Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,032
- 8,164
Ndio tatizo la kuangalia documentary zilizo chini ya UNESCO,Ushaangalia video ya Mussa, Yesu, Adamu na Hawa katika bustani ya Eden?. Mkuu nishaangalia documentary Sana katika channel ya National Geographic kuhusu accient civilization. Kama mji wa Pompeii itali, Bablion, Misiri etc lakini zinaeleza only human development na siyo Annuanak Mkuu.
Hebu such the Earth in 100 million years to come how will look like.
Mkuu hizo sites zinaelezea juu juu tu na kusema zilijengwa na watu wa kale ila hawana ushahidi juu ya huo ujenzi lengo lao ni kuogopa kuwaambia watu ukweli ya kwamba Extraterrestrial Yaani Annunaki/Alliens Ndio walijenga accient civilization na hiyo imekua nyara na ni marafuku Kwa hizo chanel kueleza ukweli Toka zamani,ila kutokana na kukua Kwa science and technology Leo tunaweza pewa na watafiti binafsi majibu ya kina ya chunguzi na ukweli ukajulikana,
Hivi nikuulize Kitu Unajua kwanini UNESCO na genge lake waliwaaminisha watu ya kwamba Pyramids za Giza ni Makaburi ya Pharaohs na wakati Nicola Tesla innovation wa Umeme wa AC alikiri na kusema zile ni Plasma generator zilizotumika kuzalisha Umeme wa mionzi ambao Ulikua wireless na Ndio ilimsaidia kujenga magnetic tower Iliyofanana na mifumo ya Pyramids na akaahadi kusupply Umeme wireless Dunia nzima Tena Bure na Kwa bahati mbaya vilaza walimpinga na kumpiga Pini na mwishowe wakamchomea Maabara yake na mission ikawa failed
Unajua secret behind?
Tafuta maarifa Nje ya documentary uchwara kama hizo zinazotumika kama mamruki kuendelea kupotosha watu maana wanajua siku ukweli ukijulikana taasisi nyingi zitakufa kifo Cha mbwa mwizi hasa hasa Dini maana vitabu vyao vimewadanganya
Annunaki/Watchers /Angels
Walitoka mbinguni na ni Wana wa Mungu kumbe ukweli ni walikua Viumbe tu Tena Alliens na Ndio waliohisika kumtengeza modern human Yaani homo sapiens!