Tofauti na mfanano wa kikazi na kimamlaka kati ya CIA na FBI

FBI (Federal Bureau Investigation) ni Idara ya usalama ndani ya Taifa la Marekani.
Hii ufanya kazi zake za ujasusi na upelelezi wa matukio yoyote Yale ndani ya Taifa.

CIA (Central Intelligence Agency) ni Idara ya usalama nje ya Taifa la Marekani.
Wao huwa wanaratibu machafuko na figisu zozote kwa ajli ya interest za nje za Taifa Lao.

NSA (National security Agency) hii Sasa ndiyo TISS ya kwao.
Ni Idara ya usalama wa Taifa la Marekani iwe nje au ndani
Nachangayikiwa pale wanapotumwa FBI kwenye nchi kupeleleza kitu fulani mfano walipo zichukua zile mask ambazo zilikuwa zinatumwa huku Afrika kwajili ya msaada walisema wamegundua zilikuwa zina virusi vya covid! Kwann wasingewatuma CIA wafanye hiyo kazi?
 
Nachangayikiwa pale wanapotumwa FBI kwenye nchi kupeleleza kitu fulani mfano walipo zichukua zile mask ambazo zilikuwa zinatumwa huku Afrika kwajili ya msaada walisema wamegundua zilikuwa zina virusi vya covid! Kwann wasingewatuma CIA wafanye hiyo kazi?
Mkuu Tofauti ni kwamba FBI ni investigators (Mpelelezi)
 
CIACIA kirefu chake ni Central Intelligence Agency, FBI ni Federal Bureau of investigation.
Ipo tofauti ya investigator { mpelelezi) na Itelligence office.
Kazi hizo kwa haraka haraka unaweza kuziona kama zinafanana. Lakini majukumu yanatofautiana.
Kazi za upelelezi mara nyingi unapeleleza tukio, mtuwa intellejensiaanatakiwa kuzuia kabla tukio halijafanyika. Ndo maana mpelelexi na mwanaintelejensia kazi zao zinatofautiana.
Mpelelezi anajitambulisha kwako anapo peleleza afisa wa intelejensia anafanya kazi zake hata bila wewe kujua kuwa kuna ishu anafuatilia hapa mnawaita (mashushushu).
Hapa ni mekuelewa, Lakini nataka nikuulize kwani CIA hawezi fanya kazi ndani na nje ya nchi maana hata movie tukiangalia kuna baadhi wanafanya kazi hata wakiwa ndani ya nchi yao?
 
Hizo ulizozitaja hapo ni vikosi maalumu ndani ya Idara Tofauti.
Mf Tanzania
Kuna jeshi la polisi lakini ndani ya polisi Kuna vikosi maalumu Kama FFU etc.
Magereza wana KM etc

Secret service ni kikosi maalumu kilicho Chini ya Idara zao.
ongeza SECRET SERVICE, DEA, CTU nk
 
Hizo ulizozitaja hapo ni vikosi maalumu ndani ya Idara Tofauti.
Mf Tanzania
Kuna jeshi la polisi lakini ndani ya polisi Kuna vikosi maalumu Kama FFU etc.
Magereza wana KM etc

Secret service ni kikosi maalumu kilicho Chini ya Idara zao.
Ufafanuzi kidogo mkuu
 
Feds are watching - Lil Kim
The Ds ran in my crib i know wh droped a dime - 50 Cent
Somebody call the Popo - Craize Bonne
Five-0 - White boys jump out running wit they guns (5-0, 5-0) - Jeezy
 
Hizo ulizozitaja hapo ni vikosi maalumu ndani ya Idara Tofauti.
Mf Tanzania
Kuna jeshi la polisi lakini ndani ya polisi Kuna vikosi maalumu Kama FFU etc.
Magereza wana KM etc

Secret service ni kikosi maalumu kilicho Chini ya Idara zao.
Secret service iko wizara ya fedha
 
Hapa ni mekuelewa, Lakini nataka nikuulize kwani CIA hawezi fanya kazi ndani na nje ya nchi maana hata movie tukiangalia kuna baadhi wanafanya kazi hata wakiwa ndani ya nchi yao?
Uelewe tu Ni marufuku CIA kuoperate ndani ya US,,na akikamatwa anawekwa lokapu
 
Ufafanuzi kidogo kwa NSA
NSA wanahusika na usalama wa taifa la marekani,,lakini wanamaintain physical presence globoly.
Togauti yake na CIA Ni kuwa NSA hawatumii human resource Ama HUMINT Kama source ya kukusanya intelligence ,wao wanatumia SIGINT(signal intelligence),ELINT(Electronics Intelligence),na ndo wazee wa Cyber warfare,wao ndo walihusika kwa mfano kuunda stuxnet,kile kirusi kilichoharibu vinu vya nyuklia kule Iran,wanahusika na kutega visikilizio vya mawasiliano ya watu mbalimbali duniani,
Wako chini ya defence department
 
Tu
CIA Central Intelligence Agency
CIA ndio taasisi namba mbili duniani ya Intelligence Agency kwa ubora baada ya inter - service intelligence (ISI) ya Pakistan ikiwa na wafanyakazi wanaokadiliwa 21,642 duniani kumbuka mambo ya ujasusi ni siri so kuna watu wengine ni undercover agents so inakuwa ni ngumu kwa nchi kusema ina wafanyakazi wangapi ktk idara fulani CIA ilianziswa mwaka 1947 na makao yake makuu yakiwa Langley, Virginia, U.S. na kazi yao ni (CP) collecting na processing information so ukiangalia NSA na CIA wamezidiana vitu viliwi ambavyo ni Monitoring , Data kwani CIA yy anacollect na kuprocess information tu...
Tumekupata mkuu
 
Hapa ni mekuelewa, Lakini nataka nikuulize kwani CIA hawezi fanya kazi ndani na nje ya nchi maana hata movie tukiangalia kuna baadhi wanafanya kazi hata wakiwa ndani ya nchi yao?
Wanafanya ulinzi wa nchi ni ndani na hata nje ya mipaka.
Anapofanya nje ni spy kwa ajili ya nchi yake
 
Hapa ni mekuelewa, Lakini nataka nikuulize kwani CIA hawezi fanya kazi ndani na nje ya nchi maana hata movie tukiangalia kuna baadhi wanafanya kazi hata wakiwa ndani ya nchi yao?
CIA anahusika na threats za usalama wa taifa zinazo originate kutoka nje ya mipaka wakati FBI wanadeal na threats za ndani. Inapotokea kwamba tatizo limeanzia nje ila likaja kuathiri ndani CIA atashughulika nalo likiwa nje ya mipaka linapoingia Washngton wanakabidhi mikoba kwa FBI.

Ila pia kama tatizo lina originate ndani FBI wanadeal nalo ila likivuka mipaka kwenda kuathiri maslahi ya taifa nje FBI wanatoa pasi kwa CIA.

Sept 11 inatajwa kama mfano wa nini kinaweza kulikuta taifa kiusalama endapo CIA hawatagawa pasi kwa FBI
 
Back
Top Bottom