Uchaguzi 2020 Tofauti ya Edward Lowassa wa 2015 na Tundu Lissu wa 2020

Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Niongeze sauti au inatosha.
 
Naona mmeanza kumkataa lowassa wakati mlimtetea ili awe rais.! sasa mm nasema hv, upinzani dawa yenu ipo pale pale.
 
Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.

Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.

Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.

Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.

Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.

Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.

Kuna wakati Kikwete alinukuliwa akisema kuwa, "Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge".

Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Lowasa ni mweupe sijui akifikafikaje pale alipofika.
 
Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.

Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.

Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.

Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.

Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.

Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.

Kuna wakati Kikwete alinukuliwa akisema kuwa, "Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge".

Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Mngemshauri Lissu agombee ubunge, hiko kiatu anachotataka hakimtoshi. Chama cha Mbowe, kilimpendea lowasa hela zake tu.
 
Yah! Naunga mkono hoja kwamba ni bora ccm wangemzuia asizaliwe....
Otherwise Tundu Lissu ndio rais baada ya October 28 hii haizuiliki
 
Yah! Naunga mkono hoja kwamba ni bora ccm wangemzuia asizaliwe....
Otherwise Tundu Lissu ndio rais baada ya October 28 hii haizuiliki
Ha ha ha Ndoto za mchana. Lissu hawezi kuwa Rais, mnajidanganya bure.
 
Ha ha ha Ndoto za mchana. Lissu hawezi kuwa Rais, mnajidanganya bure.
Huoni huyu aliyepo alusukumizwa muda mfupi kawa fisadi kuu la taifa na ameharibu nchi....

Raia ni Tundu Lissu ndio chaguo la watz hutaki meza wembe
 
LOWASA tuliyemwona mwaka 2015 wakati wa uchaguzi siyo Lowasa wa 2005 wakati wa uchaguzi.
Baada ya uchaguzi wa 2005 aliteuliwa kuwa Waziri mkuu na akawa maarufu na wa kuogopwa ndani ya Serikali na ndani ya chama na hata bungeni. Akawa maarufu kuliko Rais hadi alIpopata ajali ya Kisiasa na kutenguliwa nafasi ya Uwaziri Mkuu.
Lowasa wa 2015 alikuwa dhaifu na mgonjwa. Hakuwa anaongea kwa muda mrefu si kwa sababu ya upole mbali ni kwa sababu ya ugonjwa. Lowasa ni Mtawala anayeadhibu bila kujali kuwa kuna kanuni na Sheria za Inchi.
Ndiyo maana Mwalimu Nyerere alisema, hafai kuwa Rais wa Inchi.
Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa Inchi hii.
Kama alivyosema Mwalimu Nyerere kwa Kikwete, asubiri hadi 2025 ili aimarishe chama chake na kukifanya kuwa na wabunge wengi kuliko wa CCM. Pia yeye apate muda wa kujijenga kisaikologia ili aje atawale na kuongoza Inchi kwa Busara na Hekima. Sasa hivi akipata Urais anaweza kuwa mtu wa kulipiza kisasi na mwisho wa siku amani ya Inchi ikavurugika.
Kuongoza Inchi si lazima uwe Rais. Hata sasa Lissu ni kiongozi namba mbili kitaifa kwa sababu Serikali iliyoko madarakani inaogopa kufanya mambo ya ovyo kwa sababu kuna watch dog amabaye atawabwekea na Wanainchi watasikia na kuwashughulikia kama wahalifu.
Mungu Ibarika Tanzania Mungu Wabariki viongozi wetu.
Miundo Mbinu ya Inchi ya Libya ilikuwa bora kuliko ya Tanzania lakini baada ya vita ya wenyewe kwa wenyewe Inchi iligeuka magofu na wanainchi wakawa mafukara na kuwa wakimbizi.
Hii miradi mikubwa tunayojivunia, inaweza kugeuka magofu kama amani ya Inchi itapotea.
Mwalimu Nyerere alihubiri Amani. Yesu Kristo alihubiri Amani
 
Hapo ndio utaju kuna watanzania wajinga kiasi cha kumpigia kura Lowassa ile 2015.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom