Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Mzee baba tafuta maandiko ya Zachariah sitchin mtafiti wa mambo kale na
Chris Dun aliyezifanyia tafiti pyramids za Giza pia Kuna Watafiti mbali mbali waliotafiti Pyramids za Mesoamerica,
Kama hutaelewa watafute
Credo Mutwa huyu alikua sangoma huko south Africa alipata kufungua code nyingi kuhusu kizazi Cha reptilians waliopata kuicolonize Accient civilization
Tafuta tafiti na documentary inaitwa Annunak Chronicles, book of dead na the Verne code Cha Jesus cedier pia Sumerian tablets zimemaliza utata wote,
Pia Soma conspiracy theories za Atlantis na Lemuria hapo Ndipo utajua Mwanafalsafa Plato Sio Mwendawazimu mpaka ataje Higher science and technology zilizotumika kale wakati Leo ndio tunazotumia alijuaje?
Hii Dunia Ina historia Kubwa mno kiasi kwamba sijui kwanini watu wengi Hawana ufahamu Aisee
Dunia mwanzo ilikaliwa na Viumbe kutoka space na walifanya mambo mengi Sana
Mathalani ANUNNAKI ndio watu au viumbe Ambao hawakua genre ya Homo sapiens kama tulivyo sisi na wao ndio waliofanya uumbaji wa modern human yaani Adapa/Adamu Ambao kimsingi ndio sisi wa Leo na ndio Maana wakaitwa Gods
(Being from sky/Extraterrestrial)
Note :Annunak ndio watu wa kwanza na walitoka space wakaja duniani wakawafanya Binadamu Kwa mfano wao Katika
Nephilim laboratory zao pale Eden/Aden katika mji wa Eridu Mesopotamia kati ya mto Euphrates na Tigris,
Nadhani Kuna Nadharia Fulani za Abrahamic Religion wanakueleza haya ila Sio in deep kama hivi!

Shukrani mkuu naona umegusia kuhusu credo mutwa kuna kipindi nilitafuta sana vitabu vyake nilifanikiwa kuvipata

lkn tatizo vyote vilikuwa kwenye lugha ya kizulu; natamani sana kujua kuhusu annunak,
 
Shukrani mkuu naona umegusia kuhusu credo mutwa kuna kipindi nilitafuta sana vitabu vyake nilifanikiwa kuvipata

lkn tatizo vyote vilikuwa kwenye lugha ya kizulu; natamani sana kujua kuhusu annunak,
Credo Mutwa aliandika mengi Sana kuhusu hao viumbe pia utaweza umtafute father of conspiracy theories mwingereza David Icke naye ana vitabu vingi hasa reptilians agenda na vingine vingi Sana pia huyo David Icke kashirikiana na Credo Mutwa kuandika machapisho vile vile,
Pia nitaendelea kukupa mtiririko na matini kuwahusu Hawa viumbe na uhusika wao na
Accient civilization,
Ila ukiangalia documentary YouTube inaitwa
Anunnak Chronicles kidogo utapata mwanga!
 
Credo Mutwa aliandika mengi Sana kuhusu hao viumbe pia utaweza umtafute father of conspiracy theories mwingereza David Icke naye ana vitabu vingi hasa reptilians agenda na vingine vingi Sana pia huyo David Icke kashirikiana na Credo Mutwa kuandika machapisho vile vile,
Pia nitaendelea kukupa mtiririko na matini kuwahusu Hawa viumbe na uhusika wao na
Accient civilization,
Ila ukiangalia documentary YouTube inaitwa
Anunnak Chronicles kidogo utapata mwanga!

Shukrani Mkuu
 
Mzee baba tafuta maandiko ya Zachariah sitchin mtafiti wa mambo kale na
Chris Dun aliyezifanyia tafiti pyramids za Giza pia Kuna Watafiti mbali mbali waliotafiti Pyramids za Mesoamerica,
Kama hutaelewa watafute
Credo Mutwa huyu alikua sangoma huko south Africa alipata kufungua code nyingi kuhusu kizazi Cha reptilians waliopata kuicolonize Accient civilization
Tafuta tafiti na documentary inaitwa Annunak Chronicles, book of dead na the Verne code Cha Jesus cedier pia Sumerian tablets zimemaliza utata wote,
Pia Soma conspiracy theories za Atlantis na Lemuria hapo Ndipo utajua Mwanafalsafa Plato Sio Mwendawazimu mpaka ataje Higher science and technology zilizotumika kale wakati Leo ndio tunazotumia alijuaje?
Hii Dunia Ina historia Kubwa mno kiasi kwamba sijui kwanini watu wengi Hawana ufahamu Aisee
Dunia mwanzo ilikaliwa na Viumbe kutoka space na walifanya mambo mengi Sana
Mathalani ANUNNAKI ndio watu au viumbe Ambao hawakua genre ya Homo sapiens kama tulivyo sisi na wao ndio waliofanya uumbaji wa modern human yaani Adapa/Adamu Ambao kimsingi ndio sisi wa Leo na ndio Maana wakaitwa Gods
(Being from sky/Extraterrestrial)
Note :Annunak ndio watu wa kwanza na walitoka space wakaja duniani wakawafanya Binadamu Kwa mfano wao Katika
Nephilim laboratory zao pale Eden/Aden katika mji wa Eridu Mesopotamia kati ya mto Euphrates na Tigris,
Nadhani Kuna Nadharia Fulani za Abrahamic Religion wanakueleza haya ila Sio in deep kama hivi!
Nitaludi baada ya chimbo kidogo la haya uliyoyataja
 
hizo habari mlipata wapi na vipi kama ulimwengu na vyote navyo ni alpha na Omega,mnatumia reason Gani kumpa Huyo Mungu hiyo character huko mkikataa kuupa ulimwengu na kanuni ya kitu chochote Ili ki exist inategemea nguvu ya kitu kingine
Mfano Huu ulimwengu unashikiliwa na nguvu mbili zilizoungana yaani
hasi na Chanya
Ndipo matokeo yatokee Hii yenu imekaaje kaaje Kwa mfano?

Binadamu alitokeaje? Vipi nao viumbe wengine walitokeaje? Kwanini kuna Me na Ke ,factor zipi zilifanya kutokee viumbe vya ke na me? Mbona miti ni ke yote? (Uchavushaji)
 
Mzee baba tafuta maandiko ya Zachariah sitchin mtafiti wa mambo kale na
Chris Dun aliyezifanyia tafiti pyramids za Giza pia Kuna Watafiti mbali mbali waliotafiti Pyramids za Mesoamerica,
Kama hutaelewa watafute
Credo Mutwa huyu alikua sangoma huko south Africa alipata kufungua code nyingi kuhusu kizazi Cha reptilians waliopata kuicolonize Accient civilization
Tafuta tafiti na documentary inaitwa Annunak Chronicles, book of dead na the Verne code Cha Jesus cedier pia Sumerian tablets zimemaliza utata wote,
Pia Soma conspiracy theories za Atlantis na Lemuria hapo Ndipo utajua Mwanafalsafa Plato Sio Mwendawazimu mpaka ataje Higher science and technology zilizotumika kale wakati Leo ndio tunazotumia alijuaje?
Hii Dunia Ina historia Kubwa mno kiasi kwamba sijui kwanini watu wengi Hawana ufahamu Aisee
Dunia mwanzo ilikaliwa na Viumbe kutoka space na walifanya mambo mengi Sana
Mathalani ANUNNAKI ndio watu au viumbe Ambao hawakua genre ya Homo sapiens kama tulivyo sisi na wao ndio waliofanya uumbaji wa modern human yaani Adapa/Adamu Ambao kimsingi ndio sisi wa Leo na ndio Maana wakaitwa Gods
(Being from sky/Extraterrestrial)
Note :Annunak ndio watu wa kwanza na walitoka space wakaja duniani wakawafanya Binadamu Kwa mfano wao Katika
Nephilim laboratory zao pale Eden/Aden katika mji wa Eridu Mesopotamia kati ya mto Euphrates na Tigris,
Nadhani Kuna Nadharia Fulani za Abrahamic Religion wanakueleza haya ila Sio in deep kama hivi!
Mkuu Dumas the terrible
Kunaswali moja la Musingi hapa.
Katika viumbe vinavyoonekana kwa Sasa nikiamanisha wanyama na binadamu wote wame undergo evolution.

Kwanza nakili kabisa Giant humani walikuwapo hapo zamani, hata kwenye Biblia wamesemwa, wewe unawaita Hawa Annuanak.
Hoja yako kubwa kwamba Hawa Annuanak (viumbe wa sayari zingine) walifanya human cloning na morden man akatokea.
Swali
Nani alifanyia Animal cloning wakatokea morden animals?. Maana tukiludi nyuma kidogo wanyama wanaononekana kwa Sasa hawakuwa hivyo ushaidi mwingi Sana wa archeology kwenye accident animal site inaonesha tembo, Simba, tigers etc wa Sasa hawafanani na WA miaka iliyopita.

Naomba kumufahamu aliyefanya hii animal cloning.
Asante
Screenshot_20220510-081138.jpg
Screenshot_20220510-081126.jpg
 
Mkuu Dumas the terrible , kutokana na ulichosema kuhusu annuanak binafsi nina swali,
1. Ikiwa main purpose la hao viumbe kuja duniani ni kuchimba dhahabu na kwenda nazo space ili ku repair atmosphere yao je if they are capple of creating a human being kwanini wasitengeneze dhahabu wao kama wao coz uwezo huo wanao au kuamuru iwe tu bula kufanya repair

2. Nimefuatilia hoja zako ni kwamba Mungu hayupo bali hawa hawa Annuanak baada ya kutoweka ndo binadam ndo waliweka imani ya juu uwepo wa mbingu kwa maana ya sehemu waliyoenda hao viumbe je , original source ya hawa viumbe inaonyesha wameanzaje maisha .?
Naomba kuwasilisha mkuu

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom