Tofauti na CCM pale CHADEMA matumizi ya ruzuku husimamiwa na Mwenyekiti wa chama taifa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,667
Wakati CCM wanayo sekretarieti ya uchumi na fedha ambayo husimamia na kuratibu mapato na matumizi ya chama wakifuatiliwa kwa karibu na Katibu Mkuu, kule CHADEMA mambo ni tofauti.

Ofisi za Ufipa mapato na matumizi yote husimamiwa na Mwenyekiti huku kumbukumbu za nyaraka zikitunzwa na mhazini hivyo kufanya kanuni za kitaaluma za kiuhasibu kuwa ngumu kutekelezeka.

Ingependeza kama Mhazini wa CHADEMA akapitia pale Lumumba apate kozi fupi ya usimamizi wa fedha za chama vinginevyo kuna siku ataozea Segerea.

Najua TAKUKURU wameshaanza kupita pita hapo ofisi kuu Ufipa so natoa tu angalizo. Mwisho kabisa wana CHADEMA muanze kujiandaa kisaikolojia lolote linaweza kutokea maana matumizi mabaya ya ruzuku ni uhujumu uchumi.

Niishie hapo!
 
Lakin unakubal kwamba hata ccm napo kuna wizi kama chadema maana na nyie mmejikopesha kienyeji pesa za wastafu
CCM wamekopa kwenye taasisi kubwa inayotambulika na mkopo huo utarejeshwa kwa Ruzuku ya mwezi mmoja tu!
 
johnthebaptist
Dada vipi hela za wastaafu,kuweni na roho za ubinadamu sio kila siku ccm mnaiba tu,yani kizazi chote ccm ni wezi hakuna msafi
tapatalk_1523525643354.jpeg
 
Wewe kilaza toka lini ccm wanakopa then walipe,tumia masaburi yko vizuri kufikiria ccm wanachota hawajawahi kurudisha pesa nssf,ppf,lapf,pspf etc miaka na miaka...ficha upumbavu wko wewe
Umeshapanic!!..... Na Mbowe atazidi kuwanyoosha hadi wake wote wa makamanda wakapange foleni bomani kudai matunzo!
 
Back
Top Bottom