Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Ushaangalia video ya Mussa, Yesu, Adamu na Hawa katika bustani ya Eden?. Mkuu nishaangalia documentary Sana katika channel ya National Geographic kuhusu accient civilization. Kama mji wa Pompeii itali, Bablion, Misiri etc lakini zinaeleza only human development na siyo Annuanak Mkuu.
Hebu such the Earth in 100 million years to come how will look like.
Ndio tatizo la kuangalia documentary zilizo chini ya UNESCO,
Mkuu hizo sites zinaelezea juu juu tu na kusema zilijengwa na watu wa kale ila hawana ushahidi juu ya huo ujenzi lengo lao ni kuogopa kuwaambia watu ukweli ya kwamba Extraterrestrial Yaani Annunaki/Alliens Ndio walijenga accient civilization na hiyo imekua nyara na ni marafuku Kwa hizo chanel kueleza ukweli Toka zamani,ila kutokana na kukua Kwa science and technology Leo tunaweza pewa na watafiti binafsi majibu ya kina ya chunguzi na ukweli ukajulikana,
Hivi nikuulize Kitu Unajua kwanini UNESCO na genge lake waliwaaminisha watu ya kwamba Pyramids za Giza ni Makaburi ya Pharaohs na wakati Nicola Tesla innovation wa Umeme wa AC alikiri na kusema zile ni Plasma generator zilizotumika kuzalisha Umeme wa mionzi ambao Ulikua wireless na Ndio ilimsaidia kujenga magnetic tower Iliyofanana na mifumo ya Pyramids na akaahadi kusupply Umeme wireless Dunia nzima Tena Bure na Kwa bahati mbaya vilaza walimpinga na kumpiga Pini na mwishowe wakamchomea Maabara yake na mission ikawa failed
Unajua secret behind?

Tafuta maarifa Nje ya documentary uchwara kama hizo zinazotumika kama mamruki kuendelea kupotosha watu maana wanajua siku ukweli ukijulikana taasisi nyingi zitakufa kifo Cha mbwa mwizi hasa hasa Dini maana vitabu vyao vimewadanganya
Annunaki/Watchers /Angels
Walitoka mbinguni na ni Wana wa Mungu kumbe ukweli ni walikua Viumbe tu Tena Alliens na Ndio waliohisika kumtengeza modern human Yaani homo sapiens!
 
Ndio tatizo la kuangalia documentary zilizo chini ya UNESCO,
Mkuu hizo sites zinaelezea juu juu tu na kusema zilijengwa na watu wa kale ila hawana ushahidi juu ya huo ujenzi lengo lao ni kuogopa kuwaambia watu ukweli ya kwamba Extraterrestrial Yaani Annunaki/Alliens Ndio walijenga accient civilization na hiyo imekua nyara na ni marafuku Kwa hizo chanel kueleza ukweli Toka zamani,ila kutokana na kukua Kwa science and technology Leo tunaweza pewa na watafiti binafsi majibu ya kina ya chunguzi na ukweli ukajulikana,
Hivi nikuulize Kitu Unajua kwanini UNESCO na genge lake waliwaaminisha watu ya kwamba Pyramids za Giza ni Makaburi ya Pharaohs na wakati Nicola Tesla innovation wa Umeme wa AC alikiri na kusema zile ni Plasma generator zilizotumika kuzalisha Umeme wa mionzi ambao Ulikua wireless na Ndio ilimsaidia kujenga magnetic tower Iliyofanana na mifumo ya Pyramids na akaahadi kusupply Umeme wireless Dunia nzima Tena Bure na Kwa bahati mbaya vilaza walimpinga na kumpiga Pini na mwishowe wakamchomea Maabara yake na mission ikawa failed
Unajua secret behind?

Tafuta maarifa Nje ya documentary uchwara kama hizo zinazotumika kama mamruki kuendelea kupotosha watu maana wanajua siku ukweli ukijulikana taasisi nyingi zitakufa kifo Cha mbwa mwizi hasa hasa Dini maana vitabu vyao vimewadanganya
Annunaki/Watchers /Angels
Walitoka mbinguni na ni Wana wa Mungu kumbe ukweli ni walikua Viumbe tu Tena Alliens na Ndio waliohisika kumtengeza modern human Yaani homo sapiens!
UNESCO ni Nani??. Je wafanyakazi wa UNESCO siyo binadamu mpaka wafiche miaka nenda ludi. UNESCO watapata hasara gani watu wakijua ukweri?.
Tesla nimeangalia documentary zake na kusoma history yake. Lakini yeye hakusema atangeneza wireless umeme Bali yeye alikuwa na theory ya A.C wakati mpinzani wake Thomas alikuwa D.C electricity. Sasa hizo habari za wireless umeme wewe umezitoa wapi?. Tesla ndiyo kaanzisha umeme wa maji Marekani kwa AC motor.
Mkuu sayansi is sayansi na dini ni dini pia siasa ni siasa. Nani anayeficha kweri ya Mambo???. Please toka inje ya box what you see now katika nyanja za sayansi ndiyo fikra zinapokoea kwa Sasa . Kikigundulika kingine lazima kijulikane.
We all know 250million Years ago kulikuwa na dinosaurs wakateketea kwa kimondo. Mbona 250million years ago tunavijua Leo vitu vya 40kBCE vifichwe???. Kweri???. Mkuu acha kweri itawale
 
UNESCO ni Nani??. Je wafanyakazi wa UNESCO siyo binadamu mpaka wafiche miaka nenda ludi. UNESCO watapata hasara gani watu wakijua ukweri?.
Tesla nimeangalia documentary zake na kusoma history yake. Lakini yeye hakusema atangeneza wireless umeme Bali yeye alikuwa na theory ya A.C wakati mpinzani wake Thomas alikuwa D.C electricity. Sasa hizo habari za wireless umeme wewe umezitoa wapi?. Tesla ndiyo kaanzisha umeme wa maji Marekani kwa AC motor.
Mkuu sayansi is sayansi na dini ni dini pia siasa ni siasa. Nani anayeficha kweri ya Mambo???. Please toka inje ya box what you see now katika nyanja za sayansi ndiyo fikra zinapokoea kwa Sasa . Kikigundulika kingine lazima kijulikane.
We all know 250million Years ago kulikuwa na dinosaurs wakateketea kwa kimondo. Mbona 250million years ago tunavijua Leo vitu vya 40kBCE vifichwe???. Kweri???. Mkuu acha kweri itawale
umemsoma Tesla juu juu tu Wewe unadhani formula alizotumia kugundua Umeme wa AC alipata wapi kama sio kwenye tablets za wamisri?
Halafu kumbe hujajua project za Umeme wa magnetic field Ambazo zingekamilika angesambaza Umeme wireless Dunia nzima Tena Bure,
Pia kuhusu UNESCO wale ni watu wa kawaida tu walipewa kusimamia historical sites tu na waliofanya tafiti ni scientist mbali mbali na ndipo wakagundua Pyramids ni plants za kuzalisha Umeme hapo kale
Tafuta tafiti za Chris Dun & co uone matokeo ya tafiti zao!
 
Mkuu Soma hapa utaona wazee walichallange lakini Mambo yalikuwa magumu Hadi wanasurrender.
Ethene ni makao makuu ya ugiriki huko ndiko akina Plato, Socrates, pythogras etc watata wote wa philothopy, mathematics and all sayansi ndiko walikozaliwa lakini walinyosha mikono juu. Maana Elimu ya Mungu iliambatana na miujiza ya ajabu isiyoelezeka katika mazingira ya kawaida Mkuu.
Matendo ya Mitume 17:16-34
[16]Paulo alipokuwa akiwangojea huko Athene na kuona jinsi mji ule ulivyojaa sanamu, roho yake ilichukizwa sana ndani yake.
[17]Basi katika sinagogi akahojiana na Wayahudi na waliomcha Mungu, na wale waliokutana naye sokoni kila siku.
[18]Na baadhi ya Waepikureo na Wastoiko, wenye ujuzi, wakakutana naye. Wengine wakasema, Mpuzi huyu anataka kusema nini? Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza habari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akihubiri habari za Yesu na ufufuo
[19]Wakamshika, wakamchukua Areopago, wakisema, Je! Twaweza kujua maana ya elimu hii mpya unayoinena?
[20]Kwa maana unaleta mambo mageni masikioni mwetu, tutapenda kujua, basi, maana ya mambo haya.
[21]Kwa maana Waathene na wageni waliokaa huko walikuwa hawana nafasi kwa neno lo lote ila kutoa habari na kusikiliza habari za jambo jipya.
[22]Paulo akasimama katikati ya Areopago, akasema, Enyi watu wa Athene, katika mambo yote naona ya kuwa ninyi ni watu wa kutafakari sana mambo ya dini.
[23]Kwa sababu nilipokuwa nikipita huko na huko na kuyaona mambo ya ibada yenu, naliona madhabahu iliyoandikwa maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Basi mimi nawahubirini habari zake yeye ambaye ninyi mnamwabudu bila kumjua.
[24]Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;
[25]wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.
[26]Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;
[27]ili wamtafute Mungu, ingawa ni kwa kupapasa-papasa, wakamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila mmoja wetu.
[28]Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazao wake.
[29]Basi, kwa kuwa sisi tu wazao wa Mungu, haitupasi kudhani ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe, vitu vilivyochongwa kwa ustadi na akili za wanadamu.
[30]Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu.
[31]Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.
[32]Basi waliposikia habari za ufufuo wa wafu wengine walifanya dhihaka; wengine wakasema, Tutakusikiliza tena katika habari hiyo.
[33]Basi hivi Paulo akaondoka akawaacha.
[34]Baadhi ya watu wakashikamana naye, wakaamini; katika hao alikuwamo Dionisio, Mwareopago, na mwanamke mmoja jina lake Damari, na watu wengine pamoja na hao.
Kwanini habari za Mungu Hadi ufundishwe?,
Kwanini Sasa hivi Mungu hajidhihirishi Tena kama zamani kwenye biblia?
 
Kwanini habari za Mungu Hadi ufundishwe?,
Kwanini Sasa hivi Mungu hajidhihirishi Tena kama zamani kwenye biblia?
Hili swali watalikimbia au la watakuja na majibu mepesi Kwa maswali magumu,
Ipo hivi jamii za kale zilipata kuwashuhudia MIUNGU live na ndio waliwapa ustaarabu
neno MIUNGU likiwa na maana ya "Masters of High Chamber" au unaweza kusema
"Being from sky" Kwa sababu hai MIUNGU Walishuka duniani kutokea angani hao ndio waanzilishi wa kuabudu viumbe kutoka Juu angani na nadharia za Dini zikazaliwa hapo,
Sasa ilikuaje?
Twende Kazi
Hao wanaodaiwa ni MIUNGU walikua Aliens waliokua advanced Katika science and technology waliendesha mawazo ya Juu ya Hisabati,Pysikia, biology na Elimu ngeni hasa kufungua dimensions,
Walikuja Kwa malengo mbali mbali kubwa sana ni kuchimba Dhahabu na ndio maana Katika accient civilization Dhahabu ilikua Ina umhimu sana mathalani watu wa Dini zote duniani waliwatolea deities wote Dhahabu kama sadaka
What secret about gold?
Dhahabu Ina Siri Gani Kiasi kwamba Toka kale kilionekana kama Kitu Cha thamani na jamii zote za kale kuihusudu
Pia jiulize Toka kale watu wanachimba Dhahabu Kwa maelfu ya miaka na hua inapotea tu ghafla na tunajua kabla ya science and technology tunavyoitumia kwenye divices za electronic wao waliitumia kwenye Nini na Leo tukijaribu kuchimbua mabaki ya sehemu na falme zilizojinasibu zilizalisha Dhahabu Kwa wingi hupati kamwe
Wapi zilipotelea?
Majibu yapo Dhahabu ilibebwa na viumbe kutoka anga za Juu na wakatokomea Nazo Kwa mamilioni ya Tani na tangu watoke hawajawahi Rudi Tena maana inadaiwa sayari Yao ni intelligence na baada ya kutoka watu wakatengeneza nadharia za Mungu wakiamini wale viumbe walikua malaika na mkuu wao alikua Mungu Hivyo humlilia shida zao wakiwa na matumaini anajibu maombi Yao na siku ya mwisho atawapeleka na wao wakaishi Maisha ya Raha Huko Mbinguni waliko,
Leo ukiwaambia watu ukweli Huu watakupinga sana ila ndio ukweli mchungu wanaamini vitu wasivyovijua na wanaovijua wanatumia kuwapiga wajinga wengi mbumbumbu

The secret agenda!
 
Kwanini habari za Mungu Hadi ufundishwe?,
Kwanini Sasa hivi Mungu hajidhihirishi Tena kama zamani kwenye biblia?
Mtu (Roho+Mwili) ndiyo maana watu wanapigana kutafuta asili. Ndiyo maana
Dumas the terrible anapambana kutafuta asili yetu kwa kufukua Juu ya Annuanak. Hii yote ni kutafuta asili yetu.

E bwana we Mungu alikuwa anajifunua ili tumufahamu. Sasa tushakwisha mfahamu . Mbona Annuanak Sasa hawapo Tena?. Mbona hawafanyi cloning Tena?. What happened???

Dumas the terrible
 
Mtu (Roho+Mwili) ndiyo maana watu wanapigana kutafuta asili. Ndiyo maana
Dumas the terrible anapambana kutafuta asili yetu kwa kufukua Juu ya Annuanak. Hii yote ni kutafuta asili yetu.

E bwana we Mungu alikuwa anajifunua ili tumufahamu. Sasa tushakwisha mfahamu . Mbona Annuanak Sasa hawapo Tena?. Mbona hawafanyi cloning Tena?. What happened???

Dumas the terrible
hahahaha Sasa wafanye cloning ya Nini wakati lengo lao washalimaliza na wakarudi kwao?
 
hahahaha Sasa wafanye cloning ya Nini wakati lengo lao washalimaliza na wakarudi kwao?
The same to God. Alianza kwa kazi yake kwa kumuita Abraham Kisha akamalizia kwa Mwanae Yesu kiristo.
Sasa wasiomwamini shauri yao.
But kwako Abraham unamutambua Kama Annuanak.

Jambo kuu ninalolifahamu ni kwamba kweri kunaviumbe vingine huko kwenye sayari zingine ama huko Anga may ndiyo hao Annuanak but all this are under control of Sir God through his own son Jesus Christ of Nazareth. Kama unaamini Cloning ya Annuanak long time ago before Jesus Christ come why you don't trust the miracles of Jesus?. Are they normal miracle ? Or just beyond humani capacity?
Hey work up.
Matendo ya Yesu ni ya juzi tu.
 
Hili swali watalikimbia au la watakuja na majibu mepesi Kwa maswali magumu,
Ipo hivi jamii za kale zilipata kuwashuhudia MIUNGU live na ndio waliwapa ustaarabu
neno MIUNGU likiwa na maana ya "Masters of High Chamber" au unaweza kusema
"Being from sky" Kwa sababu hai MIUNGU Walishuka duniani kutokea angani hao ndio waanzilishi wa kuabudu viumbe kutoka Juu angani na nadharia za Dini zikazaliwa hapo,
Sasa ilikuaje?
Twende Kazi
Hao wanaodaiwa ni MIUNGU walikua Aliens waliokua advanced Katika science and technology waliendesha mawazo ya Juu ya Hisabati,Pysikia, biology na Elimu ngeni hasa kufungua dimensions,
Walikuja Kwa malengo mbali mbali kubwa sana ni kuchimba Dhahabu na ndio maana Katika accient civilization Dhahabu ilikua Ina umhimu sana mathalani watu wa Dini zote duniani waliwatolea deities wote Dhahabu kama sadaka
What secret about gold?
Dhahabu Ina Siri Gani Kiasi kwamba Toka kale kilionekana kama Kitu Cha thamani na jamii zote za kale kuihusudu
Pia jiulize Toka kale watu wanachimba Dhahabu Kwa maelfu ya miaka na hua inapotea tu ghafla na tunajua kabla ya science and technology tunavyoitumia kwenye divices za electronic wao waliitumia kwenye Nini na Leo tukijaribu kuchimbua mabaki ya sehemu na falme zilizojinasibu zilizalisha Dhahabu Kwa wingi hupati kamwe
Wapi zilipotelea?
Majibu yapo Dhahabu ilibebwa na viumbe kutoka anga za Juu na wakatokomea Nazo Kwa mamilioni ya Tani na tangu watoke hawajawahi Rudi Tena maana inadaiwa sayari Yao ni intelligence na baada ya kutoka watu wakatengeneza nadharia za Mungu wakiamini wale viumbe walikua malaika na mkuu wao alikua Mungu Hivyo humlilia shida zao wakiwa na matumaini anajibu maombi Yao na siku ya mwisho atawapeleka na wao wakaishi Maisha ya Raha Huko Mbinguni waliko,
Leo ukiwaambia watu ukweli Huu watakupinga sana ila ndio ukweli mchungu wanaamini vitu wasivyovijua na wanaovijua wanatumia kuwapiga wajinga wengi mbumbumbu

The secret agenda!
Hizi habari za annunaki nimezisikia Kwa mara ya kwanza hapa JF, kusema ukweli hizi habari zinafungua codes nyingi za biblia ambazo tunalimitiwa kuhoji tukiambiwa ni Imani
 
Inafahamika genre ya Homo sapiens Kwa mara ya kwanza Duniani ilitokea miaka 360,000 BCE na Ushahidi wa DNA unaonesha hivyo hiyo ikienda sambamba na mazao na wanyama wafugwao Leo hii na aliyemodify hiyo Project ni Annunak pale Mesopotamia kati ya mito Euphrates na Tigris katika Bustani ya Aden/Eden katika mji wa ERIDU
Ila kabla ya hapo haieleweki nani na Haijaandikwa popote juu ya asili ya vitu vingine maana historia inarudi miaka zaidi ya Billion baada ya formation ya Solar system yetu!

mkuu [mention]Dumas the terrible [/mention] unaweza kunisaidia kitabu chochote chenye ushahidi juu ya haya unayoyasema kama hutojali
 
Story za biblia wamecopy Kwenye Maandiko ya kale ya Sumerian hivyo Habari za Annunaki ni kongwe na zimehifadhiwa Kwenye clay tablets katika makumbusho ya Dunia nenda huko ukajionee usitake Ushahidi kwangu!
Pia nenda Katafute documentary mbali mbali kuhusu genre ya Homo sapiens na mwanzo wake hapo ndipo utawakuta Anunnaki na Habari zinazothibitisha hizo Nadharia Kwa kutumia science ya Human manipulation na cloning ambayo watafiti wa Karne ya Leo waliofanyia majaribio na kupata matokeo ya wanyama na binadamu wa kisasa kutoka Maabara
Hayo yote yapo na yanaeleweka endapo ukiamua kutafuta maarifa!

Nimepata kusoma kitabu cha jasher ambacho biblia inakili uwepo wake na inakitumia kama moja ya vitabu mhimu kimezungumziwa kwenye Yoshua 10;13 na 2 Samweli 1;18

ukisoma sura ya 12;52;60 utaona jinsi mesapotamia ilivyokuwa imechanganyika na hawa viumbe wa anunak,

na niviumbe waliokuwa wakishilikiana kwa karibu na binadamu

sasa sijajua nini kilitokea mpka wakapotea?
 
Yaa ni kweli hapo ndipo son of GOD ANU
(Master of high chamber)

Waliposhuka Kwa mara ya kwanza na kuanzisha makazi na Migodi ya Dhahabu Ili zipelekwe Mbinguni,
Na Pana historia kubwa Sana hapo na Jerusalem ilikua makao ya MUNGU Elohim alipokua anashuka duniani kuangalia project zake za kukusanya dhahabu,
Umeshawahi kumsikia Merchizedec mtawala wa Salem aliyemuunganisha Abraham na Mungu Elohim Ili awe ajent wake?

Usipate tabu hao wote ni ANUNNAK na ndio maana historia zao zimeanzia hapo kama hujaelewa nitakuja kukupa ufafanuzi juu ya historia ya Israelites na Jerusalem Pamoja na agano lao na Mungu wao Elojim
Karibu!

Sit ya mbele kabisa usinisahau utakapo shusha nondo mkuu, sio kwamba naamini unachokisema ila nataka kuunganisha dot, na kile nachokijua mimi
 
So you mean to tell me mesopotania's civilization pre-dates kemet?
Ndio Mesopotamia ni old than Kemet Hilo linajulikana hata Katika tafiti Miji kama Eridu,Lagash,Sippur,Nipur,
Sharuppuk,Uruk na Ur ni Miji mikongwe iliyojengwa pre deluge
Baada ya deluge wakaja na new project Wakajenga Kemet baadae Jerusalem kama makao makuu ya ANNUNAK na hapo Master of high chamber Elohim aliposhuka na iliitwa city of GOD then baadae Ingeneer wa Kemet Ningshidza akaenda kujenga MesoAmerica na Ndio maana utaona designer ya pyramids za Giza na Mexico hasa Teotihuacan zimefanana na hapo pia walipaita city of GOD kama New project baada ya kupigana vita ya Nuclear pale middle east wakigombania madaraka kati ya watoto wa ENKI na ENLIL baada kuangamiza Miji mingi ya Mesopotamian na Indus valley hasa Sodom & Gomorrah,Nippur, Nineveh, Jericho,Mohanjo daro nk wakahamia Huko MesoAmerica na kujenga Miji mingi ya Maya na Aztec kama Machupichu, Teotihuacan nk na hapo ndipo ilikua mwisho wa project zao nyingi Sana na waliondokea hapo kurudi kwao Nibiru au Nephilim 12th Planet (Heaven)
Kama umeshawahi Sikia kisa Cha baadhi ya watu wa Jamii ya wamaya kutoweka na miungu Ndio hiyo ya Accient Human Yaani Annunaki/Aliens kurudi kwao baada ya maelfu ya miaka kuishi duniani tangu walipokuja

Pre human civilization!

Kuna habari nyingi Sana Juu ya Accient civilization zenye utata!
 
Ndio Mesopotamia ni old than Kemet Hilo linajulikana hata Katika tafiti Miji kama Eridu,Lagash,Sippur,Nipur,
Sharuppuk,Uruk na Ur ni Miji mikongwe iliyojengwa pre deluge
Baada ya deluge wakaja na new project Wakajenga Kemet baadae Jerusalem kama makao makuu ya ANNUNAK na hapo Master of high chamber Elohim aliposhuka na iliitwa city of GOD then baadae Ingeneer wa Kemet Ningshidza akaenda kujenga MesoAmerica na Ndio maana utaona designer ya pyramids za Giza na Mexico hasa Teotihuacan zimefanana na hapo pia walipaita city of GOD kama New project baada ya kupigana vita ya Nuclear pale middle east wakigombania madaraka kati ya watoto wa ENKI na ENLIL baada kuangamiza Miji mingi ya Mesopotamian na Indus valley hasa Sodom & Gomorrah,Nippur, Nineveh, Jericho,Mohanjo daro nk wakahamia Huko MesoAmerica na kujenga Miji mingi ya Maya na Aztec kama Machupichu, Teotihuacan nk na hapo ndipo ilikua mwisho wa project zao nyingi Sana na waliondokea hapo kurudi kwao Nibiru au Nephilim 12th Planet (Heaven)
Kama umeshawahi Sikia kisa Cha baadhi ya watu wa Jamii ya wamaya kutoweka na miungu Ndio hiyo ya Accient Human Yaani Annunaki/Aliens kurudi kwao baada ya maelfu ya miaka kuishi duniani tangu walipokuja

Pre human civilization!

Kuna habari nyingi Sana Juu ya Accient civilization zenye utata!
Mkuu hii story yako ya mesoptania kuwa ilikuwa civilised kabla ya kemet inapatikana kwenye source gani na mwandishi ni nani?
Inai-predate kemet kwa miaka mingapi..
Unajua kuwa giza pyramids sio pyramids za kwanza pale kemet?
Unamjua multi talented Imhotep and pharaoh Djoser?
 
Uwepo wa kila kitu unaonesha kuna nguvu iliotengeneza ila sio mungu wa kwenye vitabu vya dini ety wa kufanya kazi siku sita ya saba akapumzika wat about other planets ziliumbwa na mungu uyouyo au yupi maaan atujaona likitajwa ilo kwenye uumbaji

Kwahiyo solar system ilijitokea tu yenyewe? inakuwaje kuwe na viumbe vya aina mbili ke na me? vipi kuhusu hermaphrodite? kitu gani kiliselect ke na me na kipi kiliselect Hermaphrodite?
 
Mungu ni Alpha na Omega Mkuu.
hizo habari mlipata wapi na vipi kama ulimwengu na vyote navyo ni alpha na Omega,mnatumia reason Gani kumpa Huyo Mungu hiyo character huko mkikataa kuupa ulimwengu na kanuni ya kitu chochote Ili ki exist inategemea nguvu ya kitu kingine
Mfano Huu ulimwengu unashikiliwa na nguvu mbili zilizoungana yaani
hasi na Chanya
Ndipo matokeo yatokee Hii yenu imekaaje kaaje Kwa mfano?
 
Nimepata kusoma kitabu cha jasher ambacho biblia inakili uwepo wake na inakitumia kama moja ya vitabu mhimu kimezungumziwa kwenye Yoshua 10;13 na 2 Samweli 1;18

ukisoma sura ya 12;52;60 utaona jinsi mesapotamia ilivyokuwa imechanganyika na hawa viumbe wa anunak,

na niviumbe waliokuwa wakishilikiana kwa karibu na binadamu

sasa sijajua nini kilitokea mpka wakapotea?
Nini kilitokea Hadi wakatoeka ndiyo swali langu pia kwa jamaa yetu
 
mkuu [mention]Dumas the terrible [/mention] unaweza kunisaidia kitabu chochote chenye ushahidi juu ya haya unayoyasema kama hutojali
Mzee baba tafuta maandiko ya Zachariah sitchin mtafiti wa mambo kale na
Chris Dun aliyezifanyia tafiti pyramids za Giza pia Kuna Watafiti mbali mbali waliotafiti Pyramids za Mesoamerica,
Kama hutaelewa watafute
Credo Mutwa huyu alikua sangoma huko south Africa alipata kufungua code nyingi kuhusu kizazi Cha reptilians waliopata kuicolonize Accient civilization
Tafuta tafiti na documentary inaitwa Annunak Chronicles, book of dead na the Verne code Cha Jesus cedier pia Sumerian tablets zimemaliza utata wote,
Pia Soma conspiracy theories za Atlantis na Lemuria hapo Ndipo utajua Mwanafalsafa Plato Sio Mwendawazimu mpaka ataje Higher science and technology zilizotumika kale wakati Leo ndio tunazotumia alijuaje?
Hii Dunia Ina historia Kubwa mno kiasi kwamba sijui kwanini watu wengi Hawana ufahamu Aisee
Dunia mwanzo ilikaliwa na Viumbe kutoka space na walifanya mambo mengi Sana
Mathalani ANUNNAKI ndio watu au viumbe Ambao hawakua genre ya Homo sapiens kama tulivyo sisi na wao ndio waliofanya uumbaji wa modern human yaani Adapa/Adamu Ambao kimsingi ndio sisi wa Leo na ndio Maana wakaitwa Gods
(Being from sky/Extraterrestrial)
Note :Annunak ndio watu wa kwanza na walitoka space wakaja duniani wakawafanya Binadamu Kwa mfano wao Katika
Nephilim laboratory zao pale Eden/Aden katika mji wa Eridu Mesopotamia kati ya mto Euphrates na Tigris,
Nadhani Kuna Nadharia Fulani za Abrahamic Religion wanakueleza haya ila Sio in deep kama hivi!
 
Back
Top Bottom