupeleka wapi?
Mbona elimu yangu ni ndogo ila naona shida iliyopo katika bajeti yetu?au tume ya vyuo vikuu ianzishe utaratibu wa kuwapa maksi katika utumishi?ukitoka chuo unakuja na udr kavu ukianza utumishi wa umma kila mwaka tunakupa + au - kwa hiyo ukiboronga kwa miaka 5 unakuwa dr-5 potelea mbali hata kama itakuwa tanzania peke yake mbona hata hivyo ndiyo nchi pekee duniani ni tajiri kwa rasilimali lakini ni masikini wa kipato?
Mbona ndiyo nchi pekee ina serikali ya chama badala ya nchi?
Mbona ndiyo serikali pekee makusanyo yote ya ndani hayatoshi kuiendesha hiyo serikali ya chama?
Hivi tanzania tunasoma ili tuelimike au tupate vyeti?
Hivi wale wabunge wanaosimama na kuipongeza bajeti nzuri ya chama cha mapinduzi hawalioni hili?au wamepofuka?
Nimwombe rais aitoe hii bajeti mwenyewe akaifanyie marekebisho,hatapungukiwa kitu badala yake atajijenga kama suala la katiba mpya.
Kama madini yote tanzania hayawezi kutupa tril 10 tunachimba ya nini?nani katuloga?
Mbona waarabu mafuta yao yanatosha kuendesha nchi?mbona botswana wameweza?au madini yetu ni daraja la 5?
Naombeni niishie hapo wadau.