Tofauti ya FISI DUME na FISI JIKE kwenye maumbile ya mifumo wa uzazi

Topi

Member
Feb 7, 2012
59
17
Watu wengi wamekuwa wakiamini kuwa Fisi (Spotted Hyaena) ni Huntha (kiumbe chenye mifumo yote ya uzazi wa kike na kiume). Ukweli ni kwamba mnyama huyu siyo Huntha (hermaphrodite) bali maumbile yake ya mifumo ya uzazi zimefanana (Penis Vs Clitory/vagina, scrotal sac/testicles Vs Vaginal labia). Clitory/pseudopenis a.k.a kinembe kimerefuka na kufanana kabisa na penis na inafanya shughuli muhimu km vile kuzaa, kujamiana na kukojoa. Tofauti ya Penis na Pseudopenis ni kidogo sn ya dume kwenye ncha kidogo imechongoka while ya jike some how blunt. Jike hana kabisa ile external opening (vagina). Chuchu za jike ni kubwa kuliko za dume hasa wakati wa kunyonyesha na wakati wa mimba. Kwa body size vile vile jike ni mkubwa kuliko dume. Pia jike ni shari kuliko dume. Mwenye uwelewa zaidi atuelimishe. Karibuni
 
...kule skuli zamani, ukikosea kujibu swali..mwalimu anakwambia akili kama "fisi maji"
sijui walikuwa na maana gani?
Darasa zuri hilo ndugu Topi
 
baada kurudia kusomo mara mbili tatu naona ni somo nzuri kweli kweli, ila mmh!!! Tafsida kidogo maneno makali.
 
Mtalaam Topi kumbe upo humu, walahiiiih tumegongana uso kwa uso ndani ya JF. Nadhaani mimi ndiye nilyekufanya upost hii thread humu baada ya kukuuliza maswali mengi husu fisi, hakika ni wewe mtaalam, wape yote yale uliyonipa na mimi mwaga mavitus mtaalam. I salute you Topi. Uko poa.
 
Mtalaam Topi kumbe upo humu, walahiiiih tumegongana uso kwa uso ndani ya JF. Nadhaani mimi ndiye nilyekufanya upost hii thread humu baada ya kukuuliza maswali mengi husu fisi, hakika ni wewe mtaalam, wape yote yale uliyonipa na mimi mwaga mavitus mtaalam. I salute you Topi. Uko poa.
 
Duh! nashukuru kufahamu hili leo kwani ulitokea ubishi mkubwa sana mtaani kwetu siku za nyuma kuhusu fisi,
Jamaa ambaye alikuwa anajifanya anamfahamu fisi vizuri alitwambia hakuna fisi dume wala jike na inapotokea kupandana ni yoyote yule atakaye wahiwa anapata kitu!
 
Kwa wale mliopo maeneo ya vijijini au maeneo Fisi wanapatikana, unaweze pia tofautisha fisi dume na fisi jike kwa SAUTI, FISI Jike anatoa sauti iliyofanana na KICHEKO cha binadamu, wakati dume sauti yake ni ile ya Huuuuuu!!huuuu.. Hii pia nilipata kutoka kwa bwana Topi.
 
Kwa wale mliopo maeneo ya vijijini au maeneo Fisi wanapatikana, unaweze pia tofautisha fisi dume na fisi jike kwa SAUTI, FISI Jike anatoa sauti iliyofanana na KICHEKO cha binadamu, wakati dume sauti yake ni ile ya Huuuuuu!!huuuu.. Hii pia nilipata kutoka kwa bwana Topi.
Jamani tofauti hii nimeipenda. Ngoja nianze practical muda huu. Wako maeneo haya
 
Mtalaam Topi kumbe upo humu, walahiiiih tumegongana uso kwa uso ndani ya JF. Nadhaani mimi ndiye nilyekufanya upost hii thread humu baada ya kukuuliza maswali mengi husu fisi, hakika ni wewe mtaalam, wape yote yale uliyonipa na mimi mwaga mavitus mtaalam. I salute you Topi. Uko poa.
Nipo mkubwa, asante
 
Tuwekee picha, wengine bila picha lesoni inakuwa ngumu kidogo, si unajua " a picture is worth a thousand words"?
 
Jamani tofauti hii nimeipenda. Ngoja nianze practical muda huu. Wako maeneo haya[/QUOTE

acha uwongo ndugu yangu mbona nakufahamu sana, mpaka eneo unaloishi nalifahamu labda uwe umehama juzi. Hapo hakuna fisi, wala ngiri hata ng'ombe hafiki hapo labda nyama (ng'ombe) yake inafika!!!!!!! no practical!!!!!!!

wewe si unakaa maeneo ya Malapa hapo Buguruni!!! au umehama siku za hivi karibuni?
 
Mkuu topi, fisi mwenye characteristics hizo ni spotted hyena tu, au na strapped hyena maana hapo naona umemention spotted peke yake naomba unijuze.
Pili naomba unijuze huyu mnyama anayetambulishwa kama 'the most aggresive animal in Africa' KIBOKO, anakula majani tena zile nyasi fupi, lakini nikimuangalia mdomoni hana meno kwa mbele ana meno marefu kama manne tu mdomoni, je hizo nyasi anatumia lips kuzing'oa ardhini?
 
Mkuu topi, fisi mwenye characteristics hizo ni spotted hyena tu, au na strapped hyena maana hapo naona umemention spotted peke yake naomba unijuze.
Pili naomba unijuze huyu mnyama anayetambulishwa kama 'the most aggresive animal in Africa' KIBOKO, anakula majani tena zile nyasi fupi, lakini nikimuangalia mdomoni hana meno kwa mbele ana meno marefu kama manne tu mdomoni, je hizo nyasi anatumia lips kuzing'oa ardhini?
Ndiyo mkubwa, ni huyu spotted hyaena ndiyo maumbile ya dume na jike zimefanana. Tuna aina mbili nyingine yaani brown na striped hyaena japo maumbile yao ya uzazi ni kawaida.
 
Back
Top Bottom