- Thread starter
- #61
Niongeze sauti au inatosha.Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.