Tofauti ya Hayati Magufuli na Rais Samia

1. Hayati alipenda CCM kuliko Tanzania. Mama anapenda Tanzania kuliko Chama chake

2. Hayati aliogopo yeyote ambaye akubaliani naye. Mama alishazoea siasa za makubaliano kule Zanzibar hivyo haogopi wapinzani

3. Hayati aliwaogopa upinzani kuliko uwezo wao. Mama anajua nguvu ya upinzani inaishia wapi hivyo haogopi mfano wakishida viti 40 Mama anajua bado ni idadi ndogo lakini Hayati yeye alikuwa anaogopa hata mmoja ! Mama anatumia common sense sio hisia.

4. Mama ana upeo mpana zaidi wa mambo kwasababu ya kufanya UN na kuona Dunia kwa upana wake. Hayati alikuwa na ushamba wa kutokujua mengi huu ndiyo ukweli

5. Hayati aliweka misimamo mbele kuliko ukweli mfano kwenye Corona mpaka imechangia kumuondoa alibishia mpaka viongozi wa dini wakati ushahidi uko wazi waziri mipango na katibu wake walipata Corona lakini bado alikuwa anajidanganya na kujiaminisha kiuongo.

6. Hayati alijiamini yeye pekee na Mama anaamini taasisi imara
Mmebaki kulinganisha mama na JPM uongozi wake utafifia siyo muda mrefu huyu alie toa haya mawazo ni Nape kazi alizo fanya JPM niza kimkakati hapa tulipo h hiyo dodoma tungekua bado tuna iota ukisema jpm alikua mshamba humtendei haki kenya mpaka leo wako lockdown sie tunasepa nani mshamba kenya wana madeni ya IMF aka corona sie hatuna.. Wivu wakijinga huu kama hukumpenda jpm usitulazimishe tumchukie.. Jpm ataingia kwenye historia hata mama anavyo ongoza akili za watu bado ziko kwa jpm walio mzunguka mama ni wezi tu subiri haitapita muda tutaanza sikia kashfa kama za escrow epa. Mgufuli will remain to be jembe
 
Mmebaki kulinganisha mama na JPM uongozi wake utafifia siyo muda mrefu huyu alie toa haya mawazo ni Nape kazi alizo fanya JPM niza kimkakati hapa tulipo h hiyo dodoma tungekua bado tuna iota ukisema jpm alikua mshamba humtendei haki kenya mpaka leo wako lockdown sie tunasepa nani mshamba kenya wana madeni ya IMF aka corona sie hatuna.. Wivu wakijinga huu kama hukumpenda jpm usitulazimishe tumchukie.. Jpm ataingia kwenye historia hata mama anavyo ongoza akili za watu bado ziko kwa jpm walio mzunguka mama ni wezi tu subiri haitapita muda tutaanza sikia kashfa kama za escrow epa. Mgufuli will remain to be jembe
Kuhamia Dodoma imetusaidia nini kama nchi?

Sababu zile za mwaka 47 hazina mashiko tena
 
#1 umeongea mauongo makubwa sana shenzi kabisa.

Na kuna Comment za watu humu za dharau, JPM muiteni kwa heshima HAYATI DR. J P M na siyo mwendazake kama dharau fulani hivi

Wengi wanaoingiza kumdharau HAYATI JPM ni wale wa vyeti feki,wapiga dili na wengineo waliozoea ushenzi wa dhuruma kwa wananchi wa chini hasa hawa wafanya biashara wakwepa kodi


HAYATI JPM mtakuja kumkumbuka sana na MUNGU atutunze tutawakumbusha siku moja
Mataga
 
#1 umeongea mauongo makubwa sana shenzi kabisa.

Na kuna Comment za watu humu za dharau, JPM muiteni kwa heshima HAYATI DR. J P M na siyo mwendazake kama dharau fulani hivi

Wengi wanaoingiza kumdharau HAYATI JPM ni wale wa vyeti feki,wapiga dili na wengineo waliozoea ushenzi wa dhuruma kwa wananchi wa chini hasa hawa wafanya biashara wakwepa kodi


HAYATI JPM mtakuja kumkumbuka sana na MUNGU atutunze tutawakumbusha siku moja
Tatizo mmekaririshwa ujinga na mwendazake
Halafu jina la mwendazake tulilisikia kutoka kwa viongozi wa serikali
 
Na bado mpaka akome huko aliko. Atavuna alicho panda yeye si alijiona mjanja?
Mumuache apumzike, Jah kamchukua amemuhifadhi anakokujua yeye, miaka yake hii iliyobaki huyu aliyeachiwa madaraka asafishe mabaya yote,, na aendeleze mazuri,

Hakuna mwanadamu aliyekamilika.
 
1. Hayati alipenda CCM kuliko Tanzania. Mama anapenda Tanzania kuliko Chama chake

2. Hayati aliogopo yeyote ambaye akubaliani naye. Mama alishazoea siasa za makubaliano kule Zanzibar hivyo haogopi wapinzani

3. Hayati aliwaogopa upinzani kuliko uwezo wao. Mama anajua nguvu ya upinzani inaishia wapi hivyo haogopi mfano wakishida viti 40 Mama anajua bado ni idadi ndogo lakini Hayati yeye alikuwa anaogopa hata mmoja ! Mama anatumia common sense sio hisia.

4. Mama ana upeo mpana zaidi wa mambo kwasababu ya kufanya UN na kuona Dunia kwa upana wake. Hayati alikuwa na ushamba wa kutokujua mengi huu ndiyo ukweli

5. Hayati aliweka misimamo mbele kuliko ukweli mfano kwenye Corona mpaka imechangia kumuondoa alibishia mpaka viongozi wa dini wakati ushahidi uko wazi Waziri Mpango na Katibu wake walipata Corona lakini bado alikuwa anajidanganya na kujiaminisha kiuongo.

6. Hayati alijiamini yeye pekee na Mama anaamini taasisi imara
nimekusifu sana
 
usiwe munafiki mama hajafanya kitu chochote hacheni kuwa wanafiki mama hajafanya chochote mupaka mudaaa huu kazi kuzulula tuuh anafuata oda za JK .... THINK Big usiwe unafuata mkumbo angalia mambo kwa jicho la tatu utaona mengi Its just a matter of time.... mama hana maajabu acha kumusifia kinafiki ndungu yangu ....
Nonsense!

Mataga bado unaweweseka.....dikteta jiwe uliyekuwa unamtukuza na kumuabudu ameshakwenda,hatarishi.

Acha mama yetu shupavu,mwenye hekima,mwenye sifa za uongozi anyooshe nchi na watanzania waendelee kupata furaha baada ya kutoka utumwani.
 
Mmebaki kulinganisha mama na JPM uongozi wake utafifia siyo muda mrefu huyu alie toa haya mawazo ni Nape kazi alizo fanya JPM niza kimkakati hapa tulipo h hiyo dodoma tungekua bado tuna iota ukisema jpm alikua mshamba humtendei haki kenya mpaka leo wako lockdown sie tunasepa nani mshamba kenya wana madeni ya IMF aka corona sie hatuna.. Wivu wakijinga huu kama hukumpenda jpm usitulazimishe tumchukie.. Jpm ataingia kwenye historia hata mama anavyo ongoza akili za watu bado ziko kwa jpm walio mzunguka mama ni wezi tu subiri haitapita muda tutaanza sikia kashfa kama za escrow epa. Mgufuli will remain to be jembe

Hakuna watu wanaofanana kila kitu Mama kapitia njia yake na Hayati alipitia njia yake. Ushamba hauna cha korona au utendaji ushamba ni kutokufahamu mambo kwa upana wake, kutokujua kiti/vitu kwasababu ya uzoefu. Hayati alikuwa mshamba kwenye mambo ya kimataifa na shughuli za nje ya mipaka. Kuna watu wanatokea vijijini wanakuwa washamba ya mambo ya mjini si kwasababu hawana akili bali hawajui!. Mimi namjua Hayati kuanzia 1992 kabla hata hajawa mbunge mzee wangu alikuwa boss wa baba mkwe wake ambaye alikuwa Polisi vilevile alikuwa anakaa chumba kimoja na kaka yangu yangu wakati akiwa chuo kikuu anasomea masters. Huyu ni mtu ambaye 2012 nilienda kula naye Best Byte pale Namanga yeye na Mkwe wake ! lakini ni lazima tuseme ukweli badala ya kujifanya mna mapenzi kumbe ni mapenzi fake. Hayati alikuwa hapendi wanafiki
 
Lakini Mama anasema Yeye na JPM ni kitu kimoja, hawatenganishwi.
unajua unaweza ukasema mdomoni ila vitendo vyahuyo umsemae ukaviweka pembeni nahili ndlo ninalo liona hapo na wala sibaya maana ijapo kua mwendazake alikua namazuri pia ila mabaya yake siyakufuata
 
Jamani mumuache mwendazake apumzike, hamchoki kumnanga na kumzodoa? Kheeeh imetosha sasa lol
Ni kweli, maana inaonyesha "tibaina amagezi" mtu aliye timamu huwezi kutwa kucha kumsema mtu ambaye hawezi kusia, kuona, kunusa wala kujibu huo ushuzi. Ni sawa na kupiga mgumi kwenye jiwe, what next for....
 
Back
Top Bottom