Tofauti ya degree ni ipi

Babu Ubwete

Senior Member
Jan 26, 2008
169
29
Habari zenu wana JF. Katika Shughuli za kila siku nilipata kuchat na mzungu mmoja afanyaye kazi Barrick Gold, Na tuligusia mishahara wanayolipwa wageni na wazalendo na yeye moja ya sababu alizoto ni kwamba Hata kama wote wana Degree za Business Admin mfano kwao kuna wa canada, New zealand, Americans, South AFricans etc hawa wote degree zao si sawa kwa kigezo cha Course content na gharama walizolipia kwenda university, Ali justify na kusema ni lazima wageni walipwe mshahara juu based on quality of edu waliyoipata hivyo ni haki kabisa kwa mzalendo ama mbogo kulipwa kidogo. Je wana Jf mna maoni gani juu ya hili ni sahihi kweli ukizingatia mtanzania ndio anakuwa na cheo cha chini mzungu anakuwa senior na previlledges kibao ticket za kurudi kwao n stuffs
 
nafikiri tatizo ni policy, policy yetu katika madini haiko wazi kuhusu mambo mengi including payments mbalimbali na benefits hizo,na pia nani anastahili kipi kwa sababu zipi,bila kujali elimu yake,ameipata wapi au anatoka wapi. mbona kuna watanzania leo hii wapo Marekani na Ulaya wanafanya kazi na wanalipwa zaidi ya hao wazungu, why b`se wenzetu wana policy,wanaisimamia na wanailinda.
 
Habari zenu wana JF. Katika Shughuli za kila siku nilipata kuchat na mzungu mmoja afanyaye kazi Barrick Gold, Na tuligusia mishahara wanayolipwa wageni na wazalendo na yeye moja ya sababu alizoto ni kwamba Hata kama wote wana Degree za Business Admin mfano kwao kuna wa canada, New zealand, Americans, South AFricans etc hawa wote degree zao si sawa kwa kigezo cha Course content na gharama walizolipia kwenda university, Ali justify na kusema ni lazima wageni walipwe mshahara juu based on quality of edu waliyoipata hivyo ni haki kabisa kwa mzalendo ama mbogo kulipwa kidogo. Je wana Jf mna maoni gani juu ya hili ni sahihi kweli ukizingatia mtanzania ndio anakuwa na cheo cha chini mzungu anakuwa senior na previlledges kibao ticket za kurudi kwao n stuffs
hawa ni expatriets,
kwa vyovyote wanalipwa pesa na malupulupu kibao
 
ungetupa picha nzuri kama ungetoa mfano kama kuna mmbongo na yeye amesoma nje katika chuo sawa na mmoja wa hao wataalam wa kutoka huko mshahara upoje? still atalipwa kama mzalendo japokuwa kasomea huko huko kwao tena kwa gharama binafsi

Japokuwa hata kwa hiyo hali ya awali bado sio sawa kwani mtu analipwa kutokana na nafasi yake katika kazi na masaa anayofanyakazi.

Vigezo vya kuanza kuangalia rangi na amesomea wapi ni usanii tu huu kwani kwanini umemwajili mtu na kumpa hiyo nafasi kama elimu yake ni chini?

watu wa daraja moja lazima walipwe mshahara sawa.
 
ungetupa picha nzuri kama ungetoa mfano kama kuna mmbongo na yeye amesoma nje katika chuo sawa na mmoja wa hao wataalam wa kutoka huko mshahara upoje? still atalipwa kama mzalendo japokuwa kasomea huko huko kwao tena kwa gharama binafsi

Japokuwa hata kwa hiyo hali ya awali bado sio sawa kwani mtu analipwa kutokana na nafasi yake katika kazi na masaa anayofanyakazi.

Vigezo vya kuanza kuangalia rangi na amesomea wapi ni usanii tu huu kwani kwanini umemwajili mtu na kumpa hiyo nafasi kama elimu yake ni chini?

watu wa daraja moja lazima walipwe mshahara sawa.

Barrick huwa inatabia ya kupeleka wabongo wachache kwenye crucial dept kama mining geophysicians etc Australia kwenye vyuo fulani lakini wanaporudi huwa wanakutana na mshahara ule ule wa kitanzania. Mining industry huwa haaihitaji sana proffessional ndio maana wengi wao wa step on the ladder by work experience n inhouse training. Swali linabaki ni kweli aliyesoma University of Minnesota twin cities na wa UDSM hawalingani ? kwa field kama za computer mi naamini kwani ukiangalia course modules za UCLA na UDSM au hata vyuo vya canada ni tofauti
 
Hivi marais wote hawa na mawaziri jumlisha wataalamu wote serikalini hakuna anayejua kuwa sra zetu zina matatizo mbona kila kukicha tuna lalama na hakuna mabadiliko?
 
Habari zenu wana JF. Katika Shughuli za kila siku nilipata kuchat na mzungu mmoja afanyaye kazi Barrick Gold, Na tuligusia mishahara wanayolipwa wageni na wazalendo na yeye moja ya sababu alizoto ni kwamba Hata kama wote wana Degree za Business Admin mfano kwao kuna wa canada, New zealand, Americans, South AFricans etc hawa wote degree zao si sawa kwa kigezo cha Course content na gharama walizolipia kwenda university, Ali justify na kusema ni lazima wageni walipwe mshahara juu based on quality of edu waliyoipata hivyo ni haki kabisa kwa mzalendo ama mbogo kulipwa kidogo. Je wana Jf mna maoni gani juu ya hili ni sahihi kweli ukizingatia mtanzania ndio anakuwa na cheo cha chini mzungu anakuwa senior na previlledges kibao ticket za kurudi kwao n stuffs

Kama kampuni inamhitaji sana mtu fulani ni kweli kuwa wanaweza wakamlipa zaidi, hasa kwenye mambo ya bonuses na benefits na chuo ulichosoma kinaweza kupelekea kampuni kukutaka zaidi.
Lakini kuna wazawa wengi wamesoma nje, je hao nao wanalipwa sawa na expatriates?

La gharama walizolipa kwenda university naona ni pumba kabisa, Waingereza wanasoma karibia bure, haina maana kuwa elimu yao ni duni.

Je expatriates nao wanalipwa tofauti kulingana na Chuo walichosoma? Tafuta hilo jibu ndo utajua kama hiyo theory yake ni ya kweli.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom