​Naomba msaada kwa wasomi wa finance mimi nasoma business administration kuna option imekuja ya kuchagua course na nimechagua finance as a major course na minor course nimepewa option mbili nazo ni banking and insurance na financial services na system. Kwanza naomba nisaidie hizi zinautofautiana kivipi na ipi ni mzuri kwa soko la ajira kwa sasa.​