Tofauti Uchaguzi wa 2015 na uchaguzi wa 2020

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,841
2015 Wapinzani walikuwa na mgombea dhaifu na goigoi ambaye alikuwa hana uwezo wa kuongea kwenye mkutano hata dakika10 wakati leo Lissu anaweza kuongea hata masaa 2 bila audience kumchoka na wakati huo akishangiliwa mwanzo mwisho.

2015 Wanaharakati Mtaani, Facebook, Instagram, Jamii forum, na Twitter waligawanyika na Kugoma kumsaport Lowassa ila mwaka huu ni tofauti inaonekana Wanaharakati wote wameungana na wapo pamoja na Tundu Lissu.

2015 mgombea wa upinzani alifikia sehemu kuwanadi wagombea wa CCM kwa kutamka hadharani CCM oye! Mbele ya wafuasi wa upinzani ila leo Lissu huwezi kumsikia akifanya makosa ya kiufundi Kama Yale.


2015 mgombea wa upinzani aliwaambia watu wapige kura na kumuachia yeye Cha kufanya kitu ambacho kilisababisha wizi mkubwa wa kura na badae akaja kusema tumuachie Mungu ila My friend mwaka huu Lissu anawaambia uwazi na ukweli CCM hawatakiwi kuachwa hata sekunde moja kwenye uchaguzi huu anawaambia wazi kwamba kura zitalindwa na sisi wapiga kura mpaka pale matokeo yatakapo tangazwa.

2015 upinzani ulijaa makapi kibao ambayo yalijuwa mzigo kea upinzani ila mwaka huu upinzani una watu pure na wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja.


Kwahiyo huu ni uchaguzi tofauti na mgumu kuwai kutokea katika historia ya taifa ili wanaojipa moyo kwamba uchaguzi ni mwepesi poleni Sana Lissu atawashangaza.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Tofauti iliopo 2015 Wapinzani walitumia picha halisi za Kampeni
Na Uchaguzi ulikuwa mgumu sana
mwaka 2020/Upinzani wanatumia picha za 2015
Wakati Ccm wakisonga mbele
vilaza wao wanarudi nyuma!!
Kingine Mgombe wa 2020 Nimropokaji na Aliye jichokea
uchaguzi wa Mwaka 2020 CCM watashinda kwa Kishindo kikubwa saaana kuliko 2015
 
2015 Wapinzani walikuwa na mgombea dhaifu na goigoi ambaye alikuwa hana uwezo wa kuongea kwenye mkutano hata dakika10 wakati leo Lissu anaweza kuongea hata masaa 2 bila audience kumchoka na wakati huo akishangiliwa mwanzo mwisho.

2015 Wanaharakati Mtaani, Facebook, Instagram, Jamii forum, na Twitter waligawanyika na Kugoma kumsaport Lowassa ila mwaka huu ni tofauti inaonekana Wanaharakati wote wameungana na wapo pamoja na Tundu Lissu.

2015 mgombea wa upinzani alifikia sehemu kuwanadi wagombea wa CCM kwa kutamka hadharani CCM oye! Mbele ya wafuasi wa upinzani ila leo Lissu huwezi kumsikia akifanya makosa ya kiufundi Kama Yale.


2015 mgombea wa upinzani aliwaambia watu wapige kura na kumuachia yeye Cha kufanya kitu ambacho kilisababisha wizi mkubwa wa kura na badae akaja kusema tumuachie Mungu ila My friend mwaka huu Lissu anawaambia uwazi na ukweli CCM hawatakiwi kuachwa hata sekunde moja kwenye uchaguzi huu anawaambia wazi kwamba kura zitalindwa na sisi wapiga kura mpaka pale matokeo yatakapo tangazwa.

2015 upinzani ulijaa makapi kibao ambayo yalijuwa mzigo kea upinzani ila mwaka huu upinzani una watu pure na wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja.


Kwahiyo huu ni uchaguzi tofauti na mgumu kuwai kutokea katika historia ya taifa ili wanaojipa moyo kwamba uchaguzi ni mwepesi poleni Sana Lissu atawashangaza.
Duu, watu mna mioyo. Kwa siku za karibuni hakuna Mgombea atakuja afanye balaa alilolifanya Lowassa. 8000,000/= kwa 6000,000/= kwa mjibu wa tume sio mchezo. Kwa siku za karibuni hakuna boya mwingine anaweza kufanya hicho kitu.
Huyu mtu ambaye anafanya mkutano mkoani halafu anapata Na.ya watu level ya udiwani mnampa kichwa Cha bure. Huyo Mwalimu ndio kabisa. Ni kituko. Achana na Propaganda za humu jamvini. Ikifika saa 2.00.usiku angalia UTV Azam, Hawa jamaa kiroho safi wanaonyeshaga ukweli bila kinyongo.
 
Chadema sera yake ni kupiga vita miundombinu na kuwaahidi kuwanunulia watu vyombo vya jikoni...
 
2015 Wapinzani walikuwa na mgombea dhaifu na goigoi ambaye alikuwa hana uwezo wa kuongea kwenye mkutano hata dakika10 wakati leo Lissu anaweza kuongea hata masaa 2 bila audience kumchoka na wakati huo akishangiliwa mwanzo mwisho.

2015 Wanaharakati Mtaani, Facebook, Instagram, Jamii forum, na Twitter waligawanyika na Kugoma kumsaport Lowassa ila mwaka huu ni tofauti inaonekana Wanaharakati wote wameungana na wapo pamoja na Tundu Lissu.

2015 mgombea wa upinzani alifikia sehemu kuwanadi wagombea wa CCM kwa kutamka hadharani CCM oye! Mbele ya wafuasi wa upinzani ila leo Lissu huwezi kumsikia akifanya makosa ya kiufundi Kama Yale.


2015 mgombea wa upinzani aliwaambia watu wapige kura na kumuachia yeye Cha kufanya kitu ambacho kilisababisha wizi mkubwa wa kura na badae akaja kusema tumuachie Mungu ila My friend mwaka huu Lissu anawaambia uwazi na ukweli CCM hawatakiwi kuachwa hata sekunde moja kwenye uchaguzi huu anawaambia wazi kwamba kura zitalindwa na sisi wapiga kura mpaka pale matokeo yatakapo tangazwa.

2015 upinzani ulijaa makapi kibao ambayo yalijuwa mzigo kea upinzani ila mwaka huu upinzani una watu pure na wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja.


Kwahiyo huu ni uchaguzi tofauti na mgumu kuwai kutokea katika historia ya taifa ili wanaojipa moyo kwamba uchaguzi ni mwepesi poleni Sana Lissu atawashangaza.

Ni kweli uchaguzi wa mwaka huu waonekana si mwepesi kutokana na mgombea wa Upinzani Tundu Lissu.

Lakini hali itakuwa ni tofauti kwa wapiga kura ambao ni haohao wanaofurika kumshangilia.

Usione watu wamshangilia sana Tundu Lissu ukajipa imani kuwa watampigia kura.

Hao wote wanakwenda tu kumwona na kumfahamu na kusikiliza kile anachokiongea jukwaani.

Hivyo watachofanya wapiga kura ni kama vile kwenye mchezo wa ngumi itakuwa ni KO badala ya ushindi wa points.

Na kibaya zaidi itakuwa ni kwa sifa za mgombea, aongea sera zipi na amefanya nini au atafanya nini endapo atachaguliwa.

Hiyo haijali mgombea aongeza muda au ni mgombea mwingine yaani Tundu Lissu.

Tusubiri October 28.
 
Back
Top Bottom