Naomba kuelezwa tofauti kati ya hizo gari mbili yani tiida na raum unafuu wake na gharama zake
1.engine zake zinavyokula mafuta
2.ubora wake
3.mazingira yapi zina faa.
4.muonekanoo
N.k utakayopenda kunambia sababu kubwa ninataka kununua ofcoz nimegoogle lakini sijaridhika.
Nawasilisha hojaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
1.engine zake zinavyokula mafuta
2.ubora wake
3.mazingira yapi zina faa.
4.muonekanoo
N.k utakayopenda kunambia sababu kubwa ninataka kununua ofcoz nimegoogle lakini sijaridhika.
Nawasilisha hojaa.
Sent using Jamii Forums mobile app