Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 583
- 1,266
Kwa kipindi cha miaka ya karibuni tumeona mabadririko ya kasi katika nyanja za fursa, uchumi na population katika miji tajwa hapo.
Ila Tanzania ni kubwa, natumaini kuna miji mingine inayokuwa au imeanza kukuwa kwa kasi katika nyanja za fursa, miundombinu, uchumi, biashara na ongezeko la watu.
Sio vibaya kama tukiijua hapa.
Karibuni.
Ila Tanzania ni kubwa, natumaini kuna miji mingine inayokuwa au imeanza kukuwa kwa kasi katika nyanja za fursa, miundombinu, uchumi, biashara na ongezeko la watu.
Sio vibaya kama tukiijua hapa.
Karibuni.