Nasikia babu yako kaahidi kutengeneza gongo akichaguliwa 2015
Yaani katika masuala yote muhimu ya nchi yeye na akili zake kaona gongo ndio suala la maana?
Kweli nimeamini Chadema inaongozwa kwa nguvu za viroba
Kweli lukosi leo ndo nimejirizisha kwamba wewe ni mweupe kuliko karatasi, kwahiyo hapo ndo umetueleza nini? kulinda ufisadi, hivi hata wewe kwakiwango chako hicho cha secondary unakubaliana na mtazamo kama ule wa watu wa epa walioiba wakaambiwa warudishe hela? mpaka leo hawajulikani ni akina nani, wengine wanaiba hapa wanahamishiwa kwingine, kulindana lindana ndo sera yenu, wewe bila shaka hayo mabox yameshakuzuru haiwezekani ukaleta kitu kama hiki hapa.