Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,824
Mzee baba tafuta maandiko ya Zachariah sitchin mtafiti wa mambo kale na
Chris Dun aliyezifanyia tafiti pyramids za Giza pia Kuna Watafiti mbali mbali waliotafiti Pyramids za Mesoamerica,
Kama hutaelewa watafute
Credo Mutwa huyu alikua sangoma huko south Africa alipata kufungua code nyingi kuhusu kizazi Cha reptilians waliopata kuicolonize Accient civilization
Tafuta tafiti na documentary inaitwa Annunak Chronicles, book of dead na the Verne code Cha Jesus cedier pia Sumerian tablets zimemaliza utata wote,
Pia Soma conspiracy theories za Atlantis na Lemuria hapo Ndipo utajua Mwanafalsafa Plato Sio Mwendawazimu mpaka ataje Higher science and technology zilizotumika kale wakati Leo ndio tunazotumia alijuaje?
Hii Dunia Ina historia Kubwa mno kiasi kwamba sijui kwanini watu wengi Hawana ufahamu Aisee
Dunia mwanzo ilikaliwa na Viumbe kutoka space na walifanya mambo mengi Sana
Mathalani ANUNNAKI ndio watu au viumbe Ambao hawakua genre ya Homo sapiens kama tulivyo sisi na wao ndio waliofanya uumbaji wa modern human yaani Adapa/Adamu Ambao kimsingi ndio sisi wa Leo na ndio Maana wakaitwa Gods
(Being from sky/Extraterrestrial)
Note :Annunak ndio watu wa kwanza na walitoka space wakaja duniani wakawafanya Binadamu Kwa mfano wao Katika
Nephilim laboratory zao pale Eden/Aden katika mji wa Eridu Mesopotamia kati ya mto Euphrates na Tigris,
Nadhani Kuna Nadharia Fulani za Abrahamic Religion wanakueleza haya ila Sio in deep kama hivi!
Shukrani mkuu naona umegusia kuhusu credo mutwa kuna kipindi nilitafuta sana vitabu vyake nilifanikiwa kuvipata
lkn tatizo vyote vilikuwa kwenye lugha ya kizulu; natamani sana kujua kuhusu annunak,